Тёмный

Harmonize na Kajala Nyuma ya Milango maandalizi ya Harusi yao yanukia Penzi Zitoo..! 😍😍😍 

Jraww Tz
Подписаться 62 тыс.
Просмотров 347 тыс.
50% 1

#harmonize #kajala #mapenzi #jrawwtz
▶ Don't Click This Link: bit.ly/2Pg2zRU
▶ Ahsante kwa kuwa mwana familia, wa Jraww Tz kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza..Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
▶ Follow on Instagram: / jrawwtz
▶ Follow us on Facebook: / jraww255
▶ Note:👇
Jraww Tz, ni Channel ya habari za siasa zinazohusu Tanzania. Tunajitahidi kutoa habari zetu kwa uwazi bila kupendelea wala kwa lengo la kuchafua upande wowote kisiasa.
Tunaipenda sana Tanzania, hatutahama Tanzania kwa shida ama kwa raha
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na mshauri na mwenzako pia Tufuatilie kwenye social media na application zetu hapa 👇
👉Download Game Letu Pendwa hapa: play.google.com/store/apps/de...
👉Application Bomba ya Muziki na KUdownload hii hapa:
bit.ly/3mGumqb
👉PITIA TOVUTI YETU: jrawwmusic.com/
👉VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/jrawwphoto...
👉GET YOUR VIDEO VIEWS: sprizzy.com/?ref=jrawwtz
👉TAFADHALI USISAHAU KUSUBSCRIBE KUPATA HABARI ZETU KILA MUDA/DO NOT FORGET TO SUBSCRIBE TO GET MORE VIDEOS
#JrawwTz

Развлечения

Опубликовано:

 

