Richstar kaka mfano ukisha nunua unaipata vipi wanakuletea vipi upande wa hela through tigo pesa au wanaeleta then unalipa cjaelewa hapo kaka mkubwa samahani lakini ....unajua we ndo mwalimu wangu nakufwatilia toka fl mpaka disign ....msaada wako please
Nilikuwa naomba msahaada wako bro naomba nitajie vitu muhimu vya kunzisha studio ambavyo nibola kwa mawasiliano bro namby hii 0620187167 nakuomba nichek wathsapp bro