Тёмный

HATMA YA DUNIA NA MANABII WA UONGO Na Pr David Mmbaga 

MAHUBIRI TV
Подписаться 211 тыс.
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 109   
@elihurumaphilipo4586
@elihurumaphilipo4586 25 дней назад
Pr Ubarikiwe saana kwa somo lako ukweli mimi ni Mhanga mkubwa wa manabii wa uongo, ukweli unapofundisha mtu si rahisi kuelewa kama mtu hajawahi kupitia changamoto hizo za manabii wa uongo, nilipoteza ndoa yangu unaushi na mke anamwamini nabii wa uongo asilimia mia sitaki kukymbuka jamani😢😢😢
@maelezokitabwire8855
@maelezokitabwire8855 Год назад
Namshukuru mungu kwa neema kubwa alio nipa mimi kuniokowa nakunifanya mtu mzima ambaye nime jua njia ya kweli.nime pata muda wa kucunguza biblia mimi mwenye na nime ona ukweli ndo maana namuomba roho mtakatifu aendele kuwa kiongozi wangu kila ninapo amka.nina mengi sana ila mungu ni mwema kweli.nilitoka ndani ya mazehebu nilikua nime naswa ila kwa neema kubwa nimetoka nakuamini yesu kua bwana na mokozi wangu.
@user-fg9zg8yi8q
@user-fg9zg8yi8q 9 месяцев назад
Nimepalikiwana hili somo amen
@maelezokitabwire8855
@maelezokitabwire8855 Год назад
Mimi ni mkongomani nikiwa uhamishoni njini uganda.mungu akupe maisha marefu mwalimu, na akuzidishie hekima na akili.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Год назад
Ubarikiwe
@dottogatuntu
@dottogatuntu Год назад
Pastor bwana yesu asifiwe kwa ajili yako,,yaani nimepata majibu ya ndoto zangu za usiku uliopita,,,nakupenda na nitaendelea kukupenda..toka nianze kukufatilia nimejifunza mengi
@maridadi-u7n
@maridadi-u7n Год назад
Amina mtumishi, Tunaomba uandae na somo la wanawake kufundisha makanisani au kuwa viongozi
@annnangunda4971
@annnangunda4971 Год назад
Amen Amen pastor it's true with your teaching be blessed
@agnessshole
@agnessshole Год назад
Hizi nizaidi ya sifa za manabii wa uongo, maan hata marafiki wapotoshaji waongo huja kwa sura hizihizii Ninaushuhuda katika hili ,mtumishi wa Mungu.
@ValentinKanyumba-hd8pd
@ValentinKanyumba-hd8pd Год назад
Mungu akubariki mtumwa Wake, kuanzia leo nimejua njia za manabii wa uongo. jina la bwana litukuzwe. pastor usichoke kutufundisha maana mimi tangu nimeanza kuku fwatilia nimejua mengi sana, hata tabia yangu imebadilika hata nikisimama mbele kwakuhubiri ninakua na ujasiri maana nafundisha ninacho kielewa .mimi nilikujua mwaka wa 2021nilikujua kimiujiza hata mimi sielewi, Mungu kweli anajua kile kimustahilicho mtu
@maombijofre2302
@maombijofre2302 11 месяцев назад
Asante Sana Ubarikiwe
@user-bx5nc8ge6r
@user-bx5nc8ge6r 11 месяцев назад
Aksanti sana mutumishi wa mungu ❤
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 Год назад
Mungu okowa watu wako kupitia neno hili watu wako wafunguliwe , barikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai.
@monalisajohn3029
@monalisajohn3029 11 месяцев назад
Amen pastor
@Mwalimurama
@Mwalimurama Год назад
Amen, Kweli kabsa Mtumishi mafundisho yako ni MUNGU BABA azidi kutukuzwa zaidi maana yamenibadili si ki tabia, hata ki akili.Ubarikiwe
@pauljoackim2786
@pauljoackim2786 Год назад
Pastor: ungana na mwalimu ndacha ili africa mashariki ipate wokovu kwa jina la yesu!!
