Тёмный

MABANGO AVAMIA INTERVIEW YA ISHA MASHAUZI, APIGA MAGOTI KUOMBA MSAMAHA / ISHA ASUSIA INTERVIEW 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 156 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 450   
@dorcasshadrack7757
@dorcasshadrack7757 Месяц назад
Wanawake tukubaliane chapekeako kipo tena kitamu Atari....wamekua na viburi sana et chapekeako kaburii...😂😂😂 Aweeeeh Isha umecheza vizuri nimependa❤❤❤❤
@user-su2ie1sz9s
@user-su2ie1sz9s 27 дней назад
🤣🤣🤣🤣
@bahathmuro7145
@bahathmuro7145 26 дней назад
Hata mimi nataka wa kwangu jamani
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 26 дней назад
​@@bahathmuro7145hata mimiiiiiii
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 26 дней назад
Cha kwako peke yako kitamu mnoooooo
@btylove1870
@btylove1870 23 дня назад
Isha msamehe ila akirudia tena muache forever ❤
@wennybarny168
@wennybarny168 27 дней назад
Napenda kingereza cha Isha Mashauzi Kwakweli ana kingereza kizuri sana....!!
@OklyKornelio
@OklyKornelio Месяц назад
Isha Mashauzi naomba msamehe shemeji anakupenda sana yaani nakwambia hutakaa upate mwanamme anayekuoenda kama Mabango please please Isha naomba msamehe shemejj.
@user-fz3dg2fr6bl
@user-fz3dg2fr6bl 22 дня назад
Give him another chance❤😂
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv Месяц назад
Huyu kaka anampenda sana Isha ❤❤
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Месяц назад
Isha tumefanya dhambi huyo kaka amekuja omba msamaha kwenye tv da! Kujishusha kupitiliza usikatalie hapo tumia busara tu itikia mkitoka hapo mchunie ,ila hivyo una mwaobisha
@mapachawetuamazingflaterna2657
@mapachawetuamazingflaterna2657 28 дней назад
Ht Isha anaonekana anampenda huyu Kaka alivyoingia kashtuka sana
@user-wy1yu3gs6n
@user-wy1yu3gs6n Месяц назад
Da dida Nakupenda sana ❤ allah akutangulie ktk maisha yako yote my dear
@defrinepaul7046
@defrinepaul7046 Месяц назад
Wapo kwakweli msijiendekeze mkisema hawapo mnawapa mibichwa kuvimba🤕🤕🤕
@rehemamsambila6820
@rehemamsambila6820 Месяц назад
Jidanganye
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Месяц назад
Halafu sasa wanawake ndio wanadai hakuna wa peke yako 😮😮 at the same wakingundua wanachitiwa wanageuka mbogo 😮😮
@rosehaule6765
@rosehaule6765 Месяц назад
​@@spreadlove5300wpo sana wanaume anaowaongelea isha ni heshima tu wapo
@heartnsanya1182
@heartnsanya1182 Месяц назад
Hayupo kudadek zako
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Месяц назад
@@heartnsanya1182 Jisemee wewe
@KuluthumuMsuwakollo
@KuluthumuMsuwakollo Месяц назад
😂😂yan mwenzenu nawapenda hawa watu mungu cmama kati yao Mr and Mrs Mabango❤❤❤
@julianapeason6254
@julianapeason6254 Месяц назад
kuna siku nilisema tuwape muda mabango akasema mimi nina roho mbaya, Isha achana na huyo mtu utautesa moyo wako.Safi sana
@MwanahamisNyenzi
@MwanahamisNyenzi Месяц назад
Watarudiana hao Isha kaona aibu live studio
@athumanimanzabay1894
