Тёмный
No video :(

GB64:HUYU MWAMBA ALIYETUA LEO REKODI ZAKE MYAKIMBIA WENYEWE 

SPORTS MAX
Подписаться 173 тыс.
Просмотров 49 тыс.
50% 1

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Опубликовано:

 

2 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 93   
@barakamapayu2850
@barakamapayu2850 Месяц назад
Hongera gb64 upovizuri tunakuelewa
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l Месяц назад
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
@user-kn7bo6iz4n
@user-kn7bo6iz4n Месяц назад
GB nakukubali
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 Месяц назад
Gb 64 kazi kazi brother
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Месяц назад
Tunakwenda na timu na boss tunamkubali.
@barakaPaulo-ei8zp
@barakaPaulo-ei8zp Месяц назад
Pamoja sanaa
@drizyMg
@drizyMg Месяц назад
nakukubali bro GB 64 endelea kutuwakilisha ndugu zako tusiokuwa na sauti.
@user-xh8sh9pu4s
@user-xh8sh9pu4s Месяц назад
Kaka nakuelewa
@emanuerchrsimas5151
@emanuerchrsimas5151 Месяц назад
bro kuwa na msimamo juzi ulimsifia ila baada ya kutambulishwa yanga unamuita mchochezi wa migomo
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 Месяц назад
Wamerithi kwa Ahmed Ally Gundu Kiroporopo Uongo Huyo ni Kigeugeu.
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Месяц назад
Achana na sisi kaiongelee timu ya wachawi yanga
@AdhamAlliy-mg5py
@AdhamAlliy-mg5py Месяц назад
Ulitaka aiponde Simba ndio mumsifie
@JohnKulwa-c9v
@JohnKulwa-c9v Месяц назад
Gb nimekuelewa kaka
@MoshiMrisho-e6m
@MoshiMrisho-e6m Месяц назад
🎉Gb64 unajua sana mwamba aaa
@Dastanikasanda
@Dastanikasanda Месяц назад
Kwahiyo ulitaka akwambie vp. Mfuate
@KarebuPhares
@KarebuPhares Месяц назад
Wana Simba 2punguze maneno 2xbr uwanjani isijekua kama sawadogo
@user-gp3pm4qp5y
@user-gp3pm4qp5y Месяц назад
Uko vizuri kaka
@gulamjuma8939
@gulamjuma8939 Месяц назад
Piga kazi kaka
@AndrewShayo-np1sy
@AndrewShayo-np1sy Месяц назад
Siyo Shomari lawi ni Lamek Lawi
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Месяц назад
😅😅na huwa anapenda kwel kusema shamari lawi
@musamwakalibule3383
@musamwakalibule3383 Месяц назад
Nilikuwa najiuliza kwanini uliondolewa kwenye ualimu? Tayari nimejua maana halisi ya vyeti feki.
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy Месяц назад
Ebu search video za chama apo alaf uringanishe na pumba za gb64😂😂
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l Месяц назад
Ata uyo chama kapata jina simba bisha tuone nauyo ata pata jina unya mani shika iyoo
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy Месяц назад
@@user-md7sd3hk6l mbona povu sheikh 😁😁😁 kama chama kakuuma nenda kashtaki kw mangungu😂😂😂😂😂💚💛.. simba nguvu moyaaaaaaaa
@user-oq6to7pf2u
@user-oq6to7pf2u Месяц назад
sana kaka upo sawa
@musamwakalibule3383
@musamwakalibule3383 Месяц назад
Tayari gb 64 umeitwa na kupigwa noti umeanza kuwasafisha viongozi uliokuwa unawatukana hadi ukafungwa rockup ya polisi!?
@emmanuelibrahim4556
@emmanuelibrahim4556 Месяц назад
Sawa ata kama nikupunguza umri ndo mtale awe na miaka 22 kweli?😅
@OmallyAlly-cy3yt
@OmallyAlly-cy3yt Месяц назад
Sina imani nauyujamaa anawadanganya ndugu zake wa simba
@KirishwaRashid
