Тёмный

GB64 NA MUHINDI WA SIMBA WAMWAGA SIFA KWA WACHEZAJI WA SIMBA MASHABIKI WA YANGA WAKASILIKA 

SPORTS MAX
Подписаться 173 тыс.
Просмотров 83 тыс.
50% 1

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 113   
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 месяца назад
Sema sema kaka. Simba hoyooo Mahindiiiiii❤❤❤❤👍👍👍🎉🎉🎉😁😁😁😁😁😁
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 3 месяца назад
Ni kweli Yanga walitengemea simbasc wakishindwa kumsajili mchezaji yanga wqpite naye tripu hii imekulà kwao wanasajili matapishi mwaka huu tunaomba uzima
@AzizaMayemba-td8po
@AzizaMayemba-td8po 3 месяца назад
Mungu awalinde wachezaji wetu na majin ya majilani Amina
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 3 месяца назад
@@AzizaMayemba-td8po Usajili nguvu moja simbasc ndoo zote tunabeba mwakani
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma 2 месяца назад
​@@AzizaMayemba-td8poAminaaaaa
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 2 месяца назад
Omba Mwenyezi Mungu Vitabu vyote Akufunulie Wenye Uwe na Uzima wa Afya Njema tuyaone Mema yote ya Simbasc
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад
Gb 64 nkufatilia sana cheus cheus cheupe cheupe unabalaaa
@KidomelaEdward
@KidomelaEdward 3 месяца назад
🎉🎉🎉🎉 pokea chapu mauwa yako mwamba 64 GB mwanao hapa kutoka tete mozambique ❤❤
@PaulSengo
@PaulSengo 2 месяца назад
ila tusipange kikosi mapema jamni wanasimba maana akna karabaka ,ladaki chasambi,akna baruw a sioni wakitajwa hapo kwenye vikosi vya mashabik na option zake watacheza lini ndo hadhina za taifa
@dalalfundikila507
@dalalfundikila507 3 месяца назад
Duwa kwa wachezaji alafu badilishini wapishi wafuwa jezi.
@LetasKomba-br1xh
@LetasKomba-br1xh 3 месяца назад
Uko vizuri kaka
@NgoloMpologom
@NgoloMpologom 2 месяца назад
Kaka unajua kuongea ❤mungu akulinde
@shabanabdalatupa
@shabanabdalatupa 3 месяца назад
We kweli chizi ndo maana ulifeli Azania
@festoissa7476
@festoissa7476 2 месяца назад
Ukweli unauma,,, kipi kadanganya apo? Kufeli shule hakuwez kuondoa uhalisia wa hoja
@VitalessGalus
@VitalessGalus 3 месяца назад
Injinia soma iyo❤❤❤❤🎉🎉🎉
@KibibiMwalimu-pg8fg
@KibibiMwalimu-pg8fg 3 месяца назад
Sahihi kabisa kuwalisha viapo sisi tumechoka kuhujumiwa#🎉🎉🎉
@eliwazadaniel6535
@eliwazadaniel6535 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂nampenda buree❤❤❤❤❤
@FrancisBidadi
@FrancisBidadi 3 месяца назад
Naomba namba ya sim gb 64
@jumaali9243
@jumaali9243 3 месяца назад
Namuunga mkono mhiindi dua muhimu wasiingize kichwa kichwa wabaya wengi
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Месяц назад
Utopolo wabaya!
