Тёмный

ALBADIRI NI HARAMU? 

Izudin Alwy Ahmed
Подписаться 176 тыс.
Просмотров 86 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

6 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 275   
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 3 года назад
Tatizo ya huyu shekh huwa anaungaunga aya na kuzitafsiri kwa mtizamo wake bila kutumia mtizamo wa quran. Mtu yeyote atakaye amini na akasimamisha swala na akatoa miongoni mwa alivyo ruzuqiwa siri na dhahiri. MTU HUYO ALLAH AMEMPA DARAJA YA IBADII (tazama surati Ibrahim aya ya 31) Wala kushiriki vita vya badri si kigezo pekee cha kuwa ibadii
@abusalam7036
@abusalam7036 3 года назад
Niko na ww ndugu yangu huyu sijui ni kishehe alisomea wapi elimu yake ya dini kaipata anavosema yy anaharibu ummah kabsa hiyo ni shirk halafu anaitetea inawezekana
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 3 года назад
Ndo tatizo ilo mlionalo mamluki wap hamjaelewa Allah anaombwa mpaka kwa majina
@nadirbolo6687
@nadirbolo6687 3 года назад
@@omarykyutta6681 tatizo ni yako kaka.omba mungu,stop being lazy and wake up in the middle of the night just like prophet Muhammad ( saw).
@hassanyusuph9446
@hassanyusuph9446 4 месяца назад
Na shekhe alisema kua ni kigezo pekee !!? Tuwe bas tunaelewa mbona shekhe kafafanua vizur n aneona waz kua hawez mshirikish mungu n ametoa mfano wa shirk ww unamlazimisha kua anawapoteza watu dhid y shirk wale waliofinikwa n jabali walivyoomba kupitia mena walio fanya walifanya shirk tena kuna mmoja aliomba kupitia wema alio ufanya kwa wazaz wake hyo n shirk ok ALLAHU AALAM
@saidishekalaghe3496
@saidishekalaghe3496 День назад
Allah akupe Kila Lakheri Sheikh Wangu, Akupe Umri Mrefu tuzidi kustafid kutoka kwako.
@adamantmouscitty6146
@adamantmouscitty6146 3 года назад
Alhamdulillah umefafanua kiasi cha ufahamu wako. Ela maswali makuu yanayo tutatiza ni; 1) Kati ya Mitume na maswahaba ni gani wako naukaribu kwa Allah kutia nguvu kumuomba Allah kupitia kwao? Kuwa mbona tusitafute connections kwa allah kupitia kwa Mtume (SAW) 2) Nini maana ya matumizi ya ndimu, vijembe, sindano mbegu saba, chumvi katika usomaji wa albadri? 3) Maana ya kuchinzwa kwa mnyama wakati wa kusomwa albadri ni ipi? 4) Ipi dalili ya kuwa Mtume (SAW) alifanya hicho kisomo cha Albadri? *PLEASE EXPOUND ON THESE ISSUES*
@omarijuma854
@omarijuma854 3 года назад
Bd unaudhaifu wa ilmu kasome utjua
@adamantmouscitty6146
@adamantmouscitty6146 3 года назад
Ndo maana ya kuomba ufafanuzi. All the same, can I get a list of the relevant books I can refer
@FaaidaTVtz
@FaaidaTVtz 3 года назад
@@omarijuma854 Msomeshe sasa. Ameuliza kwa hoja mjibu kwa hoja.
@FaaidaTVtz
@FaaidaTVtz 3 года назад
@@omarijuma854 Ameuliza kwa hoja mjibu kwa hoja usilete ujanja ujanja.
@moddyhh
@moddyhh 2 года назад
@@omarijuma854 udhaifu wa elimu au swali gumu mzee
@saidyusuf4691
@saidyusuf4691 3 года назад
Subhaanallah hiyo ni fikra yako Shekhe mungu atuongoze hakuna kuomba kwa maiti je maswahaba waliomba kupitiya kwa ahlulbadr hawakuomba hiyo nishirk
@dulaseif5001
@dulaseif5001 Год назад
Kasome
@nduwimanayusuf7661
@nduwimanayusuf7661 Год назад
@@dulaseif5001 kasome wewe usiejua chochote
@aliomar612
@aliomar612 3 года назад
Shukran sheikh jazaka Allah kulu kheyri
@saidshariff9600
@saidshariff9600 3 года назад
Masha Allah sheikh langu mungu akupe umri mrefu tuzidi kunufaika na wewe
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 года назад
Amin ya Rabbi
@muhideennoor2458
@muhideennoor2458 3 года назад
Kitu kimoja nampendea sheikh izzudin hata kama ameikhtilafiana n mtu hamwiti majina ya kiajabu lakini kuna wengine utasikia huyo ni jahil n.k. mashaa Allah izzudin mungu akupe mazuri ya duniani n kesho akhera.
