Тёмный

HAMISA MOBETTO Afunguka Nilimwambia AZIZ KI Abaki YANGA/NI WAPENZI?/Ashikwa KIGUGUMIZI 

Rick Media
Подписаться 867 тыс.
Просмотров 76 тыс.
0% 0

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RU-vid channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Опубликовано:

 

21 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@filbertntibasiga8093
@filbertntibasiga8093 Месяц назад
Tungekuwa na wadada wenye kujielewa kama hamisa tungeona mengi mfano Arusha wazungu Kila kukicha wako pale wadada wa kimeru wamebaki kushangaa tu chukueni fursa
@free2tree
@free2tree Месяц назад
boya sana we jamaa waache dada zetu
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 Месяц назад
Etie ndugu zanguni katika imani daah mobeto bwana uishi maisha marefu zaidi dada yangu katika imani
@MuntuwimanaYona
@MuntuwimanaYona Месяц назад
Wasimcukie hamisa mobetto Kwa sababu nitajiri mwenye uwezo anapambana kingine capiri , kama amempenda mobeto azizi k mapenzi yapo Dunia nzima msiwe na wivu kama nayeye azizi k amempenda fresh mobeto mzuri sana
@ObedyMollel-w8g
@ObedyMollel-w8g Месяц назад
Very good hamisa mobeto
@GraceMbulu-rp8ko
@GraceMbulu-rp8ko Месяц назад
Kazi nzuri mobeto nakupenda❤❤❤❤
@SalmaShilla-c1t
@SalmaShilla-c1t 20 дней назад
Nampenda huyu dada jmn
@user-bu9wj5pi3t
@user-bu9wj5pi3t Месяц назад
Really hamisa
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 Месяц назад
Hongera sana Misa ,umeweza kuonyesha njia kuwa ukimtegemea Mungu na ukafanya kazi kwa bidii kila kitu kinawezekana.
@McmnagoLikoko
@McmnagoLikoko 27 дней назад
Kaz gani kujiuza au
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 27 дней назад
@@McmnagoLikoko acha makasiriko ndg yangu tafuta hela ,kama virahisi ,ingia kujiuza nawe.
@AyshaTt-zp7yu
@AyshaTt-zp7yu Месяц назад
Ongela.sana.kipenzi.❤❤❤❤❤
@KelvinMwawite
@KelvinMwawite 22 дня назад
Kwakweli huyo shemeji yetu mobeto ashukuliwe kwaku muambia azz k abaku yangaa
@devotabashome1090
@devotabashome1090 Месяц назад
Aziz kabaki kwa mapenzi ya yanga na mashabiki zake
@ramadhanimurid6238
@ramadhanimurid6238 Месяц назад
Furaha ni bora kuliko pesa wangap wana hela lakin hawana furaha aziz k kachagua furaha sio hela
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 Месяц назад
We thank you
@KelvinMwawite
@KelvinMwawite 22 дня назад
Yaaah nikweli ❤ yangaa
@ADELADamus
@ADELADamus Месяц назад
🎉🎉Viziri Sana
@rachellukosi8860
@rachellukosi8860 Месяц назад
Hatakama kabaki kwaajiri ya mwanamke inakuusu Nini 😂😂 ss ndo yanga bwana
@JumaMusa-q4y
@JumaMusa-q4y Месяц назад
Azzi ki anapenda furah kuliko pesa ila nampongeza sana
@FredymaswiMwita-oj6gv
@FredymaswiMwita-oj6gv Месяц назад
well done dada
@musamusa6213
@musamusa6213 Месяц назад
Bgp sana hamisa
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Месяц назад
Yaani mahojiano yote yalilenga kwa Azizi
@elipidhugotesha1909
@elipidhugotesha1909 Месяц назад
Ni marafiki wa kawaid tuu General or normal friends ambayo haiko na shida
@Mercy_Lifestyle254
@Mercy_Lifestyle254 Месяц назад
I just love her
@HamadMussa-rf3df
@HamadMussa-rf3df 15 часов назад
Tuna omba kazi dada
@MpelwaMakolo
@MpelwaMakolo 12 дней назад
❤❤❤❤❤❤
@user-pb6mt3wx4z
@user-pb6mt3wx4z Месяц назад
❤❤❤❤
@RukiaHaji-m8h
@RukiaHaji-m8h 16 дней назад
❤❤❤
@ZamyIsmaily
@ZamyIsmaily 11 дней назад
Ilo gauni si ndo jenzi ya yangaaa
@NaomySamwel
@NaomySamwel Месяц назад
Kyaaaaaaaaa
@anoldkapinga758
@anoldkapinga758 Месяц назад
Acheni majungu yy kaamua kubaki hapa km ww unavyoamua kufanya yako, najua huu ni usimba na unajua uwezo wake, tusubir tar 8 dawa iwaingie
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu Месяц назад
Waandishi wa bongo wambea sana 😂😂😂😂😂
@Mercy_Lifestyle254
@Mercy_Lifestyle254 Месяц назад
