Sisi mambo mengine tunamuachia mungu yu kesho watakibu dhuruma walizozifanya.maandamamo sio mazuri maana kuna watu wamelazwa .wengine wamekufa .jana nimeona police mmoja alia mdogo wake kafa kwa risasi alizopigwa na police wenzie
watangazaji hao ndio wa kuanza nao burundi machafuko 2015 yalivyotokea waliwatimua Rf bbc vyombo vyote ikawa inasikika redio ya taifa maandamano yakichukua siku mbili
Hhhhhh....Ruto must ask for advice from Burundi president HE Evariste Ndayishimiye or his representatives... Butundi of 2015 was like this Kenya of nowerdays,ask what happened🙈🙈🙈
ila hawa wandishi sijui kwanini huko ukrain hawapo gaza hawapo ila congo wanatangaza vita live sudan hivyo hivyo kenya ndio usiseme niliwahi kushuhudia ghasia za police na waanamanaji police akapigwa jiwe wote walipigwa kama maumbwa
Police wa Kenya tunawajua sana. Furaha yao kuua, kuthulumu na kushika wakenya wenzao. These Police are acting very unprofessional just because they have weapons to hurt their fellow sisters and brothers.
Hao wanaopigwa mabom leo ndo atarudi tena kuwaomba kula walai sisi afrika ni binadamu wa hovyo kuwahi kutokea..na watasema zakayo anatoshaaa 😂😂😂😂 nimekaa palee nawazoom tu
Niliwahi kusema katiba ya kenya ni kati ya katiba mbovu kabisa hapa Afrika. Haya mambo ya uhuru wa kuandamana ni mambo ya kipuuzi tunayoletewa na wasio na nia njema na waafrika. Hata huko kwao watu wanapoandama, serkali inazuia au kupambana na waandamanaji.
Hivi bila maandamano Uhuru ambao unao sasa kwenye nchi yako ungeupata kweli!?hata Nyerere aliandamana kudai haki na Uhuru wa nchi hii!ila ni sawa sio kosa lako mana mavuzi yenyewe umeota juzi juzi tuu!hujui maana ya maandamano wala nchi yako ilivyo patikana
What are you talking about? Umefika darasa la ngap? Unataka tukaliwe kifala kama mlivyokaliwa Tz? Nyie Endeleeni kuongelea Mpira asubui mpaka jioni, Endeleeni kumshangaa Chris Brown kucheza Komosava, Endeleeni kumsifia Mama anaupiga mwingi wakat hali mtaani sio poa 😅
Ukiangalia mshahara yako ziro hata dada zako wanaofanya kazi gulf Qatar na Saudi nyingi tena mara mbili yk.halafu wanarusha mabomu tu .ndio maana mwenzao alinyofoka viganjwa
Muandishi akipigwa, waandishi wote wanacharuka, kwa kuwaandama maafisa wa polisi kua wamekosea kuwapiga raia na waandishi. Binafsi yeyote anaekaidi kufanya jambo, anastahili kupata adhabu.