@abuuayubuassalafiyu3642
@abuuayubuassalafiyu3642 3 года назад
Kukhitalifiana sio sababu ya kumwita mtu jahili . Lkn ni haki mtu akiwa jahili kumwita jahili.
@alqaasim_a_tz2412
@alqaasim_a_tz2412 3 года назад
Atamuita nani Jahili wakati Yeye anaongea Ujahili hapa?? We waona atetea Shirik wazi wazi hapa
@muhideennoor2458
@muhideennoor2458 3 года назад
@@abuuayubuassalafiyu3642 hata kama mtu ana upungufu kwanini umtukane dini imeruhusu kutukanan na utajuaje mtu jahil kama wewe si jahil
@muhideennoor2458
@muhideennoor2458 3 года назад
@@alqaasim_a_tz2412 vile utakavyomuhukumu mwenzio ndivyo ulivyo si mtetei izzudin lakini muhsawahi kumfuata ukamrekwbish
@abdulbabalao3160
@abdulbabalao3160 3 года назад
Mola akuweke alhabib wetu na angalia wakti tunaoishi sasa compared 80s 90s kulivyokuwa na wachaji mungu barka rahaa masikizano natuangalie saahii twaishi tu kumaliza umri..
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 3 года назад
Asalaam alleykum warahmatulah wabaraqatuu Amiin ya Rabbil Allamin shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh kwa ilmu hii Mwenyezi Mgu akupe kila lililo la kheir
@Yussuf3145
@Yussuf3145 3 года назад
Amiiin yaa Allah
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 3 года назад
@@Yussuf3145 Amiin ya Rabbil Allamin
@isaamokoli9555
@isaamokoli9555 3 года назад
السلام عليكم شيخ عزالدين شكرا بسعة علمك نفعنا الله بعلمك يزيد الله علمك دائما آمين
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 3 года назад
@@isaamokoli9555 wa alleykum salaam warahmatulah wabaraqatuu amiin ya Rabbil Allamin
@jumahyusuf5524
@jumahyusuf5524 3 года назад
MaAshllh sheikh Allah akujaze...
@alimsemakweli1376
@alimsemakweli1376 3 года назад
Kafanya nini mpaka unamsifia?
@fatomhalogandy4045
@fatomhalogandy4045 3 года назад
MashaAllah shukran ya sheik for the elim
@salimmohamed3603
@salimmohamed3603 Год назад
Na vipi kuhusu hii Ayah وقال ربكم ادعوني أستجب لكم Jee hapo Rabbu ni wa watu fulani???
@wskn9061
@wskn9061 3 года назад
Hao waja wema watatu walitawassul na matendo yao mema, kwa sheria yaruhusiwa
@a.856
@a.856 3 года назад
Jazakallah khayran
@aboudal-nabahany5338
@aboudal-nabahany5338 3 года назад
MashaAllah Mungu akuhifadhi sheikh izudin
@genuine1575
@genuine1575 2 года назад
Allah akusamehe sheikh wapoteza watu,ombeni Allah direct.
@karimdaud3993
@karimdaud3993 Год назад
Ameen kwa sote na wee ulokua na elimu chache
@abuuayubuassalafiyu3642
@abuuayubuassalafiyu3642 3 года назад
Masufi huelewana wao kwa iweje utoe mada nyingine alaf unatoa aya hazina munasaba na mada yako huu ndio usufi .
