Ww ndo watu wenye walinifanya nikasilimi kwa Sana je xp Ibrahim ulikuwa kanisa gani ?alfu ulisim mwaka gani na ulikuwa wapi Kenya hii kwenye ulisilimia Sante napenda sana bidii yako kwa dini ya allah plz napenda unijibu
Asalam aleikum warahama tulilahi wabarakatu sikuwa na ubaya kuuliza. Sababu wanasiasa wameleta siasa kwa kuuliza. Sheikh wangu na yy katika mafunzo yake ndo mm nimekuwa uisilam