Haahhahaa et hajui Master J ninan daaah kweli Dunia inazunguka ...aiseee wazee mi nasinzia kidogo tukifka Oman muwaambie wanishushe maaana dunia iko kasi sana
Acha kujinadi kwenye hakuna. huna nyumba huna gari wala huna biashara unayo simamia ww ni kapuku tu na tarifa zako tunazo,ww ni sugar baby tu. acha kumponda master J,tena ukome strong woman.
we dogo unamdiss master j...ceo wa mj rec....huyo p.funk anamuheshimu huyo jamaa we unamdiss.. et humjui bhac kwenu hata tv hamna maana ungekuwa unamuona kwny bss... presenter ungentajia hata nyimbo3 tu zilizopitia kwny mikono ya master j..... yan huyu dogo angeendelea kuwadiss hao hao wakina lizer bt.mj ni level zingine asee...
Sijifanyi kuwa najua kiingereza, nakifahamu vizuri kiingereza na pia kiswahili nakijua kwa sana, hii ni karne ya 21 na sio kuwa naringa, kwenda skuli ni muhimu. Ila ukweli bado ni ule ule tu, kuwa ni wasanii wachache sana wa Bongo wanaokielewa na kukizungumza kiingereza kwa ufasaha, AY, F.A, P FUNK na Q-CHILLA to name just a few, but big stars like my fevorite DIAMOND PLATNUMZ? Aisee! Hata wewe utaniunga mkono kuwa Kizungu kimemchenga sana, huyu kaka.
Bongo Dar ss salaam ya P.Jay, alitengeneza Masta Jay nasio P.Funk kama ulikua hujui. Tena Kagonga beat verses zisharekodiwa kitambo, na p. funk alishindwa kufanya Mixing adi Master Jay akaimaliza yote. Leo unalopoka eti hajui chochote wala humfahamu??? usipandishwe kichwa na crew yako ukawadharau uliowakuta hapo town bro. Madam umeshapata chance, Ok just do ya' own Shit...