*Unatuzalilisha waislam yni mkeo anachukuliwa hvhv harafu bila aibu unakuja ktk MEDIA dua zipo kazi ndogo sana hyo imamu gani usotumia imsni yko kumlalamikia ALLAH?ujinga mtupu hongera MWENYEKITI Kazi nzuri wametaka wenyewe hao*
Halafu waislamu Wazima hamjui sheria ya ugoni acheni habali zakuskia napia kama Wanawake wanajitambua hawawezi kufanya vitendo hivyo Sasa mwanaume unalia umegongewa wakati hata hujafumania Mwenyekiti mwenyewe anakichwa Kama rungu pia nuru yasura ishapotea ndio anaitwa handsome boy 😁😀😀
Uhend some uko wapi hapo wengine wanatumia pesa na wengine wanatumia ushirikina akikutamkia hutoki utampa tu unakuja kukumbuka keshafanya wanawake wengi
Huyo mwenyekiti hana shida ila tatizo liko Kwa wake zenu, wpeni matumizi ya kutosha wake zenu, pia wake zenu ni micharuko Kwa nn wasiridhike na waume zao?? Hapo kuna kitu usanii mtupu,
Afukuzwe na kwatabia hizi hastali kuwa mtumishi wa serekali mwenyekiti huyu kama atachangisha michango mkampa basi mtarajie atahamia kwa watoto wenu wakike