@jigospeltv
@jigospeltv Год назад
Barikiwa mno endelea KUTOA masomo mengi ya hivi
@rodahadhiambo3637
@rodahadhiambo3637 Год назад
Ubarikiwe sana pastor mungu anakutumia kufundisha wengi, Mungu atukuzwe
@raelsarange638
@raelsarange638 Год назад
Be blessed abundantly pastor I'm blessed too ❤
@JC-lk3me
@JC-lk3me Год назад
Asante sana mchungaji kwa somo hili Mungu akubariki wewe na familia yako
@UserUser-gq1ir
@UserUser-gq1ir Год назад
Asante pastor kwa fundisho nzuri
@judyalex1237
@judyalex1237 Год назад
AMEN 🙏🙌🙌
@zirhumanafiston116
@zirhumanafiston116 Год назад
Ubarikiwe sana pr David A Mmbaga
@jackline6547
@jackline6547 Год назад
Bwana atupe hekima mtumishi nkumbuke kwa maombi naitaji hekma na maarifa ktoka kwa mwenyezi Mungu wetu
@mussahonesty9907
@mussahonesty9907 Год назад
Mungu azidi kukupa ufunuo zaidi na zaidi barikiwa sana pr
@rebeccaonyando7214
@rebeccaonyando7214 Год назад
Amen. Nafuatilia kutoka Kenya.
@dennismoses-ds4rx
@dennismoses-ds4rx Год назад
Asate sana kwamafundisho manzuri mungu akubariki
@BarikHaonga-is1dx
@BarikHaonga-is1dx Год назад
AMENI BWANA AKUBARIKI.
@sabatomazani3456
@sabatomazani3456 Год назад
Mungu azidi kukutumia vema wokovu uwejuu yetu pastor mungu akubalik sana
@mariejoseenkundabantu2803
@mariejoseenkundabantu2803 Год назад
Hsante Kwa mafundisho mchunga from Sauth Africa
@KitaLuhe-kv4mp
@KitaLuhe-kv4mp Год назад
Amina pasta UBARIKWE SANA !!!!!!
@zlpporahgechemba3111
@zlpporahgechemba3111 Год назад
🙏🙏be blessed pastor
@lizziewangui6106
@lizziewangui6106 Год назад
yesu yuaja tena hakika,,asante mchungaji
@user-ys8wo3fs5x
@user-ys8wo3fs5x Год назад
Mtumishi nakupataje
@rehemanashon3739
@rehemanashon3739 Год назад
Barikiwa sana Pastor ❤
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 Год назад
Hallelujah 🙌 🙌
@elienew3788
@elienew3788 Год назад
Asante sana
@omwegaoyioka
@omwegaoyioka Год назад
Amen.
@UserUser-gq1ir
@UserUser-gq1ir Год назад
Pamoja kutoka Kenya/Lebanon
@everlynemoraa6214
@everlynemoraa6214 Год назад
Am from kenya.