@salymgaimale235
@salymgaimale235 3 месяца назад
Jamaa anajua kuongea huyo utafikiri kameza betree,maua yake
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 3 месяца назад
Tatizo umri, uwezo wanao? Timu bora na nzuri huwa na wachezaji wenye umri tofauti lakini wenye uwezo katika pitch
@juliussimion7187
@juliussimion7187 2 месяца назад
Huu ndo mda wa kufurahia ss wana simba ila ligi ikiaanza duuu
@mwitajohn4882
@mwitajohn4882 3 месяца назад
yanga jiandaeni kisakologia
@barakamwacha8214
@barakamwacha8214 3 месяца назад
Mtayala maneno yenu, mwenyewe naogopa kusifia kwanza. Huyu ndo atarudi hapa kulia
@MgangaShabani
@MgangaShabani 3 месяца назад
Unabaya mwalimu
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 месяца назад
😅😅😅 eti Baleke kapewa VITS...😅😅
@Shahasaid
@Shahasaid 2 месяца назад
Nimekuelewa ndugu
@muharamiamiri9750
@muharamiamiri9750 2 месяца назад
Huyo anasema fa nne ni ipi na ipi kama sio uongo
@georgeuswege5905
@georgeuswege5905 3 месяца назад
Uzuri hivi vitu vipo na tunavihifazi tutawakumbusha Mandunduka
@RevocatusKambimbaya
@RevocatusKambimbaya 3 месяца назад
GB aminia mwanang
@NovillLema
@NovillLema 3 месяца назад
Ila hichi kingeleza😂😂😂😂
@HassanRashidi-h9j
@HassanRashidi-h9j 3 месяца назад
Uyu Jamaa anaongea hatari unatakiwa uwe na mwamvuli pembeni lasivyo unatoka umelowa😂😂
@BrunoNamanga
@BrunoNamanga 3 месяца назад
GB 64 imekuwa msajili wa vizazi na vifo mtaimba mwaka huu.mmekuwa NIDA
@MatulizoMahenge
@MatulizoMahenge 2 месяца назад
Huna baya
@ShaibuShaibu-c3e
@ShaibuShaibu-c3e 3 месяца назад
Machine yakuongea gb mwamba
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 2 месяца назад
GB 64 amemrithi Kisugu . Mashabiki wa Makolo Chakavu watauana Wenyewe kila mmoja anataka usemaji na ajulikane. Kisugu na Mzaramo wawekwa kando GB 64 ataumbuka sana leo Viongozi Wazuri kabla kuiona Timu uwanjani
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 3 месяца назад
Mamma yangu Muchacho ni aibu unamsema hata Chama kuwa alikuwa anawahujumu ?baada ya miaka yote ulikuwa wapi? Hicho ndicho kinachowaangusha.Simba haikuwa kikundi kibaya😂 ila Wananchi wana viongozi wanajua mpira hasa wasomi bwana na mapenzi kwa Timuu
@RashidiMwiga
@RashidiMwiga 3 месяца назад
Viongozi wa Simba msi sahau kuwafanyia maombi wachezaji
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 3 месяца назад
Wanalifahamu ndiyo maana Jana walikaa kikao na Tajiri
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo 3 месяца назад
Wanasimba tubakize maneno isije tokea kama mwaka jana subiri matokeo wenzetu wanaenda kimyakimya na wataonyesha uzee wao
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Hakuna cha kubakusha kama hujiamini kavae jezi ya Utopolo ukafie huko
@RajabuBojo-j2l
@RajabuBojo-j2l 3 месяца назад
Daah 😅 kashakua chawa nayeye skuhz😂😂😂
@RashidiMkongewa-h9l
@RashidiMkongewa-h9l 2 месяца назад
Ngao yanga 5 vs simba 1 vurugu zamangungu zinaanzia apo
@HamisiAthumani-vz1oi
@HamisiAthumani-vz1oi 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 2 месяца назад
Muindi wa simba YUPO SAHIHI kabisa.Duaaa MUHIMU
@ZakariaSimon-gp1gr
@ZakariaSimon-gp1gr 2 месяца назад
Tim mpya ya vijana watakoma uto
@mahamedabdi1881
@mahamedabdi1881 3 месяца назад
Unamaanisha mume wenu karudi 😂😂😂😂😂😂 baado ujasema
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 3 месяца назад
Tulia sindano ikuingieee
@LengaiMustafa
@LengaiMustafa 3 месяца назад
Sawa msija pamoja
@LadislausBwangile
@LadislausBwangile 3 месяца назад
LEO UNAONGEA KESHO UKIGONGWA UNASEMA ,HATUMTAKI MANGUNGO
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib 3 месяца назад
Chiziiiiii
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 месяца назад
Hii haiondoi ubovu wa Mangungu
@PeterMussa-sm7if
@PeterMussa-sm7if 2 месяца назад
Yanga hata ya msimu Jana ilikuwa inatosha kabsaaa sasa wenzangu na mimi Wana bweka nawachezaji ambao hawaujui hata uwezo wao
@MageleFidelis
@MageleFidelis 3 месяца назад
Lakini mzamiru mpambanaji
@georgekagwebe2461
@georgekagwebe2461 2 месяца назад
Gb64 nitaenjoy one day ukiwa semaji la mnyama
@Djshilalatz
@Djshilalatz 2 месяца назад
Mjomba nimama anachamba😅😅😅😅
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 3 месяца назад
Kwani Mo hakuwepo?
