Тёмный
No video :(

KIKWETE “NILIFOKEWA NA NYERERE SIKU YA KWANZA NAINGIA IKULU DSM” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 135 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 135   
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Год назад
Mzee Kikwete unatufuraisha sana unavyosimulia na kucheka Upuuzi wa Kawawa,.Safi sana na ongera kwa kujenga Kikwete Hall👍👍👍👍❤❤
@kamishina7853
@kamishina7853 Год назад
Alikufokea tu kumbe!! Ningekuwa mimi Nyerere na vibao ungepata
@faustinthomas9551
@faustinthomas9551 10 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 11 месяцев назад
Hongera DR KIKWETE mungu akupe umri mrefu Taifa bado tunakutegemea Kwa ushauri wako mzuri Hawa wanao tukana wanasahau umewalea wasamehe mungu anasema salehe 7x 70
@user-ci3bv3uc8c
@user-ci3bv3uc8c Год назад
Live from United kingdom 🇬🇧🇬🇧 Asante Sana ndugu mtangazaji
@emmanuelmambarera141
@emmanuelmambarera141 Год назад
Uongozi huanzia mbali jamani , hongera Sana Mzee kikwete
@barakawiseman5073
@barakawiseman5073 Год назад
tulio soma UDZM tujuane
@kazigembeleke5958
@kazigembeleke5958 5 месяцев назад
UDSM
@rashiditembo1574
@rashiditembo1574 11 месяцев назад
Asante mzee kikwete, Hakika ninyi mliandaliwa na hayo ndio matunda ya chama chetu,huo ndio uzalendo ulio tulea sisi, Asante mkuu.Tunahitaji sana uzalendo huo,(umepotelea wapi) sijui kama kizazi chetu tutakivusha salama(mungu tusaidie)
@TPW_FLUXY
@TPW_FLUXY 5 месяцев назад
Akusaidie kukivusha kwani yeye Mungu muuwaji aligukuzwa na nyerere alijua mwixi hugo kabaki ana danganya watu
@lodrickmwambene133
@lodrickmwambene133 5 месяцев назад
Mimi nashidwa kuelewa wanaomtukana huyu mzee hakuna aliyekatazwa kugombea na haki ya kila mtanzania aliye na sifa mzee kikwete natamani nikuone
@sharoonrumisha9440
@sharoonrumisha9440 11 месяцев назад
Jakaya. Ulimaliza. Tanzania uliuza maliza watanzania sasa uko na samiya naendelea kuuza bandari zetu utakufa utapatana na mungu
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 дня назад
Endelea kukunja ngumi kwakuwa huna akili "pipoos"
@salehehemedi8267
@salehehemedi8267 7 месяцев назад
Historian nzuri sana mheshimiwa kikwete
@user-gv4pc9if2u
@user-gv4pc9if2u 5 месяцев назад
Charming
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk Год назад
Nyerere alikuwa kichwa sana.
@ahmedkagambo4964
@ahmedkagambo4964 Год назад
Ni kweli Baba wa Taifa alikutayali mapema kuwa Rais nakumbuka miaka ya 70 alikushika mkono na kutamka kuwa hawa ndio watakuwa Marais wetu hapo baadaye
@SaidihusseinAthumani-dy9kw
@SaidihusseinAthumani-dy9kw Год назад
raisi mwenye historia alisi ulitabiriwa kuwa rais mapema ww ulikua chaguo la wote
@HajiChalazo
@HajiChalazo 11 месяцев назад
Good support of Guys LBQT
@EdwinKaywanga-ww7jr
@EdwinKaywanga-ww7jr 10 месяцев назад
Baba wa Taifa nkiongozi wa mfano wa kuigwa mwenya aono ya mbali❤❤
@shukranikayange2275
@shukranikayange2275 11 месяцев назад
Safi nakukubari kikwete👍
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe Год назад
Kweli wazee ni hazina, hizi story ziwekwe vitabu. Mzee Kikwete aweke haya kwenye vitabu. Thats we keep these memories alive
@victormtani7170
@victormtani7170 11 месяцев назад
Jambazi mkubwa huyo na muuaji wa jpm. Nyerere kipindi cha mwinyi kumaliza muda wake NEC ilivyopiga kura Kikwete alishinda kura Nyerere Mzee mwenye haiba na Maono akasimama akasema wewe Kikwete haujakomaa na haujawiva kuwa Rais haufai Mkapa ndio anayestahili siyo wewe labda mimi Nyerere nife. Kwa hiyo maneno yanaishi sana leo mnaona
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 11 месяцев назад
​@@victormtani7170Kabisaaaaaaa. Huyu Kikwete ni mshenzi mkubwa.