@athumanimanzabay1894 Месяц назад
Joy and pain all in the game of love ,please Isha msamehe mshkaji mm naimani ameshajifunza kutokana na makosa
@georgemajani6600
@georgemajani6600 Месяц назад
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@masoudjuma8169
@masoudjuma8169 Месяц назад
Ila WASAFI TV BIG UP 🙌
@modestamodesta3940
@modestamodesta3940 Месяц назад
𝑊𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑓𝑟𝑎ℎ𝑖𝑠ℎ𝑎𝑔𝑎 𝑚𝑛𝑜𝑜𝑜𝑜
@mamuumamuu1871
@mamuumamuu1871 25 дней назад
Isha wetu wee nakpenda bure❤❤
@EvaWaziri-so3gi
@EvaWaziri-so3gi Месяц назад
Mashangazi wa mjini wanajua kuigiza sasahapo isha uyo si mwanae uyo😊
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x Месяц назад
Kabsaaa mashauz tu kma jina lake
@mwajumagomera7609
@mwajumagomera7609 Месяц назад
Isha anampenda sana mabango mbona anaona haya kumtazama apewe muda tu❤maana vita ya kuchokana wewe kwanza uso mbuzi😂😂😂
@zamdanamwenje9415
@zamdanamwenje9415 Месяц назад
Uyo mabango kajua kujidharirisha 😢
@anastaziambote4574
@anastaziambote4574 Месяц назад
😂😂😂 mbona kajizaririsha
@aminakipande5645
@aminakipande5645 Месяц назад
@@anastaziambote4574😂😂
@LovelyRacingHelmet-iv6ti
@LovelyRacingHelmet-iv6ti Месяц назад
Inabidi aitwe kwenye kikao cha wanaume
@wangagirl3508
@wangagirl3508 Месяц назад
Jamani si kwa ubaya bt huyu dada mzuri bt shida ni muonekano wake ndio siupendi kabisa vipuli vingi vya nini mpaka kwa mdomo nooo anakaa kama danga la mjini 😮😮
@isunga1964
@isunga1964 Месяц назад
Na tuliambiwa ni msagaji sijui kweli
@wangagirl3508
@wangagirl3508 Месяц назад
@isunga1964 🤣🤣unajua hii dunia my dear watu wanangalia muonekano wako ndio wanaongea hivyo vipuli hata huyo mume anachoka 🤣🤣anakaa msagaji kweli
@janetdunda6331
@janetdunda6331 Месяц назад
Hii imeenda
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 27 дней назад
Uhakikaa inakeraaa
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 Месяц назад
Uyo alikua na yake bana kwani hadi mtu anafikia kuomba msamaa amekili kosa sasa aisha anashindwaje kuelewa icya za mwenzake ushauli wangu tu kwa dada amsamee mwenzie kwani amekubali kosa bc yaishe lingine dada angu utambue kua utokako unapajua ila uendako upajui unaweza usifike ludisha moyo dada muendelee kwenda pamoja na mwenzio
@jamilahsakina1561
@jamilahsakina1561 Месяц назад
Jamani
@user-ug3lu2km4c
@user-ug3lu2km4c Месяц назад
Na mwanaume kuomba msamaha ivo ni ngum hajaigiza uyo kaka wanaume wachache kuomba msamaha ivo na co kwasbabu ya camera akikuomba ameamua,amekupenda
@WakiliHaule
@WakiliHaule Месяц назад
Isha mimi apa wa peke yako... uyo brother man kitambo tu nilikuwa namuona anasafiria nyota yako...Ni muigizaji wa mapenzi kashasahau usanii wewe ndo kipaji chako...aende uko aendako...japo unajuta amepoteza muda wako....Mimi apa ndo wakufa na kuzikana wako...subiria mama nitakufata apo ulipo❤...I love you Isha Mashauzi ...umuhimu wako kwangu kama mwanadamu na pumzi.
