Mada Ni Yangu Kabisa hi ...ASNTE Sana brother Nanauka Kwa kutupa Ufaham kwa Kujifunza Mambo Mengi sana Kutoka ktk Vipindi Vyako...Mungu Akutie Nguvu Sana usichoke
To kno the priorities in ma life,,,choices btn good n best,,,to see problems as opportunities...this time i recognize dat great thinkin precedes great achievement, n thank you so much brother Joel, I love you so much n Jesus Christ bless you.
Kaka Joel nilikua naomba unipe elimu;kuna rafiki yangu amekua confused na maisha alimaliza form6 2017 akakosa principle 2 za kwenda university akahamua kuresit kutafuta principle mwaka huu akamaliza bt bado mambo yamekua vile vile na wazaz wake hawana uwezo wa kumpeleka chuo.....kipind hiki kwake ni kigum sana amekata tamaa ya maisha ameona maisha kwakwe ni shida tabu na mm nataman kumsaidia naomba elimu ya kumpa....
Nmejifunz Kitu Muhim Xna Kaka Joel , Ttzo Lngu Naez Nikapanga Mpango Wa Biashara Na Mwanzo Nikauamin Kabis Unaez Nipatia Pesa Lkn Mwisho Wa Cku Najikuta Naanza Kuukatia Tamaa Na Kuuacha Kabisa Hapa Nilipo Plan Za Biashara Ambazo Zishapita Akilin Mwangu In Zaid Ya Hamsun Lkn Mwisho Wa Cku Hakuna Nliojarib Hats Moja Najikuta Naikatia Tamaa Nin Hasa Sababu Ya Tabia Hii
niliwahi kumuacha dem naempenda iliniuma sana ila ilinibidi nimuache sababu alinificha harafu baada ya kuwa nae kwa muda kama wa miezi 4 haraf nikagundua ni mwanafunzi ha nikaona jela inaita niliahilisha kufanya maamuz kama mwez mzima kila nikijalibu nashindwa chezea mapenzi ila mala ya mwisho nikaona potelea mbali bola maumiv ya moyo ya muda kuliko jela miaka 30 nikamuacha. ila niliumia nilikuja kuzoea miez kama 8 ndo nikaanza kumfuta akilini
Maamuz ninayotakiwa kufanya mimi ni kuachana na ajira!!naamini hakuna tajir yeyote duniani ambae ametokana na ajira!So ili nifanikiwe najifunza kufata passion yangu!ajira inanichelewesha
Maamuzi yaliyo wahi kunitesa niliuza kuku zangu zote nikaangia kwenye kilimo cha maharage bila analysis hahahaha kilicho tokea sasa Hadi kesho sitakaa nikasahau