Msikilize mchambuzi na mtangazaji wa Azam Media, Gharib Mzinga akimchambua kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Ahoua aliyetokea Ivory Coast.
Ahoua ni MVP wa msimu uliopita katika ligi kuu ya Ivory Coast akiwa na klabu ya Stella Club d' Adjamé.
3 окт 2024