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 дня назад
​@@gosbertrwezahura3645Mama yako ni mshenzi zaidi
@joventjohansenmushwaimi1988
@joventjohansenmushwaimi1988 11 месяцев назад
Mmeaona hekima za Mwalimu hakuweza kuhangaika na mavazi maana ni vitu vya kupitaaa na si suala la serikali hilo
@richard2218188
@richard2218188 4 месяца назад
Huyo legend aliyeandika "Upuuzi wa Kawawa" ajitokeze tumpe maua yake 🤣🤣🤣🤣
@mosesgasana4102
@mosesgasana4102 5 месяцев назад
Le Prezidaa Kikwete raha sana kumsikiliza.Na vile ana sense of humour basi burudani tupu.Mtu wa furaha sana. Ana kicheko chenye power ya kumfanya msikilizaji kupona maradhi na kuwa fit
@jamillamarealle1574
@jamillamarealle1574 Год назад
Congratulations mwaka 74 ulikuwa University.
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 11 месяцев назад
We ndo unatuharibia Tanzania yetu. Na kwa unafiki unajichekeshachekesha utadhani mtu mwema sana.
@heronimomsefya3190
@heronimomsefya3190 Год назад
Asante .
@ruwaichimeela2459
@ruwaichimeela2459 11 месяцев назад
Mhe. Rais Mstaaf Jakaya Kikwete , ni msimuliaji mzuri wa hadhithi! Tunakushuru Bw. Ayo kutuletea Mhe.
@lukehaprimary2574
@lukehaprimary2574 5 месяцев назад
Mzee yakupasa umshukulu mungu sanaaa alikujaalien kukupa kipawa kikubwa sana alikuuandaa mapema ujekua kiongozi mkuu wakitaifa
@kherihightechllc113
@kherihightechllc113 5 месяцев назад
Mwambiye usemeukweli ? Alikuwa anataka Rais kabla mwinyi 👈🏾 JK mtu watamaa sana ndiyo nchi imefika pabaya 😮JK mnafiki sana sana ni chawa chawa 👈🏾
@victorronald1449
@victorronald1449 8 дней назад
Wahuni sio watu
@alenaudax8485
@alenaudax8485 5 месяцев назад
Nyerere aliona mbali sana ndo maana alimfokea. R. I. P Nyerere
@abdumpunda4026
@abdumpunda4026 Год назад
Daudi? Angalalia lugha unayoitumia my brother.
@allankiluvia4860
@allankiluvia4860 Год назад
Eti upuuzi wa Kawawa..ikawa nongwa.
