@@zainabzainab2422 mengine mwayasababisha nyinyi. Mke mkubwa akiolelewa mwenzake aenda mroga mumewe afanyiwe yeye pekeake. Vile vile mke mdogo wengine wakiolewa waroga waume zao wasione mke mkubwa. Sasa waeza mlaumu mume kumbe wake wenyewe mmoja nimshirikina
Natamani sheikh ungeanza darasa hili la ukewenza na wanaume.Wanaume wengi ndio tatizo hawajui kabisa kufanya uadilifu hadi inapelekea kuonekana uislam unamnyanyapaa mwanamke.
Asalama aleykum naomba na hili muliweke wazi jee wanaume wanao owa siri mke wake wa kwanz akajuwa kama kaoa kaamuwa kumuacha yule mwanamke bila ya kosa lolote kisa mke wake kajuw kama kaow inafaa hukum yake vip
Hakuna ruhusa kuomba pocket money,yuwasema km kula nakupa,kuvaa pia wavaa na kulala unapopakulala(nyumba)pesa si muhimu kupewa hata ukitamani kitu yabidi kuomba kwa baba ama kaka.
Wallah mwalimu Asalamu aleikum jamani mimi ni Mke wapili ila Ata niko naweka pesa yangu kidogo niweze kuuza Mahali Ata nikifa watoto wangu wajipange apo Ata sapoti ya kunipa dururu hanipi naa yuko na nyumba mbili Nairobi ushago mbili 😔😔😔 mm Ata Moja sin