Тёмный
No video :(

GEAH HABIBU AFUNGUKA MAKUBWA KUHUSU MWIJAKU, UGUMU WA KUFANYA NAE KAZI 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 33 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

13 фев 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 Год назад
Wow kumbe ndugu nimefurahi kusikia ivyo
@hamidahamis4537
@hamidahamis4537 Год назад
Nyie wandishi acheni unafiki zai yupo vizuri Sana Tena sanaaaa uwa nashika mbavi zangu kwajili ya uchekeshaji wa zai
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 Год назад
Kumbe ndugu mashaallah 🥰
@welcometoeat165
@welcometoeat165 Год назад
Gea kwa mbali kama shishibaby Yan shilole
@bahakyejo3800
@bahakyejo3800 Год назад
Kweli kabisa
@dafemadafema1365
@dafemadafema1365 Год назад
Kweli
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du Год назад
Ndomana mme fanana sana
@consolatatemu8613
@consolatatemu8613 Год назад
Ndugu yake mtoto wa baba yake mkubwa
@BobMikwara
@BobMikwara Год назад
Anapambana sana Dada kuuliza maswali ya kinafik kufitinisha.. Alafu maskini huwaga hana bahati kupata majibu anayotarajia. Endelea kupambana mdogo. Ukikomaa utaacha maswali ya kizembe😂😂😂😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Mashaallah Zai anastahili sifa mie nilianza kumsikia kwny radio
@azizaabeid2055
@azizaabeid2055 Год назад
Hongera zai Yani nyie waandishi ni wambea mno kwa kweli ebu jaribuni kuepuka maswali ya kizembe mtu kashakwambia haelewi na akumbuki kilichoandika Bado unahoji wakati huyo mwijaku mwenyewe yupo mnajua kutafuta fitna nimekupenda Bure gea hukutaka ufisadi
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 Год назад
Hada huyu mwandishi wa Mbango tv wa kike kwanza hajui hata kuuli@a maswali na wala hajui kingereza utamsikia akisema neno la kingereza wee utazima tv kabisaa then mshamba hajui kuvaa anavaa kama msagaji na mkombanishi sana kwenye kuuliza maswali yake ni ya fitna looo Bongo hakuna waandishi kabisaa
@stelamwakatulile2455
@stelamwakatulile2455 Год назад
Mimi mwenyewe nampenda sana zai
@pendobaharia5598
@pendobaharia5598 Год назад
Kumbe ndugu 😍😍😍
@irakozeaisha3308
@irakozeaisha3308 Год назад
Mashaallah kumbe mwee ni ndugu
@sofina157
@sofina157 Год назад
Mungu akuweke dada Kwa kumsogeza kuwa juu zai
@abednego3876
@abednego3876 Год назад
Wachekeshaj wakike ndo kina nan mm namjua zai tu bn
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Год назад
Jaman mpk raha ndio maana mnaongea sn mastry ya zai anachekesha sn kwa raha zetu zai kiboko jaman
@sifamushi1747
@sifamushi1747 Год назад
Kweli kabisa Gea. Ngumu kufanya kazi na mwijaku..
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Love you Gea
@teedullah5708
@teedullah5708 8 месяцев назад
Ooh kumbe ni ddko
@norascoseggere9181
@norascoseggere9181 Год назад
Naomba namba ya huyu Dada geah habibu,nina shida yakijamii tafadhali
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Год назад
Kheee kumbe geah na zai ni ndugu ?! Makubwa ndo nimejua Leo
@r9ayyansaid652
@r9ayyansaid652 Год назад
Hata mie
@gaspamgasa2366
@gaspamgasa2366 Год назад
Ka geah kazuri jmn
@evaristmrope
@evaristmrope Год назад
Sio heshima yako amkia wewe ndugu mtangazaji 🤣🤣🤣
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 Год назад
Mmefanana hata hivyoo
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 Год назад
Mtangazaji mbea
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Год назад
lakini kweli Geah na Zai wanafanana
@ttss7716
@ttss7716 Год назад
Tanzania mko vizuri me dadangu uchekesha watu mpaka mazishini me ata siendi nae pahali 😆😆😆😆
@madaraka5290
@madaraka5290 Год назад
Zai anastahili hiyo tuzo
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Год назад
Mtu huziba paa lake, mpeni kazi Zai nae
@ramajuma4063
@ramajuma4063 Год назад
Mwandishi please
@mustaphasegeja1712
@mustaphasegeja1712 Год назад
Gea Habib
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Asaiv ni wakati wa zai hao wakila black pass sijui nan walikuwa kipindi hk
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Mtangazaji acha umbea
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Год назад
🔥🔥🔥🔥
@abrahambirech4187
@abrahambirech4187 Год назад
Uliza maswali ya Msingi mwandishi
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Zai kama zai
@mariamunika6239
@mariamunika6239 Год назад
Nilihisi ivyo kiukweli
@Official83640
@Official83640 Год назад
Hivi blackpass na Zai utawafananisha ww hebu muweke mwingine huyo hamuwezi Zai ww Zai kitu kingine kwanza hatumii nguvu nyingi kwenye kuongea na mkavu acha kabisa
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Год назад
sasa mambo ya mwijaku. yamefikaje?
Далее
MKE WA MWIJAKU AWEKWA KIKAO KIZITO,HAKUNA NDOA
12:02
Мухочирон эхтиёт бошед!
01:31
Просмотров 98 тыс.
Редакция. News: 129-я неделя
49:53
Просмотров 2 млн
Bosbranden in Griekenland onder controle
1:57
Просмотров 10 тыс.
‘Hieraan zie je dat Vladimir Poetin zoekende is’
10:11
Massale steun voor Eritrese relschoppers!
4:39
Просмотров 105 тыс.
Sterrenregen boven Groningen maakt indruk
1:12
Просмотров 1,5 тыс.
Мухочирон эхтиёт бошед!
01:31
Просмотров 98 тыс.