Hizi mbiringe zote ni mungu anaonyesha kuwa hakuna mtu mwenye uwezo wakushindana na uwezo wake,na hayo ni matokeo ya damu za watu na dhulma walizofanya kama NCHI Kabla na baada ya uraisi wake
Wazee wakirangi wapo Good mno babu yangu 10 nazaidi ana tebea anaona kwaza liishe yao original hakuna poobe Dj sumaa penda tena hapo unapogusea dini wallah allah akusemamie one
Sisi kwetu Burundi 🇧🇮 tuna hishi mwaka mingi😊 kila Sunday warundi wengi tuna kimbiya kufaya exercise😊 asilimiya kubwa tuko ivo! Naki gine Sugar kwetu Burundi 🇧🇮 ni big deal now😊 Sukari sio zuri ata kidogo😊 labuda beers 🍻 na beers 🍺 nita tizo la Africa kama yote😊 mwili ni lifestyle kwaza 😊 na mengine family una toka ndani😊👊🏿🫵🏿🇧🇮🇨🇩🇹🇿
Ukitaka kujua wanyaturu wanaishi miaka mingi ingia ndani ndani kugonga Miaka mia ni kawaida sana unakuta bado wako fiti, na singida Kwa sasa ndio ina wazee wengi sana!