yanga ilifungwa mbeya na timu ndogo lakini hiyo tim ilizulumiwa gol yanga ujanja mwingi hakuna tim pale tanzania ligi yetu imeingiliwa na mambo ya siasa
Simba anakutana na timu saizi yake ,kila timu ikiwepo Simba zikikutana na yanga zinajitahidi zisifungwe magoli mengi ila zikikutana zenyewe kwa zenyewe ndio kinatokea hicho anacholalamikia ,kwani camara anacheza ligi gani?
Huyu waliomtoa uwalim walikua wapo sahihi maana hajielewi kabisa kwani hiyo simba iliopanda kiwango mliishinda ngap haujitambui kabisa huo utaratibu utumien ili upate hayo.matokeo
Awa ndo wanatuarbia mpira bhna, kumbe simba tunaponzwa na mashabiki wetu 😢. We mpira tuliocheza Mbeya isingekuwa huruma ya golikipa tungelaumiana tenaa, sahii unawaponda Yanga ambao wameupiga mwingi tena sio mwingi tu ni mwingi kutumia kikosi cha pili kilee
Wewe gb64 msenge sana....ndo Makolo wote ndo walivo na wazee wao...malofa nyie Makolo shenzi kabisa ..hivi mnaujua mpira kweli??? Na nyie waandishi muwe mnajiongeza kuwahoji watu wenye maana
Aaaaaise amakweli nyani haoni kundure mbona nyiie mulipigwa Tano lakini Sasa mnajifanya hamukuki saivi tumepunguza dozi 1kwa mbili kama ligi ni marathon nendeni ulaya mkashiliki marathon
Huyu jamaa nakua namfuatilia sana ila sasa naaza kumchukia,kwani wale maproo wa ulaya wanaodaka mguu baada ya mpira na wana uhakika red inawahusu na wanafanya wanakula penalty na red. Au hata hao Azam walivyocheza na simba ndio wanavyocheza na Yanga wakikutana???
Wewe punguza maneno yasiyo kuwa na uzito, tangu lini ulikubali Yanga ina timu nzuri? Unajiondoa hufahamu ambao baadhi ya watu walikuamini, mpuuzi wewe.
Sasa we Mwehu kama Yanga wameshuka kiwango sasa wewe na timu yako ya viwete sio ndio utumie nafasi hii kuchukua ubingwa? Eti unashangaa Yanga kushinda goli 2 tu dhidi ya JKT wakati mwaka jana round ya kwanza JKT alifungwa goli 5 kama ulizofungwa wewe. Lakini hujishangai wewe na hiyo timu yako ya viwete msimu jana japo timu yako ilikuwa mbovu mbaya na Mababu kina Saidoo bado aliweza kuwafunga Prison goli tatu pale pale Sokoine kabla haijaliwa na Samson Mbangula pale Jamuhuri. Kwa kihelehele chako eti unashangaa Yanga kushinda goli mbili tu. Tuliza kalio chini.