@abdul-fatahyussuf7439
@abdul-fatahyussuf7439 3 года назад
Jibu lishatolew izo nyengn kw faid tu n upan wa kueleweshw watu km usuf unao ww
@salehally2744
@salehally2744 3 года назад
We salafi mbovu tu
@abujamalaalghammawiy7470
@abujamalaalghammawiy7470 3 года назад
Huyo Sahaba aliyeandika barua kwenda Makka anaitwa Khatib Ibn Abi Balta'a Wallah aalam
@AdilTwahir
@AdilTwahir 3 года назад
Barakallah feek
@nuurjumaan266
@nuurjumaan266 3 года назад
Shukran shekhe Allah bless u
@faridithomas4859
@faridithomas4859 3 года назад
Masheikh wa kisufi wako kinyume na tawheed! Masufi mtapotezwa sana na masheikh zenu
@faridithomas4859
@faridithomas4859 2 года назад
@Michelle Selenge jisufi
@aburayhanaabdul5881
@aburayhanaabdul5881 3 года назад
Mtu Akiibiwa huwa amedhulumiwa na hadithi ya mtume sallahu allaihi wassalam yasema mwenye kudhulumiwa haina pazia.
@AliOmar-bx2oz
@AliOmar-bx2oz 2 года назад
Kweli sheikh anatupoteza lakini simlaumu kwa sababu kila mtu ana upungufuwake. Unapomuomba Allah usitoe mashart kwa Allah. Unamwomba allah kupitia kwa watu waliopigana Badr. wao wana daraja lao kubwa peponi. Allah amesema niombeni ,mimi niko karibu kuliko mshipa wako wa damu.
@Habib_Swaleh
@Habib_Swaleh 3 года назад
Sheikh afwan tafseer ya ayah umeitafsir ki AMU !!!
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 года назад
Hatujaelewa ahlil Badr isomwe au isisomwe, lakini si kwa kuibiwa chupi, kwa mambo ya maana kama mtu kukukosesha raha kwa nguvu za giza ambazo zinabainika kisha mkosaji akakataa, Naomba nijibiwe tafadhali.
@khamisissa252
@khamisissa252 3 года назад
nguvu za giza ni lugha ya shirk...... haifai kutumia nguvu za giza lasawa ni kumuomba Allah. alafu tusiwe wepesi kuwaombea laana wanaoiba vitu vyetu...... tumuombe Allah awaongoze katika njia salama
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 года назад
@@khamisissa252 nguvu za giza ni sawa sababu wanafanyia watu kwa kificho uadui, Na ziko sababu kubwa za kuomba laana zao ziwarudie mtu anakuandama tangu utotoni hujui mpaka umekwisha kwa tutasoma madua makali makali na wao yawarudie kama ni mazuri kama tudiin tudaan roho kwa roho nafkiri iko katika dini hii inajulikana, kama inavyosemwa tukitaka kitu kwa mungu, niombeni nitawajibu, hata tusipomumba anatupa Alhamdulillah.
@mzeeyahya2516
@mzeeyahya2516 3 года назад
Mimi najua familia inayodhulumiwa zaidi ya miaka 10 hawana raha kwa kuandwa na Majini yakutumwa na mchawi, na wakisomewa ruqya hao majini hujigamba kwamba kwamba twatoka na tutarudi paka tuisambaratishe Hii familia, na kweli kila wakisomewa hutoka na kuwarudia, Sasa hapo suluhisho ni nini kama sio albadiri tu,
@aboudal-nabahany5338
@aboudal-nabahany5338 3 года назад
MashaAllah. Shukran jazeela sheikh
@rilkabuya6519
@rilkabuya6519 3 года назад
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, mashaallah tabarak allah mungu akuzidishie kila la kheir shekh wangu
@Yussuf3145
@Yussuf3145 3 года назад
Amiiin yaa Allah
@sabraham5308
@sabraham5308 2 года назад
Yahe muogope Allah ,msimtengenezee washirika haifai,omba msamaha na ulisahihishe hili,hayo unayoyatafsiri ni kupotosha,Allah anatosha,haelekezwi,huogopi kutengeneza Mshirika,hayo ndiyo yaliyowapoteza waliopita,stahafiru.
@ahmedbadi5822
@ahmedbadi5822 3 года назад
Mashallah mashekhe wetu huogopa na ilhali ndio tuko kwa haki, wao misikiti ya kisunni hutoa darsa kina abu qatada hutoa darsa kaloleni marembo obo akatoa kishada Raashidina lakini ole wako Izzu ddin au ust Abudi luttah ama azhar, uthman maalim akitoa darsa Buxton lakini mmoja na uduktur wake kamkataa. Mashekhe wetu amkeni hakuna uzuri kwa watu hawa.