@rossarutasha9391
@rossarutasha9391 Год назад
Nakufatilia sana pr Mmbaga nikiwaUlaya
@jacklinepaul2681
@jacklinepaul2681 Год назад
Amen
@fgdt6453
@fgdt6453 Год назад
Amina
@jumamasele5793
@jumamasele5793 Год назад
Mimi ni muislam lakn napenda mafundisho yako isipokua sipend kusikia yesu ni mungu hapo mnakosea ila pro mbaga nakufatilia sana ww ni mkwel na hupindishi maelezo
@MoleKidu-ev2me
@MoleKidu-ev2me Год назад
Ivi mchungaji mbinguni 2tamkuta yesu( MUNGU, YESU, NA ROHO WAKIWA WAMEJITENGANISHA KATIKA MAUMBO)
@yakobolusasu1821
@yakobolusasu1821 Год назад
Kwani ww hujaelewa huyo ni MUNGU kwenye kazi zake na nihiyo moja MUNGU wetu
@judithnjalambaya2450
@judithnjalambaya2450 Год назад
Amen 🙏
@alinefasha696
@alinefasha696 Год назад
Amen 🙏🏾
@FrederickNyangweso-fe3yy
@FrederickNyangweso-fe3yy Год назад
Mungu wa mbingu na ardhi na WA baraka akubariki mchunguji David Mmbaga
@jerlaskambale5458
@jerlaskambale5458 Год назад
Asante
@BarnabasJonas-nv4ig
@BarnabasJonas-nv4ig Год назад
AMINA
@fatemajohn3195
@fatemajohn3195 Год назад
Ameen 🙏🏼🙏🏼
@omegakapange
@omegakapange Год назад
Tuko pamoja pastor kaza mwendo NB: hakuna taji mbinguni isiyo na nyota from UOA
@user-hd7uf6wb2z
@user-hd7uf6wb2z Год назад
At a Mimi nimejifuza pasta
@enocklutonja339
@enocklutonja339 Год назад
Hakika hili ni somo jema Sana, Mungu akubariki Sana Pastor
@joliea2956
@joliea2956 Год назад
Mimi nlitekwa na nabii ila Mungu alinitoa nashukuru
@user-cb6rh2ek1r
@user-cb6rh2ek1r Год назад
Jambo mtumishi wa Mungu, mimi ni mu congomani na niko mu DRC ila niliomba ni pate numéro yako ya WhatsApp ili ni kueleze mambo inayo nisumbua ndani ya maisha yangu ya kiroho.
@patrickbasil9412
@patrickbasil9412 Год назад
tuko pamoja toka moshi mjini
@user-gc2bs3nr8l
@user-gc2bs3nr8l Год назад
HAPPY SABBATH
@user-ct4ud6wn3i
@user-ct4ud6wn3i Год назад
Mungu akubariki sana
@thepresenttruthlastdayeven3605
Vp kuhusu UTATU MTAKATIFU pastor unaweza sema kitu hapo
@monicact4260
@monicact4260 Год назад
Kigali tunakufuatilia
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏
@kefasoneliakimumkeyembo1804
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu, Nimelielewa sana somo lako na pia kunakitu nimejifunza. Ila kuna jambo naomba unisaidie kadri Mungu atakavyo kuongoza , huku kwetu kuna mtumishi mmoja anaombea watu katika matatizo mbalimbali ila baada ya maombi kuna vitu atakuambia uvifanye, mfano atakuambia Mungu amenionyesha nenda kachimbe mizizi ya mti fulani utumie tatizo lako litakwisha, Wakati mwingine kuna maagizo atakupa ya vitu kadhaa ambavyo ataomba umletee mfano, mchanga wa katikati ya soko,kuku, chumvi na vitu kadhalika. Sasa naomba kukuuliza hivi kweli huyu ni mtumishi wa Mungu kweli? Na kama ni kweli inamaana kwa maombi tu mtu hawezi kupona bila kutumia kitu kingine? Naomba nisaidie kunielewesha maana kwa sasa watu wengi wanamfuata.
@mamakhadijah2352
@mamakhadijah2352 Год назад
Ndugu yangu ukishaona hivyo huyo ni mganga wa kienyeji anayetumia jina la Yesu soma pia matendo ya mitume 19:11-17 haya mambo yanahitaji tumuombe Mungu sana maana wadanganyifu ni wengi sana siku hizi bila roho wa Mungu ni vigumu kuwatambua neno la Mungu linasema mtawajua kwa matunda yao kama hawaendi sawasawa na neno la Mungu hata walipo ya wagonjwa hatupaswi kuwaendea endelea kubarikiwa mpendwa
@mamakhadijah2352
@mamakhadijah2352 Год назад
Hata wakiponya wagonjwa hatupaswi kuwaendea
@kefasoneliakimumkeyembo1804
@@mamakhadijah2352 Inaweza kuwa kweli unachokisema, lakini nimeshuhudia akiombea watu na mapepo yakilipuka na wengine kupona kabisa, na mbaya zaidi huyu mtu ni kijana mdogo ambaye amechipukia ktk kanisa kwahiyo inakuwa ni vigumu hata watu kumfikiria kama hivyo. Jaman kama ni hivyo Mungu atusaidie vinginevyo shetan ataangusha watu wengi maana nimeshuhudia hadi wachungaji wenyewe baadhi wakimpelekea shida zao na yeye anawaonyesha miti au kuwapa maelekezo kama hayo ya kuleta vitu kadhaa na wakifata maelekezo wanapona kabisa, hiyo ndiyo sababu watu wameanza kumuamini sana.