@mariamizzy2880
@mariamizzy2880 Месяц назад
Makubwa 🤣🤣
@user-bc3lh5ss6c
@user-bc3lh5ss6c Месяц назад
Heeee😂😂😂😂​@@mariamizzy2880
@DeboraNgura
@DeboraNgura Месяц назад
Penzi limepata mpendaji😂
@chainbre275
@chainbre275 Месяц назад
​@@DeboraNgura😂😂😂😂😂😂
@MaryWisdom-is7cf
@MaryWisdom-is7cf Месяц назад
Unatuchekeshaaaa😂
@khadijathani9064
@khadijathani9064 Месяц назад
Inshaallaah allaah atakuletea omba dua atakuja mbora zaidi
@mussarashid6752
@mussarashid6752 Месяц назад
ipo siku damu itamwagika hapo wasafi maana mnawakutanisha mahasimu
@dianerditto
@dianerditto Месяц назад
Ni udwanzi sana
@WelimaAdonias
@WelimaAdonias Месяц назад
Kamtolea mahari
@Chelseaboy_1905
@Chelseaboy_1905 Месяц назад
Hakuna mapenzi ya mwanamke aliyemzidi umri mwanaume yaliowahi kudumu
@WelimaAdonias
@WelimaAdonias Месяц назад
Yupo sana Rahma na mumewe tatu na mumewe
@MariamMrema
@MariamMrema 28 дней назад
yapo na yanadumu vizuri kikubwa heshima tyu,mapenzi hayana umri
@NuruNgolle
@NuruNgolle Месяц назад
Nikweli yuko hata mimi sitaki mme wetu nataka wangu kweli nimempata nanikitukanwa na kimada ananifunza kusimama zaidi ktk ndoa isha tulia na mmeo msamehe kweli nakuomba
@ahmedsaidi2239
@ahmedsaidi2239 Месяц назад
Kwa kweli 2po Kama Mim Am My Wife's Husband
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Месяц назад
Jaza form basi bro pengine utapita kwenye kuchaguliwa😂😂😂
@ahmedsaidi2239
@ahmedsaidi2239 Месяц назад
@@FatimaAli-of4gh nimeshasema Mim ni wa Mke Wangu tuu. Yani Ahmed Wa SumaiyahAhmed khalas
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 27 дней назад
​Huyo Sumaiya cku akipigwa nje utavurugwa sana na kujutia kaka
@devotabashome1090
@devotabashome1090 Месяц назад
Mnahangaika na vijana wadogo ndo tatizo...
@hidayamanda-gk7nf
@hidayamanda-gk7nf Месяц назад
Kauli mbiu ndoile ile mwendo wakusonga mbele ❤❤❤
@pendogeorge1813
@pendogeorge1813 Месяц назад
Kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu cha mwisho❤
@hidayamanda-gk7nf
@hidayamanda-gk7nf Месяц назад
@@pendogeorge1813 hahaha 🤣🤣🤣
@furahayamoyo9193
@furahayamoyo9193 Месяц назад
Isha is smart, strong, and brave to walk away from him. Don't let a man play with your emotions,.PERIOD! He knew what he was doing, and had nothing to do with "eti yeye binadamu ako na mapungufu" cheating is a choice not mapungufu. Once you take a cheater back, chances are he will keep on doing the same shit, and expect you to forgive, and take him back each time. Stay strong sis Isha, and may Allah Subhanahu Wa Taa'ala guide, and protect you always, Allaahuma ameen.
@pendogeorge1813
@pendogeorge1813 Месяц назад
Naungana na wewe, umemaliza yoote❤
@furahayamoyo9193
@furahayamoyo9193 Месяц назад
@@pendogeorge1813 Ahsante sana my sis ❤
@imanibakili8028
@imanibakili8028 Месяц назад
Wanaume sikuhizi wanashindwa kujiheshimu wanatembea na kina dada ambao hawana heshima inasababisha wanaanza kudharau mke wa ndani
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Месяц назад
Wapiga pesa
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw Месяц назад
Sahihi
@robertkisasa1346
@robertkisasa1346 Месяц назад
Hamna isha mbna anaonekana mdada mzur tu mstaarab na anapenda mtu mmja ni shda kijana tu
@edinamhando108
@edinamhando108 Месяц назад
Huyu itakuwa kapata mwanaume cyo bure😂😂😂😂
@Soudbako
@Soudbako Месяц назад
Sisi baadhi ya wanaume ndio hatujielewi tunapenda mteremko na kupenda umaarufu tuache kupenda kitonga huyo mwanamke hana shida mwnamme mwenzetu ndio anajidhalilisha bladbasket
@user-cq4lp5rv1l
@user-cq4lp5rv1l Месяц назад
Mbona saiv haya mambo yamekuwa kama maigizo
@saidmnenuka7822
@saidmnenuka7822 Месяц назад
Achana nae alafu unajizalilisha inawezekana alikuwekea mtego bila kujua anaona mambo yake hayaendi sababu yako umezibia watu wake asiinjoi nao awezi pata mwanaume waivo hayupo na hajazaliwa.
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Месяц назад
Hawa mashangazi bhana!