16 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 89   
@zulfahamis9940
@zulfahamis9940 Год назад
Nyie mnaosema kajara mzee, hebu subirini muwe na umli kama wake kama mtakuwa nauzuri aliyoanao kajala, aminini maneno yangu mtakuwa nyang'anyang'a yaani choka mbaya. Namsifu kwa umri wake bado anavutia sana, tena sana tu.
@getrudeshirima9524
@getrudeshirima9524 Год назад
Yaani anavutia pamoja na umri alonao, nadhani kuwa na mtoto mmoja tu imepelekea kuonekana hivo na mazoezi pia
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Год назад
Kajala na Harmonize walipendana sana sijui ni shetani gani aliingilia penzi lao
@mjaweathman6519
@mjaweathman6519 Год назад
Mbona aonekana Mzee Sana
@zawadithomas1008
@zawadithomas1008 Год назад
kajala ni mzur tuu💞💞💞 hata bila makeup
@patriciamukuka3979
@patriciamukuka3979 Год назад
She looks so beautiful
@yahayaolomi1057
@yahayaolomi1057 Год назад
Kazeekaje kumbe mzee
@lailaoman3856
@lailaoman3856 Год назад
😄nilijuwa nimimi tu ndo niliye muona
@Iamnia871
@Iamnia871 Год назад
Kajala mzuri jmn 🥰🥰🥰
@josephinemakumwangala9542
@josephinemakumwangala9542 Год назад
hamo twakupenda broo,toa kipuli cha pua nawe kakaa,please,msalimie wifii
@danielndichu8334
@danielndichu8334 Год назад
Wow amazing 😍😍😍
@yassinm69
@yassinm69 Год назад
She got man look
@chikurashidi7085
@chikurashidi7085 Год назад
Amezeeka sana kaokota zoba lake
@danielkiplangattendet5695
@danielkiplangattendet5695 Год назад
I represent konde boi in kenya
@TheMvenTvfamily
@TheMvenTvfamily Год назад
Looking awesome
@irenehamphurley6275
@irenehamphurley6275 Год назад
Mmependeza bwana
@nawechi4818
@nawechi4818 Год назад
Mmmmmmmmm hizo ndio sura zao halisi🤣🤣🤣🤣
@rynemac99
@rynemac99 Год назад
kwaiyo wanapendana
@nawechi4818
@nawechi4818 Год назад
@@rynemac99 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 me mwenyewe mgeni kwakweli
@mwesigyeglory215
@mwesigyeglory215 Год назад
Kajala wee mzuri sana Kwa umri wake
@lovenesmaile3041
@lovenesmaile3041 Год назад
Huyu conde akiniona mimi haki ya mungu hatomtaka huyu mama tena
@fatumafatumashariff3355
@fatumafatumashariff3355 Год назад
😂😂😂😂 kbsa
@aishakuandika6694
@aishakuandika6694 Год назад
Sasa hapa ndio naona kajala mkubwa sana
@agathapaul5202
@agathapaul5202 Год назад
Wew na kazeeka kazeeka...enhe ndo kapendwa na harmo...wewe na ubinti wako kila siku kuumizwaa...ata upati bwana wa kueleweka wabongo achen wivu
@Iamnia871
@Iamnia871 Год назад
Yan kama wachawi wamekazana kazeeka kazeeka wala hata hajazeeka bhn ni wivu tu unawasumbua 😏
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 Год назад
@@Iamnia871 🤣🤣🤣aaah jaman watu wasiseme ukweli Kwan uzee ni kitu cha ajabu jaman ndiyo kazeeka na asipopaka hayo madawa kichwan ana mvi kabisa na watu hawasemi kwa ubaya ila wanashangaa kumbe bila makeup ndiyo yupo hivi
@fatumafatumashariff3355
@fatumafatumashariff3355 Год назад
Kbsa😂
@annwambugu9578
@annwambugu9578 Год назад
Nani hatawai zeeka ....ukiamka Kila siku ujue hauko vile ulikua Jana kwa hivo muache kusema kazeeka... Amependwa na Harmonize.....
@abdillahhassan2014
@abdillahhassan2014 Год назад
Sura kama mwalimu nyerere
@claudiabakisa8052
@claudiabakisa8052 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 Год назад
😁😁😁
@leahvenas4140
@leahvenas4140 Год назад
Pendaneni mpaka waumwe akina mwijaku ,hawana KAZI muda wao wanatumia kuvuruga maisha ya watu
@officialsharifa
@officialsharifa Год назад
safi sanaa
@isaackambofi1241
@isaackambofi1241 Год назад
Mbibi huyo kakomaaa
@brsirmuhonjwa7863
@brsirmuhonjwa7863 Год назад
Wo Safi nami nd ndot yangu musician nitakuwa
@ruaichikiwira1692
@ruaichikiwira1692 Год назад
Wamefanana
@Aisha-cu4wh
