Mzee Jusa nakuaminia pamoja na nguvu ya wenzako ya kuweza kuwaunganisha Wazanzibari wote. Tunataka Zanzibar Maya Zanzibar Kamili. Ngieni Kazini kuikomboa ZNZ.
Wazanzibar tunajitambua na kuijuwa historia yetu,hulka na silka zetu,hivyo hata Mwinyi antandike Tatan ktk barabara zote za Zanzibar kama hatakubali tutakavyo sisi wenye Nchi basi ataendelea kututawsla kwa mabavu na sio kwa ridhaa yetu!
Ikiwa uhuru kamili itapatikana kwa salama vizuri lakini ikiwa kwa mauaji apana NA wawe. Jirani mwema NA undugu endelea kwa sababu tabia kati ya zanzibari NA bara tafauti kutawala kwa nguvu haifai maana inayo onekana kwamba wazanzibari kwa ujumla hawataki huo mungano kabisa lazima warudi kwa wanainchi wakitaka mungano okey hamna neno
Ipo sik inshaallah ccm wataondk t na akiondk wasitarajie tena ccm kuwep zanzibar itakuwa ndio mwisho waoo mbwa awooo tumewachok wanzanzibar hatuwatak naamin inshaallah ikipata Act serekali basi kadi zao ccm zitachomwa bila mafuta
ulio ongea kuhusu timu ya taifa zanzibar ni jambo zuri , nna imani mh mwinyi litamfika na ata lifaanyia kazi....✍️, lkni miaka 5 mengine mh mwinyi ina mstahili kwa mengi yanayo fanyika na ujenzi unaoendelea ktk mikoa yote ya zanzibar # tudumishe amani kwa maslahi ya taifa💚💛
@@KassimAlly-xp4dz ndio moja katiya chachu za maendeleo na uwekezaji ndani ya nchi ni barabara, muekezaji akija kweny nchi huangalia sera na miundombinu itakayo muezexa kuwekeza n kupata faida
@@KassimAlly-xp4dz kama barabara, mradi wa umemw w upepo unao endelea kutekelezwa, hoteli z kisasa n amani y nchi pamoja na natural resources zilizopo vinafanya urahisi w maisha kw wawekezaj n raia w kawaida
Ulianza vizur umemalizia vibaya huyo mansuri katulaza zanzibar kiza miezi zid ya m4 akaleta majenereta hadi leo hayajawasha hata kijiji akaiba mashamba yawatu na viwanja ndo akatuletee maendeleo ...bora nianzishe chama changu tu
Kuna vingi vya kuzingatia kabla ya kupiga kelele:- 1. Nje ya Muungano sisi ni visiwa viwili vikuu kwa yanayoendelea sasa tu ACT tutaweza kuishi pamoja? 2. Mbona hata yaliyo nje ya Muungano hayaendi vizuri? 3. Nini hatma ya wenye mali upande wa pili? 4. Muungano sijuwi hauvunjiki kwa nini ikiwa tunaodai wanatuonea nao wanalia.
LENGO LA MUUNGANO NA SIASA YA RAIS NYERERE @@ahmedalbalooshi8518Kwa sababu: 1) Muungano ulikuwa Siri ya Nyerere na Karume peke yao. 2) Rais Nyerere ni Mazaliwa wa Tanganyika na Rais Karume ni Mzaliwa wa Nyasaland. 3) Rais Abeid Karume alitishwa kukubali Muungano. Na mpaka sasa Jeshi hupelekwa Zanzibar kulazimisha Muungano. 4) Muungano ni Koti la Ukoloni wa Tanganyika linalowabana Wazanzibari kama Rais Abeid Karume alivyolalama.😂 5) Kuondoka kwa Rais Karume kumerahisisha Nyerere kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kulinda Muugano. 6) William Lukuvi alidhihirisha Kanisani kuwa Muungano ni Vita Dhidi ya Uislam Zanzibar. 7) Kulinda Muungano ni lengo la Nyerere kuiburura Zanzibar kama alivyoahidi kabla ya Uhuru wa Tanganyika. 8) Bila ya Muungano na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Maskofu wasinge pendekeza Vatikan City, Nyerere kuwa Mtakatifu.
Nchi imengiq kwenye laaaan haina neema watu wanatoho mbaya choyo,chuki husdaaa zimewajaa kwenye mioyo yao kila wakiona wazanzibar wanafaidika nafsi zinawaumiza hasbillah waneema lwakil
Kizazi kitakachotuvusha sio wewe na mansuri. acha uongo umri wako zaidi miaka 60 Na huyo mansuri ni mwizi tu alifanya nini wakati ametunukiwa na shemeji yake uwaziri wa nishati. unakumbuka majenereta mia moja ya caterpillar ununuzi wake na utendaji wake kazi wa siku 14 tu serikali imeingia hasara zaidi bilioni 113 na hayakufanywa kazi tena. kashfa hiii imeipita ile ya richmond
Nyinyi Wapinzani munawaona wazanzibar walio wengi sio waelewa. Jussa km muna lengo la kushika hii nchi basi jueni kua lengo lenu ni kama ndoto tu. Musitegemee km siku mutaongoza hii nchi. Endeleeni kula ruzuku munazopewa na Serikali kupitia migongo ya Wananchi