@rosegodlove1956
@rosegodlove1956 29 дней назад
Me nakupenda sana Isha mashauzi ❤❤
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x Месяц назад
Dada Isha watu ukosea at wew ungekuwa umekosea na ukaomba msamahaa?? Samehe 7x70 Neno la MUNGU linasema .usikue hvoo..hi dunian inapita na mambo yake..aina aja ya kuweka vtu moyon .life is short 😢
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c Месяц назад
Wasafi wachonganishi sana Isha karap we mwisho wa siku kakutanishwa na asiye wapenda kaja
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g Месяц назад
Apo Isha kashaloowaaa
@PotiRasi
@PotiRasi 13 дней назад
Msamehe sanaaa
@josej9888
@josej9888 Месяц назад
Kwan walikutana studio, Hadi muwakutanishe huko studio? Nawewe mwanaume wadar ukome.
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Месяц назад
Eti ukome😂😂😂😂😂 nimecheka
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Месяц назад
Mke wangu, babe 💕
@mwalagomwanaisha
@mwalagomwanaisha 28 дней назад
Wamdhalilisha mtoto wa watu msamehe 😢
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Месяц назад
Ashapata mwengine uyo
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Месяц назад
Akimkazia anakubali hyu, Isha hawezi kuwa serious
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x Месяц назад
Kabsaaa lazma awe na maringo
@mohamedabdallah6480
@mohamedabdallah6480 Месяц назад
Dah! Ufara ndio huo,mwanaume unajidhalilisha
@dashuu5295
@dashuu5295 Месяц назад
Bahamad almuacha farhiya patima hataki ukewenza😂😂😂 ata kidyogyooo
@aminamzuri9933
@aminamzuri9933 Месяц назад
Kitu usichokipenda ukikiweka dhahir ndo vzuri
@R10_Rajab
@R10_Rajab Месяц назад
Ndio maana siku hizi hunitoi na Crown 👑 kwa ujingabkama huu
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Месяц назад
Kaburi tu hamna la kwako itakuja kua mume isha jaman hujawahi ona inatolewa mifupa kwa mwengine anaekwa mwengine 😂😂😂😂😂
@newforcejv9721
@newforcejv9721 Месяц назад
Maryam muongo waislam wakike hawaendi mazikoni Isha na wewe mmeona wapi mifupa ikitolewa Kisha kuzikwa mwingine
@user-yt5ue4vj5b
@user-yt5ue4vj5b Месяц назад
Uyu ana mpenda ❤❤
@HassanHameed-g5e
@HassanHameed-g5e 6 дней назад
Mm hapa wa peke yko
@ramadhanimohamed4190
@ramadhanimohamed4190 Месяц назад
Hii ndio shida mwanaume kutegemea mwanamke mungu kashasema tuishi naona kwa akili
@jumakassim8718
@jumakassim8718 26 дней назад
Swadakta
@gracemwailima1780
@gracemwailima1780 Месяц назад
Msamehe tu dada isha jamani kaka anaonekana mstaraabu
@user-su2ie1sz9s
@user-su2ie1sz9s 27 дней назад
Nipo hapa isha
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 25 дней назад
Inawezekana kuwa na mwanaume wako sema wanaume hamridhiki nyoko zenu na haswaa wanaume wa tz tamaha nyingi na zarau huongo mwingi sana,,mtu mzima hanapo hamua kuwa nawe kijana basi mueshimu ukiwa na michepuko mingi unamzaririsha mwenzio maisha ya sasaiv sio ya kuvurugwa na mwanaume tunavurugwa na kutafuta pesa tu mwanaume hakizingua usimpe nafasi iri akimpata mwingine hamueshimu
@raymondlaurent4167
@raymondlaurent4167 27 дней назад
Kweli mapenzi inauma lakin kunae maana kubwa kuitwa mwanaume yoote Tisa kumi usipige magoti kwa mwanamke 💪💪💪
@ZainaMshamu-yu8qv
@ZainaMshamu-yu8qv Месяц назад
Isha akumbuke hii Dunia asimnyanyasw mtu kiivo ajue shetani ananguvu au mungu anampa kalibu gani asamee akuna mkamilifu
@gilliansiara3324
@gilliansiara3324 Месяц назад