@muhammadmochenje1409
@muhammadmochenje1409 3 года назад
Hawa hawana kheri uvamia misikiti na kusema eti misikiti yote ni ya Mwenyezi mungu lakini yao ya Kiwahabi hawataki shirika za watu wajuwa kuzivamia
@abdallahsaid1968
@abdallahsaid1968 Год назад
Ifatwe hakki sio ushabiki wengine sio waislamu wanataka kuvuluga waislamu
@maabadimakereta3686
@maabadimakereta3686 3 года назад
Mwenyezimungu ana majina mazuri MUOMBENI kwayo....
@fatimahhassan5904
@fatimahhassan5904 3 года назад
MashaAllah sheikh nime pata Elmu kubwa kupitiya wewe....Baraka Allah fee kumm
@abusalam7036
@abusalam7036 3 года назад
Sister plz utakosea ukimfuata huyo kishehe kweli usiombe kwa kumtia mjaa wowote kati halafu ndio iyende kwa Allah no ways like that usijaribu anakuwapotezeni bila yy kuifahamu dini vzri
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 3 года назад
@@abusalam7036 toa ujinga wako hapa
@nadirbolo6687
@nadirbolo6687 3 года назад
@@omarykyutta6681 ujinga Gani,mbona usimuombe mungu wewe? Salatul leyl ni ya nini?
@yahyarwagasore8313
@yahyarwagasore8313 3 года назад
Shukrani jazila sheikh ila unakuwa mtu anakuja kwa Allah kupitia tawasulu saasa mara nyingine unakuwa japo hivo Marhaba mkubwa unakuwa kwa kitu mtu alico tawakali zaidi ya Allah japo hajaakiomba hivo Napo hiyo Allah atamcukulia aje
@saadakhalfan945
@saadakhalfan945 3 года назад
hao wamekwisha fariki dunia wanahitaji kuombewa duaa ingekua bado wako hai hata mm ningewaomba waniombee dua
@khamisissa252
@khamisissa252 3 года назад
Allah akubaarik. kwa kuelewa. wangekua hai tungewaambia watuombee lakini hawapo sasa
@hajimohd7022
@hajimohd7022 3 года назад
upo sahihii dada
@AdilTwahir
@AdilTwahir 3 года назад
Wapo hai
@ashrafyyousuf6821
@ashrafyyousuf6821 Год назад
Wallahi badri nihistoria nzito sana, na wale waislamu wallahi wana Iman yaku beba Dunia nzima, nani,? Kama wao
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 3 года назад
Kwahivo kuna waja wake wasofanya dhambi? maana binadamu wote ni wakosa na mbora nimwenye kutubia, sasa asiepitiwa na shetani hawezi kufanya dhambi, washirikina wakuu.
@swalehemusakiluwa9405
@swalehemusakiluwa9405 3 года назад
Qur'an maneno ya Allah ni bora kuliko mtume sheikh hapo mimi sijaelewa hembu nieleweshe tafafhali
@mohammedwedding6530
@mohammedwedding6530 3 года назад
Kweli kabisa na jibril kamshushia mtume salah Allah aleyhi wasalam kwa sababu ni bora .
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 года назад
Mtume Muhammad SAW nae ni wa Allah pia.
@jumachivamba8811
@jumachivamba8811 3 года назад
Rejea nguzo za Imani kwa mtiririko wake utapata jibu.
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 3 года назад
Quran ilikuj kwa ajili ya mtume hapo unadhan kipi bora kati ya aliyofatwa na alieifata
@jumachivamba8811
@jumachivamba8811 3 года назад
Mrejee nguzo za Imani ndgu zangu!zmepangwa kwa mtiririko ndipo elewa.Hyo habari ya ubora no kpi inakujaje tna.emu rejeeni baada ya kuamini Allah inakuja nguzo ipi?
@user-hq9ev1ky2z
@user-hq9ev1ky2z Год назад
Mashallah
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 года назад
Hivi Waislam tumerogwa na nani, hatukubaliani kwa lolote! Mimi naamini mbele ya Mungu hatupo sawa wapo wenye daraja kuliko wengine. Dua ya Mtume Muhammad SAW na yangu sio sawa.
@nadirbolo6687
@nadirbolo6687 3 года назад
Weka mtume saw Kando,we wajua VP mtu amekushinda darasha? Wapima na nini haswa? Mtu anaweza kuwa muovu na akawa swala tano anaswalisha msikitini.