@user-uv1dy7ib5l
@user-uv1dy7ib5l 5 месяцев назад
Rais wetu hazeeki dah❤
@user-vm6wi3jh9h
@user-vm6wi3jh9h Год назад
Naomba kuonana na raise wangu mstaafu na mkuu was chuo changu
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 11 месяцев назад
Jizi
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 7 месяцев назад
Nyerere was genius
@juliusdidose100
@juliusdidose100 5 месяцев назад
Mzee Punch
@br.samwelmparange4986
@br.samwelmparange4986 Год назад
Matusi Daud hayajengi ndugu yangu
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Год назад
Wajuzee washenzi hao matusi Yann?sijui wamekunywaa banana amaaaaaaa
@GeorgeBenard-ue2gh
@GeorgeBenard-ue2gh Год назад
Baba wa Taifa aliona mengi, inawezekana kuna mambo mlichanganya, ila nimependa adithi yako MUNGU Akubarik
@abdallahally842
@abdallahally842 11 месяцев назад
Nampenda huyu mzee very social mcheshi mtu wa kutoa ushauri ukikanae unaskia furaha kwa zile story zake nzuri zakufurahisha na kukujenga mungu akupe afya na furaha mzee wetu
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML 11 месяцев назад
Jambazi lililotuminyima maendeleo tz na kujikusanyia pesa zote katika uongoz wake na bado hakupendezewa na maendeleo aliyokuwa anatuletea magufuli na akaona ana aibishwa na kuamua kumuondoa magufuli kwahiyo huyu mzee siyo mtu mzur kbs ana roho ya kipeke yake kbs lkn mwisho wa siku kila mtu ataingia tu kaburini
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 11 месяцев назад
Sasa hivi hakuna hata anaekutaka wewe ndiyo unaemrimoti mama kuuza bandari zetu za bara kwa manufaa yako hutakiwi kabisa hata ukifa leo watu watapiga vigelegele
@emanuelelias4695
@emanuelelias4695 11 месяцев назад
Huna jipya ww ndio nanga ya taifa hili fisadi mkuu mpola haki na utu wa watu huo ndio ukweli Yani uwepo wako ww ktk taifa hili ni mkosi mkubwa
@user-ns5bw3dw6e
@user-ns5bw3dw6e 11 месяцев назад
Una mawazo mgando weye kijana
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 11 месяцев назад
​@@user-ns5bw3dw6eWe ndo mpumbavu. Hujui kwamba Kikwete ndo shetani mkubwa wa Tanzania?
@emanuelelias4695
@emanuelelias4695 11 месяцев назад
@@user-ns5bw3dw6e Siku ukiacha umbumbu utagundua kuwa huyu mzee ni tatizo kwa taifa letu
@user-ns5bw3dw6e
@user-ns5bw3dw6e 11 месяцев назад
@@gosbertrwezahura3645 Nashkur kwa matusi yako utajibiwa na alokuumba.
@user-ns5bw3dw6e
@user-ns5bw3dw6e 11 месяцев назад
@@gosbertrwezahura3645 maana matusi yako kwenye media yanadhihirisha ukubwa wa elimu ulonayo
@husseinallysuleiman4657
@husseinallysuleiman4657 Год назад
Nakukubali sana mzee wa msoga
@veronikamabula7101
@veronikamabula7101 11 месяцев назад
Alijuwa utakuja tunyanyasa
@sharifuhusseinally542
@sharifuhusseinally542 Год назад
Muheshimiwa unach
@aishaalbalushaishabalush8291
kwanza nyerere alikataa usipewe urais alijua wewe ni kibaraka wa wazungu na hufai kua kiongoz wa inchi ila kwa uchawi wa mtwara ukafanya kila uchawi upate inchi ili uile inchi nakweli mmeila sana inchi ya tanzania wewe na family yako nadhani nyerere angekua hai msingekula inchi hivi na ingekua iko mbali sana tanzania fisad mkubwa wewe unauwa wenzio ili ubaki kulainchi na wazungu wako ipo siku yeni insha allah
@saidindaro5858
@saidindaro5858 Год назад
Hao wasiokuwa vibaraka mbona wanatupeleka upande upande kama kama ngadu
@aishaalbalushaishabalush8291
@@saidindaro5858 ukiwa na akili timamu utajua ninacho kisema kama umejaza mavi kichwani kwako basi endelea kuenda upande upande huenda we ni mwizi ama fisad ama muuza unga ndio maana unaenda upande upande
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Год назад
​@@aishaalbalushaishabalush8291 INGE NA ANGE NA ISINGE HAISAIDII KITU FANYA KAZI MVIVU WEWE.