@doreenodongo2446
@doreenodongo2446 Год назад
​@@kefasoneliakimumkeyembo1804 Huyo mchungaji kijana Hana tofauti na wachungaji wazee ambao ni wa uongo. Mtumishi wa kweli hawezi kukutuma ulete vitu ndo akuombee. Atakuambia mpige magoti muombe bila kuleta chochote. Huyo mchungaji anatumiwa na shetani wala siyo wa Mungu. Mfuatilie Sana mchungaji Mbaga. Utapata ukweli. Zaidi mwombe roho wa Mungu akuongoze. Ubarikiwe Sana ndugu.
@kefasoneliakimumkeyembo1804
@@doreenodongo2446 Amen👏👏
@williammollel97
@williammollel97 Год назад
Tumemzuia ndugu yetu alieambiwa atoe kipande Cha ardhi kwa ajili ya ukombozi wa ardhi yake na Mambo yake
@emilibraison2410
@emilibraison2410 Год назад
Pasta ubarikiw nimegiswa kabisa
@carinethebosslady3722
@carinethebosslady3722 Год назад
Aisee mimi kaka yangu aliingia huko..mpaka akawa chizi alichanganyikiwa kabisa alidanganywa vingi..tuliomba na kufunga kwaajili yake..ametoka na saivi yupo salama..ila maombi yenu bado ni muhim pastor Mung amsaidie arud helaluni mwake kabla saa haijafika akamrudie Mung wa kwel .
@shukhuranpetro5796
@shukhuranpetro5796 Год назад
Tuko pamoja kutoka musoma
@danielkilonzo-bw9zk
@danielkilonzo-bw9zk Год назад
Nakufuata ...
@everlynemoraa6214
@everlynemoraa6214 Год назад
How are you pastor, you never mentioned the venue of the crusade on September.plz let us know the venue.
@simonogaro6990
@simonogaro6990 Год назад
Atakuwa kicc he'll be taking on family life,
@fridah6046
@fridah6046 Год назад
I would like him to come in nairobi
@daudibomani1940
@daudibomani1940 Год назад
Nasubir Sana SoMo la utatu tunalihitaji Sana mjoli
@thepresenttruthlastdayeven3605
mmhh hapo ndo kimbembe cha ukweli wa leo nami natamani sana apite hapo tujue hasa ukweli wake ni upi ktk somo hilo linalosumbua vichwa vya wachungaji leo
@paulpeter2108
@paulpeter2108 Год назад
Kuna nyakati kujisimamia ni muhimu kuliko kusubiria wachungaji maana imani zetu zitakuwa zinategemea watu na hapo inakua ni hatari sana kwetu wajoli wenzangu.
@daudibomani1940
@daudibomani1940 Год назад
@@paulpeter2108 Kabisa mtumishi umenena ukweli lakini Mimi nasubili SoMo hili alitoe huyo tumuone na yeye yupo upande gani maana Ni heri kuwa Moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu..
@daudibomani1940
@daudibomani1940 Год назад
@@thepresenttruthlastdayeven3605 Kabisa Yani
@veeJesus
@veeJesus Год назад
Swala la utatu ni rahisi sana kamwe hatuna Mungu watatu tuna Mungu mmoja naejifunua katika ofisi tatu.
@judithgodfrey6503
@judithgodfrey6503 Год назад
Kuna mmoja alijiita nabii Elia wa kizazi Cha nne. Alisema hatakufa mpaka Yesu arudi. Alishakufa siku nyingi amezikwa Bunju na Yesu bado hajarudi🤣
@wilbertmakundi2071
@wilbertmakundi2071 Год назад
Karma Ellen white na mwenzao miller
@olgahawuor6042
@olgahawuor6042 Год назад
Amen
@GuzuraJonas-ux6yx
@GuzuraJonas-ux6yx Год назад
Angalia usije ukakataa wengine yamkini ni manabii wa kweli, maana Mungu hajasema kuwa hatotuma tena manabii, ijapokuwa wauongo pia watakuja.........!!!