@fahadtimimi9335
@fahadtimimi9335 3 года назад
Sheikh wale watu walitawasul Kwa mema Yao ..
@mwinyimwashambi7175
@mwinyimwashambi7175 3 года назад
Ustadh salam alykum,,,, wakati wa jahilia watu wa makka walkua wakiabudu masanamu kwakisingizo cha kua masanamu hayo yanawaeka karibu na mungu ,,,je hio nayo ilkuaje haramu?
@abdul-fatahyussuf7439
@abdul-fatahyussuf7439 3 года назад
Maswali mengn lzm tuangalie tukiuliza hivi sanam limefany ibada gani kw Mungu atauseme namuomb Allah kw niaba ya Sanam hilo sio sahihi kw waja wem wamefny yanomridhi Allah nd unawez kufny hvy
@antv5590
@antv5590 2 года назад
Swadaqta Sheikh Izzudin...
@ashuashu3843
@ashuashu3843 3 года назад
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh.
@fawashamfawasham5245
@fawashamfawasham5245 2 года назад
Kutawasal kwa vitendo zako yafaa ..lkni haifai kutwasul kwa mtu
@carolinetev2631
@carolinetev2631 3 года назад
Mashaallah Sheikh izudin kazi nzuri
@rukiasalim3376
@rukiasalim3376 3 года назад
Thanks 66776⅞66 to 76
@ashrafyyousuf6821
@ashrafyyousuf6821 Год назад
Hata nasikiaga kuwa mtu kama yupo kwenye kundi na watu wanao fanya mkutano wa Allah hata kama ame lala nayy ana pata thawabu... Na dambi vile vile
@user-ql2om7qj3v
@user-ql2om7qj3v 3 года назад
Wewe shekh hufai kusikizwa utapoteza watu.
@muryd6999
@muryd6999 3 года назад
Shukran Sheykh
@sheriffshatterz
@sheriffshatterz 3 года назад
Nataka mumuulize izzudin, katika ya watu wa ahlul badri na mitume wa Allah nnani ni bora? Pili, manabii wa Allah wataingia motoni? Ikiwa jawabu lake la swali la kwanza na la pili ni: 1.manabii wa Allah na hawataingia motoni, kwa munasabaa je yafaa kutawassal na majina manabii wa Allah? Akisema yafaa, mwambie atunukulie dalili imma nass ya Qur'an ama hadith swahih kutoka kwa mtume صلى الله عليه وسلم Ikiwa hakuna basi jueni ya ikhwani kuwa haya ni katika mambo yaliozuliwa tena ni mambo ya hatari kwa sababu ni mas'ala ya aqeedah ambayo yanaweza kumtoa mtu katika mila ya kiislam.. اللهم ارنا الحق الحقا وارزقنا اتباع وارنا باطل باطل ورزقنا جتنابا
@user-ed2sz8kt3i
@user-ed2sz8kt3i 3 года назад
آمين
@tanzaniaonmzamiloon8627
@tanzaniaonmzamiloon8627 Год назад
Nyei ndo bure
@binyamiinabubakar4325
@binyamiinabubakar4325 3 года назад
Hiyo ni shirki mungu Asema kwenye quraan ولله الأسماء الحسنى فاعوه بها kwa nini tuombe kwa watu wa Ahlul badri?
@AliOmar-bx2oz
@AliOmar-bx2oz 2 года назад
Quran Al Naml 62-- Au nani yule anaye mjibu mwenye shida pale anapo mwomba, na akaiondoa dhiki, na akakufanyeni warithi wa ardhi? Je! Yupo mungu pamoja na Mwenyezi Mungu? Ni machache mnayo yazingatia.
@ismailjuma3692
@ismailjuma3692 3 года назад
Mashaallah somo zuri kwa wale wenye akili.
@sergeramazani7027
@sergeramazani7027 3 года назад
Ibaadii piya ni hata Wale wanaokosa sheikh. soma Zumar 39:53. Siyo tu Wale Wale ambao shetani hawezi kuwapotosha.