@aishaalbalushaishabalush8291
@@salimmalaka256 unaumwa ukimwi nifanye kazi marangapi ama unavoniona humu umenipa wewe cm na wi_fi ? mjinga nini fanya kazi wewe usie na kazi unaetumia vi bundle
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Год назад
@@aishaalbalushaishabalush8291 M'BULUSHI WA KWA MPALANGE FANYA KAZI INGE NA NINGE HAISAIDII KITU
@malelamalela1362
@malelamalela1362 Год назад
Okay
@user-ss3fq7vy7v
@user-ss3fq7vy7v 6 месяцев назад
Ngoja niaangalie mlizotumaga
@HajiChalazo
@HajiChalazo 11 месяцев назад
Ipo siku mtoto wake atamuuua mke wake !!!!! Yaaaani agent wa USA, France, Japan, develic traditions, with cheap corruption and family, fame
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 10 месяцев назад
Usituchanganye sasa hiv wewe ndiyo unaemrimoti mama mpaka anauza bandari zetu watanzania wanskuchukia sanaaaa njoo usikie mitaani kila sekta wizi mtupu
@gatimarwa7525
@gatimarwa7525 8 месяцев назад
Kumbe Muhimbli ilikuwa tawi la UDSM
@lodrickmwambene133
@lodrickmwambene133 5 месяцев назад
Bado ni tawi la udsm
@user-gh7rg7mr7p
@user-gh7rg7mr7p 11 месяцев назад
Vipi kuhusu gas
@jamesmalegi5682
@jamesmalegi5682 5 месяцев назад
UDSM
@juliusjohn9453
@juliusjohn9453 Год назад
Punch
@edwinmbunda6709
@edwinmbunda6709 6 месяцев назад
Angewalamba bakora
@user-zl3le1wz2u
@user-zl3le1wz2u 6 месяцев назад
Unapotezea
@yussuph-lx7cu
@yussuph-lx7cu Год назад
Alikwamisha mchakato wa katiba na kupoteza pesa nyingi katika mchakato huo na kuukwamisha ,,,,ni chanzo kikubwa cha mauwaji kipindi cha uchaguzi kwa upande wa Zanzibar na alikwamisha ushindi wa maalim seif pale aliposhinda uchaguzi
@user-qo6wb4le9i
@user-qo6wb4le9i Год назад
inaumaga hii issue kikwete alitupa jpm akatuumizaa sana Wana cdm
@msabahaali758
@msabahaali758 Год назад
huyu msanii alitupokonya haki yetu Zanzibar kwa kufuta uchaguzi
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc Год назад
Hainishtui
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 Год назад
😊😊❤
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 Год назад
Anachekaga peke yake ase yaani 😡
@birianination7097
@birianination7097 Год назад
Shida nini
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 11 месяцев назад
​@@birianination7097Anajichekeshachekesha kama mwanamke. Huyu jamaa huwa sina uhakika kama ana akili timamu. Huwa anajifanya mtu mzuri wakati hayuko hivo.
@timboxlee919
@timboxlee919 Год назад
Huyu jamaa mawaziri wake watufilisi watanzania, RIP JPM
@issaabdi9129
@issaabdi9129 Год назад
Hauna adabu ww mpe heshima yake. The best president Tanzania aliepita. Nimtulivu na msikilizaji kwa maoni ya watu.
