Hayo yameshagapita tumaeshayasikia sana,yani Hamonize kajuwa kukuumiza kichwa kweli big up Konde nafkiriya hata ukiwa faraha na mtu wako,anashtukaga jina la Hamonize linasemwa kwenye faraha lake limesahulika 😅
H baba ungekuwa unapigania dini yako ikakufaa akhera kuliko kila wakati kunanga wenzio mm najua mwanaume shababi mwenye kolomelo hazungumzii wanaume wenziwe just move on
H mama wewe ebu jaribu kujitengemea kama kimwanaume sawa usitengemee mwanaume kama wewe sawa kweli wewe ni mama jua ivo ..konde hatabaki kama yeye sawa
Chizii hiloo ombaomba.tafuta vya kwako.utabanduliwa kutaja vya bule.hiyo nyimbo ww umechangia nn?.hata nguo za kushuti umeshindwa kununua Malaya wakike ww