@KirishwaRashid Месяц назад
Asante.. Gb.. 64
@fatherjaytz
@fatherjaytz Месяц назад
Ahadi yako kuhama team akiondoka Chama sasa unasubiri nini
@jamesgeorge8279
@jamesgeorge8279 Месяц назад
Uliniaminisha kuwa chama haondoki popote mo keshamalizana nae mwisho wa cku chama anatambulishwa yanga kikweli ww ni mkundu tu chawa tu.
@FumaoFumao-d8w
@FumaoFumao-d8w Месяц назад
Naona hurumà kwa wale watakaokùtanao simba
@user-xv2zm5ec9y
@user-xv2zm5ec9y Месяц назад
Mimi nime fulai kuondoka mana Kila siku migogolo na kosha
@selemanidando298
@selemanidando298 Месяц назад
Msije mkawasema tena viongozi wenu tena hizi clip zinaishi
@FrankMaiko-xb5fn
@FrankMaiko-xb5fn Месяц назад
Nakuami bloo maneno yakishujaa
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h Месяц назад
Kumbe viongozi wako vzuri ila unadanganya sana
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 Месяц назад
Ukweli hata uongozi wa Simba ulikuwa haumhitaji tena Chama, Kwa akili ya kawaida haiwezekani Simba washindwe kumzuia mchezaji mzoefu km Chama, tena ni mchezaji wa miaka 6 ndani ya Simba, hakuwa na tofauti na mke wa mtu alieishi ndani ya ndoa miaka 6,ana watoto watatu, Halafu ghafla unaambiwa amempata mchumba mpya tena kijana na wameanza maisha, je Hilo linafuta uzee?
@georgecuthbert5230
@georgecuthbert5230 Месяц назад
Sawa hawamuitaji Chama basi wampe thank-you
@RashidOmary-bd5oz
@RashidOmary-bd5oz Месяц назад
Wacha chama aende zake tunashusha vifaa watakoma mwaka huu.
@elirahammwiri6519
@elirahammwiri6519 Месяц назад
Amepoteza mvuto tokana na ahadi ambazo hazitimiii!!!
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Месяц назад
Wakati unaongelea simba usimtaje samia utafanya nitapike
@makoreremakorere4212
@makoreremakorere4212 Месяц назад
Heeee nimekukubali chuma Cha Simba
@fatherjaytz
@fatherjaytz Месяц назад
ACHA UONGO PSYCHOLOGY GANI ULITUMIA BWANA,,, WEW ULIKUW UNAMAANISHA UNAJIONA UNA AKILI SANA SIO
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Месяц назад
Fala huyo anavunga mjanja
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 Месяц назад
Hawa wachezaji tunawasifia Sana,ligi ikianza,misumari,mauzauza vinaanza.Viongozi wawe makini asee.
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
😂😂😂 acha kuamini mauzauza ..... Mpira ni science ukileta mbugila mbugila mtashikana mashati buree
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 Месяц назад
@@mwanangusana Sisi wenye D2 tunajua,Simba wanasifia Sana usajili kabla ya ligi,matokeo mnahatarisha wachezaji bureee.
@AsiaBakari-k4k
@AsiaBakari-k4k Месяц назад
bado mmoja kaka
@Shinarambod
@Shinarambod Месяц назад
Wee jamaa wakufukuze TU maaana ulikuwa unachochea mugomo Sasa ivi umehongwa unalopokaka2 mbona ukisema akiondoka chama unahama ACHA ujinga unakuwaa kama msariti
@MakarotiKamugisha
@MakarotiKamugisha Месяц назад
100
@user-ji1mq4sk1n
@user-ji1mq4sk1n Месяц назад
Niswala la muda kuwa kataa
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l Месяц назад
Aliyepunguza miaka nani ?hata hivyo haiwahusu, pakome azizi wanamiaka mingapi famyeni yenu mikundu wekeni keki mikunduni mwenu tuacheni
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 Месяц назад
Haaaa matusi Tena
@saidismail6676