@birianination7097
@birianination7097 Год назад
JPM alimtoa Prof Asad kisa aligundua uwizi wa 1.5 trillion pia akafukuza wanafunzi wa chuo cha UDSM walio post picha za ufaa katika mabweni yake mapya
@sundaymsuya1433
@sundaymsuya1433 11 месяцев назад
​@@issaabdi9129yan huyu mzee ulikuwa unamuona mzuri sio raisi anakuremba uku anakumaliza sio ndiomaana ulikuwa unamuona mzuri sio
@timboxlee919
@timboxlee919 11 месяцев назад
​@@issaabdi9129heshima Gani kwa fisadi papa Kama huyu,nchi imekuwa ya kifisadi tu,hana point anayoongea huyu jamaa
@HhBbh-tn5uh
@HhBbh-tn5uh Год назад
Sikweli😂😂
@amosdaniel1327
@amosdaniel1327 11 месяцев назад
Safi' sAna"
@kianda973
@kianda973 11 месяцев назад
Mhh
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 Год назад
Ikuru ulikua msikiti huo na ulijengwa na warabu
@Burner_Acc
@Burner_Acc Год назад
Ikulu (kutoka neno la Kinyamwezi; kwa Kiingereza: State House) ya nchi ya Tanzania ilijengwa na Wajerumani mwaka 1891 kwa namna ya kipekee na gavana wa Kihuni Chakosi Dikwe na kutumika kama ngome ya gavana. Nyie waislam kila kitu mnahusisha na dini yenu au waarabu. Smh
@barakaayubu6126
@barakaayubu6126 Год назад
Una uhakika Sana na unachoongea?? Una ushahidi?? Tafadhali Kaa kimya.
@barakaayubu6126
@barakaayubu6126 Год назад
Una uhakika Sana na unachoongea?? Una ushahidi? Tafadhali Kaa kimya..!!
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 Год назад
@@barakaayubu6126 shida ukafili unao kusumbu hakuna kingine Kwahyo ENDELEA kubisha
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 Год назад
@@Burner_Acc hizi nazalia za uwongo kabisaaa ila ukiangalia moyoni mwako unabaki na ukweli ila kinacho kusumbua ukafili uliyo nao Kwahyo ENDELEA kubisha
@yussufhassan5582
@yussufhassan5582 Год назад
0
@editorfrank7471
@editorfrank7471 Год назад
hivi kwanini kikwete akiongea lazima ajikune kichwa
@jafarisadiki4960
@jafarisadiki4960 Год назад
Muulize mwenyewe
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Год назад
YANI WASWAHILI HIVI MTU AKIJIKUNA KICHWA MNATAKA KUJUWA KWA NINI KAJIKUNA???? 😂😂😂😂
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 Год назад
Akili nying
@otmarmkali8883
@otmarmkali8883 Год назад
Akikosea anajiumbua
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 11 месяцев назад
Ni unafiki
@okashhabib6944
@okashhabib6944 11 месяцев назад
😅😅
@AdamMtore-rv9jh
@AdamMtore-rv9jh 10 месяцев назад
W²²
@user-lb7jq5li7x
@user-lb7jq5li7x Год назад
Huyu kikwete ni mkundu wa nyani,msiwe mnamwonesha..kumanina zenu mnae mwonesha.
@daudmwaipasi5672
@daudmwaipasi5672 Год назад
Amekukosea nn bhna wajina, mbona umetumia lugha ngumu Sana mzee
@birianination7097
@birianination7097 Год назад
Jifunze kustaarabika.
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 Год назад
Tafadhali uwe na adabu Mzee Kikwete kiongozi wetu mstaafu jifunze kuheshimu wakubwa na kuweka mihemko mbali.
@canoksancomprehensivelearn7182
Wewe katka comment nyingi ni matusi na uahasama ukisoma na sio mgeni lughayako Daud chafu sana kila mahali hata mtu akitafuta kilakwenye comment hakosi maneno machafu sana. Utakufa yatabaki yakikuhukumu hayo. Yataishimuda mrefu kuliko wewe
@AwadhiKanyawana-ve2cp
@AwadhiKanyawana-ve2cp 6 месяцев назад
Huna adabu huyo ni Baba WA watanzania wte
@allankiluvia4860
@allankiluvia4860 Год назад
Eti upuuzi wa Kawawa..ikawa nongwa.
Далее
SAKATA LA NGORONGORO KABUDI ATIMBA,  ATAJA MAMBO MANNE
4:29
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Просмотров 1,1 млн
KIPINDI MAALUM CHA SIMULIZI ZA IKULU
32:35
Просмотров 47 тыс.
HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969
49:55
Просмотров 245 тыс.
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
Просмотров 290 тыс.