Subiri, Bora zimwi likujualo,utakutana nao,labda ufunge kitabu
@Mwajumasaid-lv4xf
@Mwajumasaid-lv4xf Месяц назад
Dida mpambe anavyo ongea 😊😊
@EvaGlow-r3e
@EvaGlow-r3e Месяц назад
Sana
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Месяц назад
Na yeye tutamuitia yule mme wake waliyeachana,Kumbilamoto😂😂😂😂
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 Месяц назад
Alaf yeye ya kwake hatakag ushaur
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t Месяц назад
Afu dida na kingereza km mbingu na ardhi
@SalmaAlly-dg3xn
@SalmaAlly-dg3xn Месяц назад
Huyu mimi kabisa😂🎉
@roseamon7906
@roseamon7906 Месяц назад
Dada Isha samehe shemeji yetu Mimi napenda mahusiano yenu tafadhali muoneee huruma mwanaume jamani usiwe na hasira isiyoisha Mungu hapendi
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 Месяц назад
Kwenye wanaume washamba huyu no 1, mwanaume uwezi kuwa pumbu
@ashurasharif-ln4nl
@ashurasharif-ln4nl Месяц назад
Isha kazaa dada❤❤❤❤
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 Месяц назад
Wanaume tukutane Mwamba katuaibisha HAKUNA KUMPIGIA MWANAMKE MAGOTI 😅😅
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 Месяц назад
Ndiyo wanaume wa dar hao😂😂😂😂😂😂
@user-pt2nx8ue8s
@user-pt2nx8ue8s 28 дней назад
Apana kk kupiga magoti nikawaida ya kila aliemkosea mwenzie awe mwanamme au mwanamke na wote ni binaadam hao
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 Месяц назад
Utapata Inshaalah
@honoratusmodest285
@honoratusmodest285 Месяц назад
Hao Bado wanapendana
@Zabl0nx17
@Zabl0nx17 28 дней назад
Nipo mm hapa
@DevotaIjumba
@DevotaIjumba Месяц назад
Msamehe sana .Ameomba msamaha .akuludia Tena anyongwe😂😂😂
@teedullah5708
@teedullah5708 Месяц назад
😅😅😅 BaBu idi 🇰🇪🇰🇪
@storytownTv
@storytownTv Месяц назад
Sema wasafi wanazengua..sasa kuchoresha mahusiano ya watu for what now..!??
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j Месяц назад
Inshaallah mwanaume anaombae sory live na unakata
@SHUKURUMahiki
@SHUKURUMahiki Месяц назад
Kijana unajidhalolisha mbona
@edgercyprian964
@edgercyprian964 6 дней назад
Aisha msamehe mwenzio 😢
@user-nf1tg3kt3y
@user-nf1tg3kt3y Месяц назад
Huyu kijana mabango anajidhalilisha sana
@ZeProDJay
@ZeProDJay Месяц назад
😂😂😂😂😂 wanaume wa Dar tatizo sana..
@user-vv3nc7pn9x
@user-vv3nc7pn9x Месяц назад
Ving'ast wanateseka sana namapenz.kujikaza hawawezi nandio mana mashoga wakumwagaa.ss ivi sikudhalilishana daah
@HamisBonge-c5s
@HamisBonge-c5s 21 день назад
Huyo mwenyewe hana hekima tu na wote wahuni wangeoana yasingekuwa hayo wote ni malaya
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Месяц назад
Wapeke yko niiyupi dada Isha .mama yko bdo tunakuwa wtoto wengi.ztunasema mama ytu.Lapeke yko nikaburiii tu.
@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI Месяц назад
Huyu jamaa kasahau Rule number 5💔
@SalumNdoshi
@SalumNdoshi Месяц назад
Nipo mm jmn nakusubiri ww
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Месяц назад
Nilisoma makala moja kwa idd makengo anatuhasa kuacha kumpost mume au mpenz kwa maana,wapo walokua kama ww mambo ykabadlka wapo wanaotaka wawe kama ww na uyo mume ama mpenz kwaiyo mambo kuharbka n vyepes sana tuwe makin japo napenda mpost mume wang apo nikapata funzo pia,mambo ya dada isha yamehrbka haswa baada y kujulikana hazaran,,ila dadaa nmempentaa anamsimamo kuntu 👌
@user-ib3sl7wg5u
@user-ib3sl7wg5u Месяц назад
Wabongo kwa cotent creation mpo vizuri.