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 3 месяца назад
Mughonile? Kaa huko huko Tukuyu funga mdomo sio viazi mbatata hv. Huu mpira wa Mjini. Kajiunge kuchukua Ndago.
@CostaAntino
@CostaAntino 2 месяца назад
Ungekuwa mwelewa ungelifukuzwa uwalimu
@SalumSevingi
@SalumSevingi 3 месяца назад
Saluti gb 64
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад
Wawalinde tu wachezaji wetu usajili Bora kabisa wawalinde hawatoto wafike mbele
@TABIAMBWATE
@TABIAMBWATE 2 месяца назад
mm Simba lakini yanga atuwawez
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 3 месяца назад
Yanga wanasajili wachezaji waliotelekezwa
@peterchande957
@peterchande957 3 месяца назад
Bado hujasema
@MussaStanley
@MussaStanley 2 месяца назад
Tuacheni na cmba yete mbwa nyieee yanga
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 3 месяца назад
SIMBA impe kitengo GB64...Jamaa anajua vibaya sana
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 месяца назад
Muda utaongea maneno mengi ya nn
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 3 месяца назад
Wachezeji wa Simba kuna namna walifanyiwa,haiwezekani Baleke anakosa goli 44,halafu anatakiwa upande wa pili,tunamuona Phil na Kramo wanaumia vibaya mno halafu huyu Ramadhani Kayoko😂😂😂😂😂 tungekuwa 2.Chama mechi za Yanga hajawahi kuperform.Safari hii hujuma ndani na nje ya Simba hujuma MWIKO.
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 месяца назад
Kweri
@jumannemsengi2195
@jumannemsengi2195 3 месяца назад
Alie sikia kizungu aseme ndioooo
@EmanueliWildausoni
@EmanueliWildausoni 2 месяца назад
Mmeyavagaa kwa Gb 64 kazi mnayooo simbaaaaa nguvu mojaa zipo mashine zimesajiliwa hahaha kulia lia sasa basiii wacha tuenjoy
@Mosesndela24
@Mosesndela24 2 месяца назад
kaka unajua na unaongea Kwa mifano Tena mifano ilonyooka
@SalimHassan-d4s
@SalimHassan-d4s 3 месяца назад
Wewe akili huna msenge wewe. Umpige nani nane. Unategemea magoli ya mchongo hayo. Hiyo raund ya pili kwaini usimfunge hizo nane .mshamba wewe .hujui mpira. Utapigwa wewe uliyepigwa sita. Lipa kwanza goli sita ndio uongee mshamba wewe.
@allymnyenye8109
@allymnyenye8109 3 месяца назад
Hahah wewe mmbustani....
@BabMuniwe-pg7el
@BabMuniwe-pg7el 2 месяца назад
Wewe hujui Simba timu mbovu mpaka mashabiki wabovu
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 месяца назад
Nimekuerewa mwamba
@salehemsumi615
@salehemsumi615 3 месяца назад
Boss karudi,kwani alienda wapi?😊nyie ndio baadae mnakimbia maneno yenu!!!Azam unahamia lini maana Chama tayari yupo Yanga!