@abuufauzan9775
@abuufauzan9775 3 года назад
Wewe hujamuelewa anamaanisha wale waja ambao wenyekujibiwa hapo hapo niwale wasiopotoshwa na ibilis ndomaana yahizo aya mbili alizozitoa
@suleimanmohammad4141
@suleimanmohammad4141 3 года назад
ماشاءالله
@AliOmar-bx2oz
@AliOmar-bx2oz 2 года назад
Waambie watu wamwombe Allah direct wasipitie kwa watu au kwa mashart fulani. Tuifuate kwanza Quran, tusipoelewa tuangalie kwenye Hadith.
@zaitunimakiya7096
@zaitunimakiya7096 2 года назад
Maaashallah kwa ufafanuzi mzuri wa albadiri allah karrima
@mariamuharubu6577
@mariamuharubu6577 Год назад
Sheh nimekuelewa Sana Mimi nilisoma alali albadil Kwa mikono yangu mwenyewe na ikatiki niliweke kinga kwenye eneo Lang lipo Zanzibar imenisaidia Sana tena majangili watu wanao taka zukunizulumu walishindwa kunizulumu
@utaani1
@utaani1 Год назад
Naomba namba yako nataka huyo alokusomea maana kuna mwanamke anataka kunidhulumu nimechoka nae
@yahyaibrahim1165
@yahyaibrahim1165 Год назад
ALLAHU AKBRA ,MASHA ALLAH.
@salehpandu2250
@salehpandu2250 3 года назад
Amin sasa huyu shekh Mtoto Bachu wapi hujafaham ndo shida ya kutafsiri neno kwa neno, ambayo wanayo vijana wengi wanaopenda kukurupuka na kutumia mitandao
@greatiq7835
@greatiq7835 3 года назад
Kwa hivyo wanao omba kupitia Yesu wako sawa?
@muhidinzaidi4929
@muhidinzaidi4929 3 года назад
جزاك الله خيرا وبعد الخير جنة النعيم
@suuahmed71
@suuahmed71 6 месяцев назад
Wameelewa shekh. Hawataki tu kukubali. Tuachanae nao wasoikubali ahlul badr
@mohammedhegdah
@mohammedhegdah Год назад
Wasiopotezwa na Iblis Ma'asumin peke yao nao ni Mitume. Je, hao ahlul badr ni Ma'asumin?
@sharifally28
@sharifally28 Год назад
Naam sheikh una elimu kubwa: kwasababu huyo aliye andika barua alifanya kosa kubwa sana. Lakini walisha ambiwa mmsahewa na mfanye mtalako.
@saidibrahim1699
@saidibrahim1699 3 года назад
Amina
@catherinendagwe5312
@catherinendagwe5312 Год назад
Nataka kusomewa al badir nipeni connection pls.
@AliOmar-bx2oz
@AliOmar-bx2oz 2 года назад
Maana ya neno ibadi ni mtu yeyote anaemtii Allah. Unapomtii Allah kikweli sheitani atakuchezea lakini hawezi kukupoteza kwasababu Allah anakulinda. Sasa Sheikh unatufanya tujione sisi sio ibadi wa Allah kwahiyo lazima tufanye tawasul. huu ni mtihani ndugu yangu katika imani. mimi nakupenda ndio maana nakutaka ujisafishe maana humu ndani waopenda mambo ya halbadiri wamefurahi washapewa ruhusa .
@rashadymuhamad6293
@rashadymuhamad6293 Год назад
Sheikh Ali kama nimemfaham sheikh hiyo hiyo asmaau Ahlulbadri ina nidham yake, Ufaham m_baya wa baadhi yetu huitumia vibaya kwa kuwasababishia madhara wengine badala ya kinga ya uadui. Watu huitumia kwa maangamizi, marogo nk.
@farhannurkey
@farhannurkey 3 года назад
kaeni mbali saaana..huu ushirikina ukifa nao motoni milele
@AliOmar-bx2oz
@AliOmar-bx2oz 2 года назад
Mtu kakuibia kiatu Ukienda kwa Sheikh anakuuliza unataka Albadiri ya aina gani. tumtie kichaa ? au tumuuwe? Kuna albadiri za kuua kutia watu vichaa, kusafirisha watu kwa wapumbaza akili na kuna za kukinga aidha mwili nyumba eneo la biashara. Alafu Sheikh wangu unasema Halbadiri sio Shirk. ??????? Ndugu yangu jiondoe kwenye dhima hiyo, uwe msafi .