@MwanaMack
@MwanaMack Месяц назад
😂😂😅
@pulikisia7963
@pulikisia7963 Месяц назад
Yaani!! 😂
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv Месяц назад
Isha msamehee please shemeji yetu!
@mtoshauri9183
@mtoshauri9183 Месяц назад
Ww dd mbona huwa hausamehe 😅😮😮😮
@estherwilliam3758
@estherwilliam3758 Месяц назад
Anamkazia mwenzie asamehe😅😅😅
@roseamon7906
@roseamon7906 Месяц назад
Hadi anakuomba msamaha Ivo Bado umekaza shingo hakuna aliekamilika
@hanifaa1487
@hanifaa1487 Месяц назад
Kabisa diyaa
@MwasitiShabani-b7x
@MwasitiShabani-b7x Месяц назад
Msamehe jamani. Dada Aisha shemeji yetu
@user-xi8ll6ub4j
@user-xi8ll6ub4j Месяц назад
Tatiz wanaum wasasaiv wanatak kutok ndomn wanatak wanawak malf wakiupat bac mwsho wa cku umalf mukiachan bac una potea
@theresiamwandara7990
@theresiamwandara7990 Месяц назад
Msamehe aisee! Mwanaume akupende hivi hata km anaigiza kiukweli msamehe tu aisee
@user-wp8ip4jn6j
@user-wp8ip4jn6j 28 дней назад
Ulikuwa humtaki unajiskia utafkiria mzuri
@neemajames5137
@neemajames5137 27 дней назад
Dada Isha msamehe hatarudia tena
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Месяц назад
Mnatuektia sio msamaha gani unaombwa hivo mlivotongozana mliita media
@8pistons194
@8pistons194 Месяц назад
Sii lazma uangalie
@Hapygideon
@Hapygideon Месяц назад
Heeeh msamaha tena 😢😢😢ila isha usitake kujichafua,fikiria wangapi umepita nao unayemtaka wapeke yako unamtoa wapi,,,unajiharibia bi mkubwa,,,kama uliamua kuwa naye msamehe ila sio kusema unataka wa peke yako,,,endelea kumsubiri wa peke yako
@mwaamwetahussain9947
@mwaamwetahussain9947 Месяц назад
Nyie wazindiki nyie mnavyomuina huruma uyo mabango😂
@user-lu1by6yp4t
@user-lu1by6yp4t 21 день назад
Msamee jamani
@JemimaMdota
@JemimaMdota 27 дней назад
Isha mi nimekupemda bureeeee namna hiyo😂😂😂
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni Месяц назад
Yaan.wako ni vile.akikuoa.lkn kuwa na wengine.uwexi kumzuia ukitambua.ww.ni wa mhimu. Inatosha mengine.usifafatilie.vinginevy mwanamke.ukiwa.hivi.utaishia kutangatanga😢😢
@Salmaismai
@Salmaismai Месяц назад
Ila Idris
@user-pk8bp7th9e
@user-pk8bp7th9e Месяц назад
Wala humpati maisha haya
@user-gj5jp7iu1y
@user-gj5jp7iu1y 23 дня назад
Achana nae Tu sasa mana umejaribu imeshindikana maybe mungu anakuepusha nakutumia flani or maybe alipata mwanaume mpya jikaze tu mungu atakupa nguvu yakuanza maisha mapya hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho pole sana kaka mm km maanamke nimejiskia vibaya 😢
@EsterAgrey
@EsterAgrey 17 дней назад
Jmn
@MustyNgongo
@MustyNgongo Месяц назад
Jamn msamehe isha atakuwa amejifunza
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Месяц назад
Yahni mtu unafanya mziki miaka 20 alafu unasema alhamdu lilah
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji Месяц назад
Sasa lakini isha nawewe lakini kwanini uangalie simu kawaida yao wanaume wote wapo ivo ukimxhunguza sana hutoweza kumla msamehe tu basi muwe kaka na dada😊
Далее
UKWELI ULIOFICHIKA NA IRENE UWOYA EPSD1
25:14
Просмотров 92 тыс.