❤❤❤❤❤
@RukiaHaji-m8h
@RukiaHaji-m8h 16 дней назад
Mmh
@user-un7eg3sc6d
@user-un7eg3sc6d Месяц назад
Ukosahihi mobeto
@user-un7eg3sc6d
@user-un7eg3sc6d Месяц назад
Nimependa majibuyako kabisaa
@yakoubaliy7559
@yakoubaliy7559 Месяц назад
Kazi kwanza mapenz baadae
@Reyy2406
@Reyy2406 Месяц назад
Hadi na mimi nimecheka 😂😂
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini Месяц назад
Wandishi hawawezi achamtu salama😂😂
@johnlyimo5971
@johnlyimo5971 Месяц назад
❤😂❤
@Mrsule255
@Mrsule255 Месяц назад
406 subscribers 🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏🙏...!!! Let's go!!
@mitinjemaziku
@mitinjemaziku Месяц назад
Duuu 😮😮
@AsiaNgoleka
@AsiaNgoleka 29 дней назад
Hamisa ni timu Gani anaishabikia? Tupe jibu tukutadhimini
@elipidhugotesha1909
@elipidhugotesha1909 Месяц назад
Niwajulishe tuu kwamba Aziz ana project maalumu na yanga Kubakiza kombe la africa kwa mara ya kwanza apa kwetu Tanzania Ongeen mumalize ila kilichomubakiza ni hiyo.project
@drgeofreykupaza7707
@drgeofreykupaza7707 Месяц назад
KIBETO RELATIONSHIP
@user-bx5tv4sr9m
@user-bx5tv4sr9m Месяц назад
Waandishi ! Ulizeni maswali ya msingi. Try to be proffessional
@yakoubaliy7559
@yakoubaliy7559 Месяц назад
Huyo sio mchezaji mpira ni malaya tuuu 😂😂😂😂
@ashaali7154
@ashaali7154 13 дней назад
Malaya kama wewe? Inaonekana munafanya wote huo umalaya ndio maana ukamjua kama yeye ni malaya mwenzio au sio?
@AziziHasani
@AziziHasani Месяц назад
Ucje mbemenda tuu akashindwa kucheza
@georgegregory8414
@georgegregory8414 Месяц назад
Aziz anaipenda yanga Amisa wewe unataguta kiki tu buna jipya
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Месяц назад
Yaani aziz ki shetani wake kakataa hela alizopewa club kubwa kachagua kubaki hapa kwa ajili ya MWANAMKE kweli 😅.. Si angeenda huko kwenye hela nyingi akawa anatuma tiketi ya ndege kila wiki anakutana na ampendae huku pesa ndefu inaingia..
@SmilingBirdwingButterfly-yq3he
@SmilingBirdwingButterfly-yq3he Месяц назад
Kuna mapenzi ya timu, kuna mapenzi ya mama alafu Kuna mapenzi ya mrembo hapo so muache afuate mapenzi ya moyo wake
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Месяц назад
@@SmilingBirdwingButterfly-yq3he ini rahisi na furaha kulizungumzia hili.. Ila mimi ningependa yeyote kwenye huu mjadala avae undugu na aziz ki.. Pesa huleta mapenzi inasikitisha kuacha pesa kufuata mapenzi ambayo hata angekuwa popote angepata kwa sababu pesa ya kutosha kumsafirisha yeyote ampendae ingeongezeka mara dufu.. 🤭🤭.. Anyways we think differently.. Usiku mwema 👍
@HappyKitindi
@HappyKitindi Месяц назад
Mobeto mjanja sana, kagundua akienda nje hatapata ticket atapata akina mobeto wengine 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@boazygodfrey9371
@boazygodfrey9371 Месяц назад
Basi Tu Sina Hela Ila MOBETO Nakupenda Sana
@MmandaNicetas
@MmandaNicetas Месяц назад
❤❤❤❤❤​@@rexgodwill7353
@josephinegeen9557
@josephinegeen9557 Месяц назад
Who is she not even Beautiful she has chinese eyes.
@samjm7330
@samjm7330 Месяц назад
Can you compare yourself to her?
@HappyKitindi
@HappyKitindi Месяц назад
Bring ua picture to us, so we can compare u with mobeto who is beauty 😂😂😂😂😂😂😂
@alexbayingana7879
@alexbayingana7879 Месяц назад
I think the beauty of a lady its her heart not face I love her she such lady kila mwanaume mwenye kujitambua angetamani kua naye,
@ashaali7154
@ashaali7154 13 дней назад
Jealous will kill you faster Josephine take care.😅
Далее
Never Troll Shelly🫡 | Brawl Stars
00:10
Просмотров 1,2 млн
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Просмотров 999 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /29/ #love
43:38
Просмотров 267 тыс.
Never Troll Shelly🫡 | Brawl Stars
00:10
Просмотров 1,2 млн