@profs.a5412
@profs.a5412 3 года назад
Mtajuana tu kama mnafanya uchawi au la!! ........bishaneni vizuri .......@bwana mmoyaaa
@mrsultanzimbwe6746
@mrsultanzimbwe6746 Год назад
Tutajue Swahaba mmoja au Tabii alyethubutu kuomba kuptia Ahlu badri wacha upofu wa lazima
@yahyaibrahim2570
@yahyaibrahim2570 Месяц назад
YAHYA AHMED IBRAHiIM war na SOMALILAND TUGU TAFASHA WACHOKOZL AND MASHOGA.
@salumsalim5515
@salumsalim5515 3 года назад
Lakini sheikh hao watu iblis hatowaweza sisi wote waislam wenye kutubu tumbo humo Wanaowezwa na iblis sio katika waislam Kama unaweza tufafanulie tena sheikh
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 3 года назад
Wale waisomayo Quran lakin hawaifatii
@rahmahsaidomar9111
@rahmahsaidomar9111 3 года назад
Jamani na mimi nieleweshwe vyema. Yaani tuombe kupikia kwa watu wema. Haya tofauti na hao wanaoomba kupitia bwana yesu nasi tuombe kupitia wana albadiri ni ipi?
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 3 года назад
Tafauti ni kuwa sisi twa muomba yeye allah kupiya wajawake wema na wasio kua waislamu wanamuomba yeso mwenyewe hawapitii kwayeso namuomba yeso mwenyewe.
@abaafarhat9191
@abaafarhat9191 3 года назад
Kwanza hakuna amjuaye mja mwema utanijuaje kama afanya mema mchana usiku ni mwanga we usitunganye shehe Albadri ni haramu unavyozidi kuelezea na kushawishi tukubaliane na Albadiri ndo nazidi kukuona hufai kabisa unapotosha jamii
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 года назад
Alhamdulillah
@masoudlikhan8722
@masoudlikhan8722 4 месяца назад
Bangi mbaya...
@binyamiinabubakar4325
@binyamiinabubakar4325 3 года назад
KISHA MASAALA YA عبادي UMETOA DALILI KUWA NIWATU AMBAO SHETWANI HAWEZI KUWAPOTEZA IKIWA WALE NI عبادي NA SISI NI NANI KWA MUNGU?
@ahmadshikely8581
@ahmadshikely8581 3 года назад
عبد
@alqaasim_a_tz2412
@alqaasim_a_tz2412 3 года назад
Labda Sisi tuano Chezewa na Shetan Tutaitwa A'duwwiy (subhaanallah) Huyu bwana Izudin ana vituko kweli
@nasibuabasi4701
@nasibuabasi4701 2 года назад
Hiyo hadithi mbona kama umeiweka sehemu ambapo sipo mahala pake mtume amesema wale watu watatu walielezea matendo yao sasa wewe kuomba kwenye kaburi la shekh wako alikufa miaka iliopita sasa hapo kuna uhusiano gani?
@mdumbemalongo4518
@mdumbemalongo4518 2 года назад
Wacheni SHIRK ENYI MAKHURAFI....MUOGOPENI ALLAH.....SHIRK YAANGAMIZA JAMAAAAAA
@abdulhalimsadick2251
@abdulhalimsadick2251 3 года назад
albadiri n shirki huyu sheikh anapotosha watu tusomeni dini yetu waislam wenzangu... allah anasema tumuombe kwa majina yake 7:180. hyo ni sawa na shirki wanayoifanya wakristo kumuomba mungu kupitia issa sala na salam ziwe juu yake...
@mohamedfaki1666
@mohamedfaki1666 3 года назад
Yani Izuddin kuwa makini na fatawa zako
@arafathassan9720
@arafathassan9720 3 года назад
Common sense watu wamekufa wawaomba kupitia kwao Kwa nini huezi kmuelekea ALLAH ukamuomba.
