Тёмный

Hatari: Mtangazaji wa CNN Larry Madowo na timu yake walivyopigwa mabomu ya machozi 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 61   
@mzungudacreativ
@mzungudacreativ 3 месяца назад
big up larry you deserve to be recognized.🎉 it wasn't easy.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 3 месяца назад
CNN imesha pata mtangazaji mzuri mwenye kuwasilisha kwa kuswahili
@mariamkimtai693
@mariamkimtai693 3 месяца назад
VIVA Gen-Z your the best #Reject the bill 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪💪
@authorviviannehillary
@authorviviannehillary 3 месяца назад
Ukijipeleka kwa teargas utakula teargas barbie. 😂😂😂 But good job., 👏👏👏👏👏
@MsabaaMwenebokyo
@MsabaaMwenebokyo 3 месяца назад
Future présidente de ma nation Na lingi yo makasi ❤️🇨🇩❤️🙏
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 3 месяца назад
YOUR OUR HERO❤❤❤❤❤ WE LOVE YOUU
@BaboumitengaMutenga
@BaboumitengaMutenga 3 месяца назад
Camera man never bombing 😅😅😅
@lovenesszedekia7814
@lovenesszedekia7814 3 месяца назад
Mbn waandishi Wa habari Wa Tanzania siwaoni kenya jmn
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 месяца назад
Big up
@GodwinIssack
@GodwinIssack 3 месяца назад
Sijui kama Tanganyika na Tanzania kama itakuja kuwa na wana Habari wa aina hii.
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 3 месяца назад
Sisi mambo mengine tunamuachia mungu yu kesho watakibu dhuruma walizozifanya.maandamamo sio mazuri maana kuna watu wamelazwa .wengine wamekufa .jana nimeona police mmoja alia mdogo wake kafa kwa risasi alizopigwa na police wenzie
@LucienJean-vi9fu
@LucienJean-vi9fu 3 месяца назад
Courage kaka
@Slymill
@Slymill 3 месяца назад
Mnafnya nn ! wanarusha mabom ya cry atii .
@aftapat5365
@aftapat5365 3 месяца назад
watangazaji hao ndio wa kuanza nao burundi machafuko 2015 yalivyotokea waliwatimua Rf bbc vyombo vyote ikawa inasikika redio ya taifa maandamano yakichukua siku mbili
@badboyjephanie-uh3mz
@badboyjephanie-uh3mz 3 месяца назад
😢 Kenya imekuwa kama Congo 🇨🇩 jmn
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 3 месяца назад
Washavuta bangi wakiwa kambini hata hawaelewi wanacho wafa 😮😮😮
@JamesSichimata-w1u
@JamesSichimata-w1u 3 месяца назад
Yangu masikio na macho
@abdulsaid4579
@abdulsaid4579 3 месяца назад
daah " mnafanya nn?"....watu wamemchagua wenyewe huyo Ruto na huu ndio moto wake. 🙉
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 3 месяца назад
Hii nikazi ngumu sana
@HarrisOthman-p7i
@HarrisOthman-p7i 3 месяца назад
Nahisi Kenya mabom ya machoz yameisha
@jebbymnyama2379
@jebbymnyama2379 3 месяца назад
So sad
@denismasele4130
@denismasele4130 3 месяца назад
Jaman tutegemee kumuona sky katikati ya FFU aktuttetea siku za hvi karbuni km jamaa alvofanya😂😂😂😂😂😂😂
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 3 месяца назад
Very sad
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 3 месяца назад
Aise police hao lengo kua raia
@blacktiger4439
@blacktiger4439 3 месяца назад
Hhhhhh....Ruto must ask for advice from Burundi president HE Evariste Ndayishimiye or his representatives... Butundi of 2015 was like this Kenya of nowerdays,ask what happened🙈🙈🙈
@BaboumitengaMutenga
@BaboumitengaMutenga 3 месяца назад
Camera man never bombimg 😅😅😅
@juliasmaick
@juliasmaick 3 месяца назад
Wakenya polen sana😢
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 3 месяца назад
Asante japo sio rahisi 😢😢😢
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 3 месяца назад
Na haki yao wameipata🎉💪
@ring-tone278
@ring-tone278 3 месяца назад
Ruto has lost control and is not serving Kenyans but foreign Interests and himself. A failed Presidency.
@geofreyniyonkuru5724
@geofreyniyonkuru5724 3 месяца назад
ila hawa wandishi sijui kwanini huko ukrain hawapo gaza hawapo ila congo wanatangaza vita live sudan hivyo hivyo kenya ndio usiseme niliwahi kushuhudia ghasia za police na waanamanaji police akapigwa jiwe wote walipigwa kama maumbwa
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua 3 месяца назад
Kule ni fire halafu CNN ni vibaraka
@ARNOLDKARISA-fs3ht
@ARNOLDKARISA-fs3ht 3 месяца назад
na baado till zakayo ahamie amerika
@ring-tone278
@ring-tone278 3 месяца назад
Boycott all functions of Ruto. Switch of all his speeches. And protests in every Kenyan Embassy. He should step down immediately.