@saidismail6676 Месяц назад
Gb 64 ww ni kichwa unajua unacho kisema
@AdijaSurutan
@AdijaSurutan Месяц назад
Maneno. Saii
@raybirry3816
@raybirry3816 Месяц назад
JAMAA MUONGOOOO! UNAGUNDUA HUA HANA ZA NDANI,ANAROPOKA TU.
@user-sm1zu2mo4b
@user-sm1zu2mo4b Месяц назад
Mmm mtaani wanalia hukuuu schama
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot Месяц назад
Uko xawa
@othmanhamad7887
@othmanhamad7887 Месяц назад
GB64 yule ni Lameck Lawi,yule Shomari Lawi ni refarii
@OmaryAlly-h1j
@OmaryAlly-h1j Месяц назад
Kaka unatisha nguv moja
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Месяц назад
Ulitudanganya umeongea na mo kuwa issue ya chama ameimaliza, wewe siyo mkweli.
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini Месяц назад
Weunategemea ukweli kupitia hawa 😂😂😂😂😂
@user-sq3cu7dv7c
@user-sq3cu7dv7c Месяц назад
Tena uyu fala kwan ajuw kma watu tunamfuatilia sana
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer Месяц назад
Mpuuzi wewe si ulisema chama akihama utaacha kushabikia simba madako wewe
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer Месяц назад
Matako wewe
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer Месяц назад
Hama team kama ulivyo sema
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h Месяц назад
Mbona ulisema unahamia Azam na uhame basi
@eliashagai7920
@eliashagai7920 Месяц назад
Chawa
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy Месяц назад
😂😂😂😂😂😂 jamaa ni mnafki uyuuu
@georgebetram63
@georgebetram63 Месяц назад
😂
@JustineMasele
@JustineMasele Месяц назад
❤❤❤😂
@isayamneja7020
@isayamneja7020 Месяц назад
We mlopokaji sana, hata usivyovijua unaropoka tu
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Месяц назад
Huyu mwehu msiwe mnamhoji, ni mjuaji halafu hajui, nahisi ni tapeli wa dar
@deniskangombe7442
@deniskangombe7442 Месяц назад
Hivi unapataje jeuri ya kuandika maneno kama hayo Aya Sasa ngoja wakuhoji ww usiejua lolote unajua some time mnakera eti
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Месяц назад
@@deniskangombe7442 peleka ujinga huko
@bobbyfiasco4311
@bobbyfiasco4311 Месяц назад
Chawa 😂
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h Месяц назад
Unahamia lini azamu
@mzugigizzlelife6229
@mzugigizzlelife6229 Месяц назад
Kwani nawe si mmoja wapo aliyehitaji maandamano
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
Huyu ni muongo Sana.... Kisha anajiona ni big 😂😂😂 , anajifanya yupo karibu na viongozi 😂😂😂 kumbe hamna kitu .... Simu tu tumlichangia , aliwekwa lock up na ao ao viongozi wake ....
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Месяц назад
@@mwanangusana wewe ulimchangia nini wewe kaa kule..
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
@@januarysungura8119 nilichangia elfu 2 kwenye mchango. Au Imekuumiza Moyo kuwa asiambiwe ukwel kuwa ni bumundaaa ndumilakuwili
@georgebetram63
@georgebetram63 Месяц назад
Kubwa kuliko😂😂😂😂 namkumbuka Bugatti
@user-dw5ce3ht6c
@user-dw5ce3ht6c Месяц назад
Gb 64 nakuelewa sana
@kassimmwawado7002
@kassimmwawado7002 Месяц назад
Kichapo kiko pale pale!
Далее
13 Карт - Мафия | 5 серия
08:51
Просмотров 274 тыс.
13 Карт - Мафия | 5 серия
08:51
Просмотров 274 тыс.