Kiufupi jamaa wapo vizuri sana Tanzania bamoja na kuwa hatujawekewa vikwazo lakini Korea iko mbali sana kiubora kuliko sisi (Tz) 😅😂 Hongera kwa Wakoroea wote. Wazungu wamejaa Propaganda😅😅
Hongera kwa kazi nzuri Dj Smaa. Team Russia, China, North Korea, Iran tukiongozwa na Vladimir Emirovic Putin lengo ni kuwaondoa Mabepari Barani Afrika kupitia Viongozi Vibaraka.
Wakati putin anatembelea Urusi nilivyo ona Nika comment kwenye sky news. Wanavyo ponda north korera Eti hakuna maendeleo nimepata majibu zaidi ya 100 😂😂😂
Si mlikua mnasema KOREA KASKAZINI kuna njaaa😂😂😂😂 nyiiie niwasenge Kama bado mnafuatilia WESTERN MEDIA washenzi kweli kweli Watu wenye njaaa wanamijengo kama hiyo ???
Lakini anatumia magari kama Benz(Germany) pia naiona Land Cruiser V8(Japan) ni sawa uchumi wake anategemea zaidi malighafi za madini kama Congo ambazo anauza kwa nchi kama China na ulaya lakini ingekuwa na maana zaidi kama angeuza bidhaa za viwandani ingetoa tafsiri kubwa ya uchumi kama kiwango cha ukosefu wa Ajira
Mzee unatuonyesha mandhari ya Pyongyang ambako ni mji mkuu. Hapo wanaishi watu wakubwa katika nchi. Hizo media za magharibi mbona wanaonyesha sana hizi video. Hata watalii wanapelekwa sehemu nzuri tuu, tena wanachaguliwa watu wa kuongea nao. Pyongyang ni mji wa watu waliochaguliwa na serikali, huwezi ishi hapo bila kibali. Achana na BBC, DW, CNN etc pia youtuber kibao wameenda huko, hawapelekwi miji mingine nje na Pyongyang tena wanapewa matour guide wa serikali. Drew binsky, indigo traveller na wengine kibao tumeona video zao unfiltered. Nchi kuwa masikini haimaanishi hamna sehemu chache ambazo ni nzuri. Hata bongo kuna oysterbay na vingunguti.
Ndo maana nili unfollow bbc swaili, baada yakugundua bbc, DW, Rfa, VOA na mengi kathaa mashirika hasa yanao leta habari kwa lugha nyepesi ya mama hasa sisi tunaongea swali!. Kiufupi sipendi taarifa zao. Smaa try one day huonyeshe namna marekani kuna homeless wengi na maauji yalioo kithirii! Zakuambiwa changanya na zako…
Nchi zamagharibi ziko nawivu sana na nn hasidi dhidi yahii nchi ndio maana wanmuita huyu jmaa dictator,,,,,N.korea haijawai kuvamia nchi zengine nakuziharibu kma walivyofanya wao manya'ngau
Walikuwa wanatuaminisha kuwa Urusi njaa kali,mpaka wakatufanya kwenye viwanja vyetu vya mpira,wanaokaa upande wamashariki(waopingwa jua usoni)wamekaa upande wa Urusi.Wakati ukweli...watu wa wamagharibi wategemea mafuta,gas,nani nk.kutoka huko
Kwa kweli north Korea na sanctions zote hatuwezi kuwapata vile cc Bado niwatumwa tu Mm na doubt shuleni tunafundishwa kuwa warabu walituteza na utumwa lkn mm na doubt sio kweli maana warabu walikuwa wanafanya biashara na bantu kabla kuxaliwa mtume Muhammad (p.u.b.h) hii pia kufundishwa shuleni sio kweli watu wa magharibi wametutengenezea tu
Mimi binafsi huwa siwaamini wazungu,maana akikuambia maneno yake,weka uchunguzi wako wa kina ili uone kupitia maono na usikilize kwa kina zaidi hawa wajomba waongo mno,unaweza kuambiwa Africa kuna tembo wa kupaa na usipochunguza unaweza kulishwa matango pori😂😂😂
Hakika vikwazo vinafanya kazi kwa mataifa ambayo viongozi wake hawajitambui kama wa kwetu Afrika, Korea kasikazini ina vikwazo lakini wana maendeleo endelevu yao wenyewe.
Mimi nilipenda gisi waliwazani wao not Korea kua maskini Ivyo kuvichika Siri ya inchi nisawa sn hihi inchi sheria yao mimi nahipenda sn ongera sn inchi zamangaribi n'a uyo bwana wao marekani mwenye kujaha wivu wote ni waongo kazi yao nikutangaza vitu vibaya kwa inchi zingine wao wahonekane bora kumbe wao ndo wabaya mbona ata marekani kuna watu wanahangaika 😂😂😂😂😂😂
Wenzetu wamewekewa vikwazo lakini bado wanafanya maendeleo ila sisi sasa Tz hatuna vikwazo lakini bado hatuna maendeleo na tuna ombaomba tu kila kukicha wakati rasilimali tunazo na zina hitajika sijui elimu yetu ndio haitusaidii au
Mimi binafsi nasema Korea kaskazin hakuna njaa na wanaishi vzr sana hayo ndio maisha yao nchi za magharib tushazielewa mipango yao ni kutia ila maendeleo ya nchi nyingine
Mkiendelea kujiuliza wamewezaje jibu ni kiongozi yoyoyte yole anayependa nchi yake na watu wake basi hashindwi kufanya hvi samia alipewa hii nchi ikiwa aina deni ata moja sasa hvi dunia iko number 4 kudaiwa jiulize pesa hzo anapeleka wapi na ushuru anapeleka wapi
Maendeleo makubwa yanafanywa Kwa njia ya usiri. Ili kupunguza changamoto kutoka Kwa maadui wako wa karibu. Notes: Kuna watu ni lazma uwaonyeshe, Mtazamo wa kawaida Ili uweze kuwapumbaza kwenye malengo yako, Wasijue una malengo gani. NDIO SIRI YA MAFANIKIO KWA MAADUI. #HonMichaelDeusdedityKessy.