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl 3 месяца назад
Hatimaye mandamanoyetu yamefanya kazi
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 3 месяца назад
Atafute historia ya mwangos
@vincej9275
@vincej9275 3 месяца назад
Police wa Kenya tunawajua sana. Furaha yao kuua, kuthulumu na kushika wakenya wenzao. These Police are acting very unprofessional just because they have weapons to hurt their fellow sisters and brothers.
@ahmedussuf1640
@ahmedussuf1640 3 месяца назад
Hii ni leo ama jana
@Nasbu-tb6cs
@Nasbu-tb6cs 3 месяца назад
Police wanajikutaga sana dadeq🫵
@ARNOLDKARISA-fs3ht
@ARNOLDKARISA-fs3ht 3 месяца назад
zakayo ashukee
@AshaMwamba
@AshaMwamba 3 месяца назад
Hawaogopiiii
@NdovuDentalClinic_
@NdovuDentalClinic_ 3 месяца назад
Cameraman haonekani
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 3 месяца назад
Hao wanaopigwa mabom leo ndo atarudi tena kuwaomba kula walai sisi afrika ni binadamu wa hovyo kuwahi kutokea..na watasema zakayo anatoshaaa 😂😂😂😂 nimekaa palee nawazoom tu
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 3 месяца назад
Infact tunawapigia haki
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 3 месяца назад
@@yasminoluoch169 Naungana na nyie kabisa .. lakn dawa ni kuwa nyima kula hao mafisadi vibaraka wa wazungu.. hata kwetu wapoo
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 3 месяца назад
Niliwahi kusema katiba ya kenya ni kati ya katiba mbovu kabisa hapa Afrika. Haya mambo ya uhuru wa kuandamana ni mambo ya kipuuzi tunayoletewa na wasio na nia njema na waafrika. Hata huko kwao watu wanapoandama, serkali inazuia au kupambana na waandamanaji.
@IbniAbbas-yz3kt
@IbniAbbas-yz3kt 3 месяца назад
Hivi bila maandamano Uhuru ambao unao sasa kwenye nchi yako ungeupata kweli!?hata Nyerere aliandamana kudai haki na Uhuru wa nchi hii!ila ni sawa sio kosa lako mana mavuzi yenyewe umeota juzi juzi tuu!hujui maana ya maandamano wala nchi yako ilivyo patikana
@Hamad10Salafi
@Hamad10Salafi 3 месяца назад
What are you talking about? Umefika darasa la ngap? Unataka tukaliwe kifala kama mlivyokaliwa Tz? Nyie Endeleeni kuongelea Mpira asubui mpaka jioni, Endeleeni kumshangaa Chris Brown kucheza Komosava, Endeleeni kumsifia Mama anaupiga mwingi wakat hali mtaani sio poa 😅
@ChireGriffin
@ChireGriffin 3 месяца назад
Useless..katiba ya Kenya ndo bora sana
@sultanmswahilitv4864
@sultanmswahilitv4864 3 месяца назад
Tengenezeni yenu mzuri.umbwa nyinyi
@gabrielchilumo2654
@gabrielchilumo2654 3 месяца назад
Bomu la machiozi ama tear gas canister
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua 3 месяца назад
Police wa kikalenjini hao hawajui sheria
@matjjoseph9708
@matjjoseph9708 3 месяца назад
Police wanalewa sanaa sifa ilimrad tu waonwe na madem zao
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 3 месяца назад
Huyu mwaandsh nae anamasif@
@ce-08
@ce-08 3 месяца назад
Mtuletee mbeya huko hali ya hewa kwenye migomo ya wafanya biashara
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 3 месяца назад
Ukiangalia mshahara yako ziro hata dada zako wanaofanya kazi gulf Qatar na Saudi nyingi tena mara mbili yk.halafu wanarusha mabomu tu .ndio maana mwenzao alinyofoka viganjwa
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 3 месяца назад
Muandishi akipigwa, waandishi wote wanacharuka, kwa kuwaandama maafisa wa polisi kua wamekosea kuwapiga raia na waandishi. Binafsi yeyote anaekaidi kufanya jambo, anastahili kupata adhabu.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 месяца назад
Unamaanisha nini unaposema anaekaidi kufanya jambo anasitahili adhabu?
@faithchelangat140
@faithchelangat140 3 месяца назад
Hawa maaskari ni magazia sana wanajifanya hapo na pia wanakatwa,fools!
@walowemkanjala2525
@walowemkanjala2525 3 месяца назад
Kenya iko na demokrasia sio kama nchi zingine wananchi hawana uhuru wa kuzungumza... Kenge wewe!
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 3 месяца назад
Ni kweli
Далее
这位大哥以后恐怕都不敢再插队了吧…
00:16
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Просмотров 8 млн
How Israel Assassinated  Hezbollah Commander?
8:48
Просмотров 2,7 млн
How to win a argument
9:28
Просмотров 582 тыс.