Harmonize alifeli na alipewa muda mdogo wa kujiandaa. Na hili ni jambo la kimaisha na tusizungumze tu Harmonize angeacha ile show ni kama mpira kuna siku mchezaji akiingia uwanjani anakuwa hayupo kwenye fomu kabisa. Na hayupo mchezoni hata kwa wasanii ni hivyo hivyo. Mfano kwenye upande wa uwandaaji mfano msanii ameandaliwa hela. Hata kama Yanga walichelewa kumtangaza msanii lakini pia kuna sehemu msanii alifeli yeye na timu yake"- Mdau wa burudani, @el_mando_tz
8 сен 2024