@Aisha-cu4wh Год назад
Kwn wpo pamoja hwa
@harunarashid6404
@harunarashid6404 Год назад
Kumbe kizee kabisa hiki
@stevenproin5459
@stevenproin5459 Год назад
Broo iyo pini ya pua umetoboa au umekibandika .... kama mebandia au umetoboa bc achana nacho broo akikupenzi kabisa ya dah ayo mambo tuwachie wenzetu tuuu nakukubali sanaaaaa broooo
@lilylove8494
@lilylove8494 Год назад
kajala mbaya bila mekap mweee
@emaculatekamene319
@emaculatekamene319 Год назад
Sura ngumu kama uchumi ya kenya.......mashavu yametokomea kumbe ehh..jamani make up....🤔🤔
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Год назад
Ila Kajala kazeeka😭😭😭
@gudanemma1459
@gudanemma1459 Год назад
Kumbe ndo sula mbaya Ivo😁
@zaynakhalfan4438
@zaynakhalfan4438 Год назад
Heeeeeee kumbe ukiwa hujapaka mekapu unamsura mbaya ivyo Yani mzeeee kabisa
@hilderndosi1333
@hilderndosi1333 Год назад
Mekup Zina inua watu🤣🤣🤣
@demicratia4071
@demicratia4071 Год назад
Kajala ana shape lakini suraaa mmmmgh
@shufaaattass1920
@shufaaattass1920 Год назад
Mzee usoo chaa
@kakuletsetsere8157
@kakuletsetsere8157 Год назад
Kicheko tu endelea
@almishyramadhan2676
@almishyramadhan2676 Год назад
Kajala mtu mzima ad sura inaonyesha
@wasalimie11
@wasalimie11 Год назад
Mikono pia
@yusuphmdaile4628
@yusuphmdaile4628 Год назад
Mmh mbona bibi?
@ghadaalzuhari2739
@ghadaalzuhari2739 Год назад
🥰🥺💗
@rashidsaid1092
@rashidsaid1092 Год назад
mtoto wa KIUME vipini vya pua vya nini mbona unatangaza ushoga
@Jezco-g3l
@Jezco-g3l Год назад
Sura ngumu kama harmonize
@ramlaisaac665
@ramlaisaac665 Год назад
Wote sura ngum
@neemarajabu9522
@neemarajabu9522 Год назад
Make hap nichek kwanz
@madimpooo
@madimpooo Год назад
Uyo bibi kumbe kazeeka mikono ya kizee kabsa🗣🗣😂
@mamalaocruz9616
@mamalaocruz9616 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@mukeshimanarashide4714
@mukeshimanarashide4714 Год назад
Jamani kwaniniivo
@marrykihiyo3341
@marrykihiyo3341 Год назад
Naona kama kajala amezeeka vile
@neemamgogo4711
@neemamgogo4711 Год назад
Umri namba kumpenda hivyo hivyo
@missangela6720
@missangela6720 Год назад
Huo hata mamvi kichwani
@Ummu-Nauthar98
@Ummu-Nauthar98 Год назад
@@missangela6720 mvi gani ni bandit zile khaa ‼️ kajala yye kuoaka rangi nywele n kawaida kwake, nawapenda bure harmokajala
@missangela6720
@missangela6720 Год назад
@@Ummu-Nauthar98 😳😳😳😳
@clichytraveller8099
@clichytraveller8099 Год назад
Kajala kadhuri bhana
@maliasajabiry8860
@maliasajabiry8860 Год назад
🥰🥰🥰
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Год назад
Mvi kama zote
@Iamnia871
@Iamnia871 Год назад
Hizo sio mvi ww
@salmanassour7357
@salmanassour7357 Год назад
Asa una sura la kizee mzee wewe
@thabitisango6068
@thabitisango6068 Год назад
Sura kama ling'ombe
@Iamnia871
@Iamnia871 Год назад
Na utakufa maskini mchawi ww
@khamiskhamis1205
@khamiskhamis1205 Год назад
Oya broo unaowa mkweo au vp
@Emmymajula5838
@Emmymajula5838 Год назад
Mhh Ila jaman uyo c mwanao unamzaa kabisa Yani khaa unabaka
@majuraiddi2462
@majuraiddi2462 Год назад
Bibi kajara huyo
@theresiauhahula6710
@theresiauhahula6710 Год назад
mi nilijua ni macho yangu🤔
@naillanassor2589
@naillanassor2589 Год назад
Sasa hii ndio ya manisani au msikitini
@frankfabian543
@frankfabian543 Год назад
Duuuuh. Kibibi icho
@sophiabeb2045
@sophiabeb2045 Год назад
Kumbe mzee flt zambeb san
@muniraawadh2982
@muniraawadh2982 Год назад
Kipini cha pua 4 me hamo hupendezi
@nurafedrick378
@nurafedrick378 Год назад
Anamaana yake hajaeka bure wacha watusaidie mahalipengine
@chikurashidi7085
@chikurashidi7085 Год назад
@@nurafedrick378 mzee
Далее
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
0:19
🍁 Бывший после расставания
0:15