Pr Ubarikiwe saana kwa somo lako ukweli mimi ni Mhanga mkubwa wa manabii wa uongo, ukweli unapofundisha mtu si rahisi kuelewa kama mtu hajawahi kupitia changamoto hizo za manabii wa uongo, nilipoteza ndoa yangu unaushi na mke anamwamini nabii wa uongo asilimia mia sitaki kukymbuka jamani😢😢😢
Namshukuru mungu kwa neema kubwa alio nipa mimi kuniokowa nakunifanya mtu mzima ambaye nime jua njia ya kweli.nime pata muda wa kucunguza biblia mimi mwenye na nime ona ukweli ndo maana namuomba roho mtakatifu aendele kuwa kiongozi wangu kila ninapo amka.nina mengi sana ila mungu ni mwema kweli.nilitoka ndani ya mazehebu nilikua nime naswa ila kwa neema kubwa nimetoka nakuamini yesu kua bwana na mokozi wangu.
Pastor bwana yesu asifiwe kwa ajili yako,,yaani nimepata majibu ya ndoto zangu za usiku uliopita,,,nakupenda na nitaendelea kukupenda..toka nianze kukufatilia nimejifunza mengi
Mungu akubariki mtumwa Wake, kuanzia leo nimejua njia za manabii wa uongo. jina la bwana litukuzwe. pastor usichoke kutufundisha maana mimi tangu nimeanza kuku fwatilia nimejua mengi sana, hata tabia yangu imebadilika hata nikisimama mbele kwakuhubiri ninakua na ujasiri maana nafundisha ninacho kielewa .mimi nilikujua mwaka wa 2021nilikujua kimiujiza hata mimi sielewi, Mungu kweli anajua kile kimustahilicho mtu
Mimi ni muislam lakn napenda mafundisho yako isipokua sipend kusikia yesu ni mungu hapo mnakosea ila pro mbaga nakufatilia sana ww ni mkwel na hupindishi maelezo
Jambo mtumishi wa Mungu, mimi ni mu congomani na niko mu DRC ila niliomba ni pate numéro yako ya WhatsApp ili ni kueleze mambo inayo nisumbua ndani ya maisha yangu ya kiroho.
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu, Nimelielewa sana somo lako na pia kunakitu nimejifunza. Ila kuna jambo naomba unisaidie kadri Mungu atakavyo kuongoza , huku kwetu kuna mtumishi mmoja anaombea watu katika matatizo mbalimbali ila baada ya maombi kuna vitu atakuambia uvifanye, mfano atakuambia Mungu amenionyesha nenda kachimbe mizizi ya mti fulani utumie tatizo lako litakwisha, Wakati mwingine kuna maagizo atakupa ya vitu kadhaa ambavyo ataomba umletee mfano, mchanga wa katikati ya soko,kuku, chumvi na vitu kadhalika. Sasa naomba kukuuliza hivi kweli huyu ni mtumishi wa Mungu kweli? Na kama ni kweli inamaana kwa maombi tu mtu hawezi kupona bila kutumia kitu kingine? Naomba nisaidie kunielewesha maana kwa sasa watu wengi wanamfuata.
Ndugu yangu ukishaona hivyo huyo ni mganga wa kienyeji anayetumia jina la Yesu soma pia matendo ya mitume 19:11-17 haya mambo yanahitaji tumuombe Mungu sana maana wadanganyifu ni wengi sana siku hizi bila roho wa Mungu ni vigumu kuwatambua neno la Mungu linasema mtawajua kwa matunda yao kama hawaendi sawasawa na neno la Mungu hata walipo ya wagonjwa hatupaswi kuwaendea endelea kubarikiwa mpendwa
@@mamakhadijah2352 Inaweza kuwa kweli unachokisema, lakini nimeshuhudia akiombea watu na mapepo yakilipuka na wengine kupona kabisa, na mbaya zaidi huyu mtu ni kijana mdogo ambaye amechipukia ktk kanisa kwahiyo inakuwa ni vigumu hata watu kumfikiria kama hivyo. Jaman kama ni hivyo Mungu atusaidie vinginevyo shetan ataangusha watu wengi maana nimeshuhudia hadi wachungaji wenyewe baadhi wakimpelekea shida zao na yeye anawaonyesha miti au kuwapa maelekezo kama hayo ya kuleta vitu kadhaa na wakifata maelekezo wanapona kabisa, hiyo ndiyo sababu watu wameanza kumuamini sana.
@@kefasoneliakimumkeyembo1804 Huyo mchungaji kijana Hana tofauti na wachungaji wazee ambao ni wa uongo. Mtumishi wa kweli hawezi kukutuma ulete vitu ndo akuombee. Atakuambia mpige magoti muombe bila kuleta chochote. Huyo mchungaji anatumiwa na shetani wala siyo wa Mungu. Mfuatilie Sana mchungaji Mbaga. Utapata ukweli. Zaidi mwombe roho wa Mungu akuongoze. Ubarikiwe Sana ndugu.
Aisee mimi kaka yangu aliingia huko..mpaka akawa chizi alichanganyikiwa kabisa alidanganywa vingi..tuliomba na kufunga kwaajili yake..ametoka na saivi yupo salama..ila maombi yenu bado ni muhim pastor Mung amsaidie arud helaluni mwake kabla saa haijafika akamrudie Mung wa kwel .
mmhh hapo ndo kimbembe cha ukweli wa leo nami natamani sana apite hapo tujue hasa ukweli wake ni upi ktk somo hilo linalosumbua vichwa vya wachungaji leo
Kuna nyakati kujisimamia ni muhimu kuliko kusubiria wachungaji maana imani zetu zitakuwa zinategemea watu na hapo inakua ni hatari sana kwetu wajoli wenzangu.
@@paulpeter2108 Kabisa mtumishi umenena ukweli lakini Mimi nasubili SoMo hili alitoe huyo tumuone na yeye yupo upande gani maana Ni heri kuwa Moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu..
Angalia usije ukakataa wengine yamkini ni manabii wa kweli, maana Mungu hajasema kuwa hatotuma tena manabii, ijapokuwa wauongo pia watakuja.........!!!
@@GuzuraJonas-ux6yxabisa umenena vema tunawapima tu kwa maandiko ikiwa hawaendi sawa na maandiko tunajua ni waongo vinginevyo hakuna haja ya kuwa wabishi
Huduma hizi kwa mtazamo wa kawaida wa ki utu utaona ni kawaida sana lakini hakika kazii hii ya kufundisha maelfu ya watu katika kujua ukweli hua na ugumu mkubwa mno vita yake haiwezi kupambana kwa kibinaadam Hakika ukiweza kutafakari maneno haya utajua yakua hii comment ulioiweka ni ukorofi tu na wala sio kawaida