@binmwerionlinetv1256
@binmwerionlinetv1256 3 года назад
shukran habib
@alafasyprintingservices660
@alafasyprintingservices660 3 года назад
ALLAH ATUHIFADHI INSHALLAH
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 3 года назад
MashaAllah Shukran Jazakallahu kheir
@yahyaibrahim2570
@yahyaibrahim2570 Месяц назад
Mahakama stop full stop
@uthmanihimbawe5244
@uthmanihimbawe5244 3 года назад
Hiyo khabar ipo Kitabu gani shekh?hiyo ya barua ally alioichukua kwa huyo dada,nisaidie kwa faida zaidi🙏
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 3 года назад
(البخاري: كتاب الجهاد والسير، باب الجاسوس [2845]، ومسلم: كتاب فضائل الصحابة، باب من فضائل أهل بدر [2494]). [4]- (مسلم: كتاب صلاة المسافرين وقصرها، باب جامع صلاة الليل ومن نام عنه أو مرض، [746]، وأحمد [25341]، واللفظ له، وقال شعيب الأرناءوط: "إسناده صحيح على شرط الشيخين"، والبخاري في الأدب المفرد [308]). رابط المادة: iswy.co/e12hfr
@uthmanihimbawe5244
@uthmanihimbawe5244 3 года назад
@@IzudinAlwyDin shukraan shekh
@allolelille4936
@allolelille4936 3 года назад
0:50 - Ustadh Izudin hebu rudi nyuma na utafakari vipi utaomba kwa kupitia mja kama wewe ilhali maombi ni baina yako na Mola wako Ambaye ni mwingi wa rehma na kusamehe
@fahadtimimi9335
@fahadtimimi9335 3 года назад
HAIFAI KUSOMA.ALBADIRI
@abuusuleym3676
@abuusuleym3676 3 года назад
acha kupotosha watu
@TheAmadoni
@TheAmadoni 3 года назад
Ma Shuhadaa wa vita vua Badr, wahusiana vipi na mtu kuomba dua yakumdhuru mwenzake ! Sote twajua ukisema wenda soma Albadiri means wenda omba dua kumdhuru mwenzako. Nani alitaka pepo ama ne3ma akaenda soma Albadiri?!!!
@zaitunimakiya7096
@zaitunimakiya7096 2 года назад
Alhamdulillah rabbghalami darasa zuri sanaaa
@allolelille4936
@allolelille4936 3 года назад
ustadh mbona wajichanganya, maneno yako yakowazi wacha kuyakunda maneno
@ghalibhemedsaid9306
@ghalibhemedsaid9306 4 месяца назад
Sasa hiyo ndo shirki kabisaa unayoyasema.
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 года назад
Ahsante SHEIKH
@kadirmustafa9130
@kadirmustafa9130 3 года назад
mashaAllah
@abdulatifmwaniki4394
@abdulatifmwaniki4394 3 года назад
Mashaallah
@islamismydheen9505
@islamismydheen9505 3 года назад
Sheikh mkali leo
@daleylahdaleylah2018
@daleylahdaleylah2018 3 года назад
Kumbe na ww umemuona eeh...
@omarissa7437
@omarissa7437 Год назад
Hapo kuna mushkel
@mariamuharubu6577
@mariamuharubu6577 Год назад
Sasa hivi wananiita muchawi mkubwa Sana
@ashrafyyousuf6821
@ashrafyyousuf6821 Год назад
Swadaqta🎉🎉🎉🎉🎉
@mohamedamiri4597
@mohamedamiri4597 3 года назад
Shidada nikwamba Sheikh izzu diin lugha ya kiarabu wengi yawatatiza
@anksusiabdurashid114
@anksusiabdurashid114 3 года назад
Mashaa Allah
Далее
CHUMVI NA MWANAMKE
16:57
Просмотров 192 тыс.
JEE YAFAA KUWEKA 40 YA MATANGA
9:30
Просмотров 52 тыс.
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Fixing Plastic with Staples
00:18
Просмотров 968 тыс.
JE YAFAA KUMROGA ANAE KUHARIBIA NYUMBA YAKO
16:34
Просмотров 148 тыс.
NI IPI HUKUMU YA KUSOMA ALBADIRI? SHEIKH MZIWANDA
3:22
VIPI UTAOGA JANABA
17:27
Просмотров 290 тыс.
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
JE YAFAA KUTAWADHA UCHI (NAKED)
9:43
Просмотров 169 тыс.
NDOA BAADA YA ZINAA
11:14
Просмотров 101 тыс.
TALAKA YA MKE MZINIFU
17:37
Просмотров 79 тыс.
SHEIKH IZUDINI AMTUNZA SHEIKH OTHMAN MAALIM
14:58
Просмотров 29 тыс.
Sheikh Hamza Mansoor - Hasad
41:51
Просмотров 139 тыс.
NININI NDOA
48:06
Просмотров 44 тыс.
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17