@mamakhadijah2352
@mamakhadijah2352 Год назад
​​@@GuzuraJonas-ux6yxabisa umenena vema tunawapima tu kwa maandiko ikiwa hawaendi sawa na maandiko tunajua ni waongo vinginevyo hakuna haja ya kuwa wabishi
@emanuel4148
@emanuel4148 Год назад
Pastor yaani kwasasa umepoa kabisa sjui umelishwa rushwa ya pesa
@rodgersnyandusinyangwara8879
Vipi mtumishi imepoa,kaka labda wewe ndio imepoa
@rodgersnyandusinyangwara8879
Mibaraka pastor
@carolgathoni1818
@carolgathoni1818 Год назад
Mafundisho yako Yana fanana na mahuburi ya mtume josephat Elias mwingira kutoka efatha church Tanzania, kenya tuko tune kabisa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@officialkinghimself2637
@officialkinghimself2637 Год назад
Sio kwer
@dorcusmusombi3646
@dorcusmusombi3646 Год назад
Na xaxa pastor hao watu walikufa kwa sababu ya uogo ,hatima yao itakuwa aje siku ya mwisho?kwa sababu hawakufahamu
@lydiahsarange7430
@lydiahsarange7430 Год назад
Mungu anajua mwenyewe
@mamakhadijah2352
@mamakhadijah2352 Год назад
Hata kama mtu atakufa akiwa hajui ukweli lakini anajua jema na baya kwahiyo Mungu atahukumu mwenyewe
@agnessshole
@agnessshole Год назад
Hizi nizaidi ya sifa za manabii wa uongo, maan hata marafiki wapotoshaji waongo huja kwa sura hizihizii Ninaushuhuda katika hili ,mtumishi wa Mungu.
@Worship396
@Worship396 Год назад
Amen 🙏
@neemamgeta2955
@neemamgeta2955 Год назад
Amina
@lulusenzia4807
@lulusenzia4807 Год назад
Amen
@monicact4260
@monicact4260 Год назад
Kigali tunakufuatilia
@emanuel4148
@emanuel4148 Год назад
Pastor yaani kwasasa umepoa kabisa sjui umelishwa rushwa ya pesa
@meshackhaule
@meshackhaule Год назад
Huduma hizi kwa mtazamo wa kawaida wa ki utu utaona ni kawaida sana lakini hakika kazii hii ya kufundisha maelfu ya watu katika kujua ukweli hua na ugumu mkubwa mno vita yake haiwezi kupambana kwa kibinaadam Hakika ukiweza kutafakari maneno haya utajua yakua hii comment ulioiweka ni ukorofi tu na wala sio kawaida
@joycekelvin5434
@joycekelvin5434 Год назад
Mungu akusaidie
@jitrihadarutamo2738
@jitrihadarutamo2738 Год назад
Mungu akusaidie
@fredinandvyoisaka6490
@fredinandvyoisaka6490 Год назад
Ndugu hii kazi siyo rahisi kama unavyodhani, mwenye hekima atawaombea wote wanaopeleka habari njema za wokovu.
@eltabusenzia765
@eltabusenzia765 Год назад
Amen
Далее
Вопрос Ребром - Субо
49:41
Просмотров 1,5 млн
SIRI HII ITAKUPA AMANI HATA KAMA UNAPITIA NINI?
17:49
MAOMBI YA WATOTO by Innocent Morris
34:26
Просмотров 43 тыс.
UFUNGUO WA KUFUNGUA MAMBO MAGUMU (OFFICIAL VIDEO)
52:11
USHOGA NA MPINGA KRISTO
21:24
Просмотров 18 тыс.
THIS is the PERFECT FAMILY || Pr. David Mmbaga
11:31