@MamboMbuli
@MamboMbuli 3 месяца назад
Wewe haujitambui,huyu alikuwa anawapoza mashabiki wawe na Hali ya kawida,,huyu ni shabiki wa kweli sana
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 3 месяца назад
Na mimi ndo nashangaa! Hawajui kama wahindi si watu wa soka
@georgesteven5185
@georgesteven5185 2 месяца назад
​@@mohdkhatib223acha ujinga wewe
@bonifasSanga-l5h
@bonifasSanga-l5h 3 месяца назад
Pamojasana
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 месяца назад
Wambie 😂😂😂😂
@ChivaKayange
@ChivaKayange 3 месяца назад
Huyu jamaa mwamba
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 3 месяца назад
useme vizur timu ya watoto simba hiii ni alayance,😁😁😁 ngoja tuone
@bonifasSanga-l5h
@bonifasSanga-l5h 3 месяца назад
Ndiyomanaanaitwa gb 64
@SalumuUbuguyu
@SalumuUbuguyu 3 месяца назад
Hahah jipe moyo
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 3 месяца назад
Mambo yote uwanjani bwashe sio maneno vijiweni tusubiri.hamna haya mlichangia poit 6 ubingwa wa wananchi?
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 месяца назад
GB 64 nakuerewa
@tosh7671
@tosh7671 3 месяца назад
ULIONA WAPI WATOTO WANASHINDA KOMBE. MIGOGORO INAANZA RASMI BAADA YA KOMBE LA NGAO.MWEZI UJAO TU.
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 месяца назад
Fei ToTo karibu msimbazi rahatu
@Shirimaaloyce
@Shirimaaloyce 3 месяца назад
😂😂😂
@AnordKapalamba
@AnordKapalamba 2 месяца назад
Wivuwako unakusumbua
@HussainIgayo
@HussainIgayo 3 месяца назад
Kweri 😂😂
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd 3 месяца назад
😂😂😂😂leo unamtukana chama?kweli kolo kolo tu,..ngojeni legue ianze mtaanza ohooo viongozi wanakula 10% ohoo wametuletea magalasa
@edwarddastani3691
@edwarddastani3691 3 месяца назад
Tuliza mbulolo mzee muda utaongea 🙌 🙌 🙌 🙌
@HappyKitindi
@HappyKitindi 3 месяца назад
Kwani saido mlipomsajili hajatokea Yanga?
@bone102
@bone102 3 месяца назад
Katokea geita gold
@Papycon22_
@Papycon22_ 3 месяца назад
Kipindi cha usajili makolo wanaongea sana ila ligi ikifika katikati ni mtafutano 😂
@gerphasntaziha4475
@gerphasntaziha4475 3 месяца назад
Usiishi kwa kukariri
@Papycon22_
@Papycon22_ 3 месяца назад
Tusubiri mpigwe chuma tano halafu tuskie kelele za mangungu 😂
@RashidiMwiga
@RashidiMwiga 3 месяца назад
@@Papycon22_ maisha hayana formula so ukikalili utaferi
@uredipeter412
@uredipeter412 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bilombelekilozodieudonne123
@bilombelekilozodieudonne123 3 месяца назад
Mzamiru Yassin 😂😂😂 ni 30 bhana
@Mra_brandvevo
@Mra_brandvevo 3 месяца назад
Kumanina wewe ndo baba yake chizi 😂
@InnocentBobsleigh-mc6sm
@InnocentBobsleigh-mc6sm 2 месяца назад
Au 35 umefurahi xaxa
@DrjosephKingo
@DrjosephKingo 3 месяца назад
Ropokeni tu subirini goli nane mpalanganane tena na this time unaenda segerea kabisaaaa bwege wewe
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib 3 месяца назад
Kubalini ukweli
@georgeuswege5905
@georgeuswege5905 3 месяца назад
Ndo maana walikufurumusha kwa vyeti feki, angalia mazee yamekosa kazi ya kufanya yanamsikiliza kolo vyeti feki
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Wewe mwenyewe uamaliza hela ya kununulia kitumbua kwa kununua MB😂😂😂
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 3 месяца назад
Washirikina nyie, wanalogwa na nani? Mpira unachezwa mahari peupee.
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 3 месяца назад
Wachezaji wa bei nafuu tusubiri. Msianze kufungiana
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib 3 месяца назад
Chiziiiii hiloooo
Далее
GB 64 KWA HASIRA AMVAA MCHOME, ANASEMA SINA AKILI?
20:24