Тёмный

Hernia ni ugonjwa gani?? 

Подписаться
Просмотров 21 тыс.
% 168

hernia ni ugonjwa ambao ni common sana, watu wengi khaswa wanaume wapata sana.. katika hini video naeleza hernai ni kitu gani, na yatibiwa vipi..
Asanteni
Like, subscribe and share
Music: Bensound.com

Опубликовано:

 

6 июл 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 49   
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 6 дней назад
Somo zuri mno mawasiliano muhimu mno.
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 Год назад
Maashaallah somo zur
@chaterassk6967
@chaterassk6967 2 года назад
Nzuri sana ahsante kwa kutuelimisha
@ramamakelo5374
@ramamakelo5374 Год назад
Asante Dr
@MariamNecmi-cy2jl
@MariamNecmi-cy2jl 7 месяцев назад
Dr asanteee sana Kwa somo
@dottomboye972
@dottomboye972 Год назад
nimekuelewa sana dk
@KatisaKamwela
@KatisaKamwela 11 дней назад
Mtoto Wang anasumbuliwa na hernia
@swabramaro8900
@swabramaro8900 5 месяцев назад
Allahbarik dada
@absonngata5830
@absonngata5830 2 года назад
asante kwa somo na mm mwanangu ana huu ugonjwa wa hernia mpaka tuliambiwa na doctor tutafute mesh ili afanyiwe hyo tiba
@ShukuruJulliasi-gj1pw
@ShukuruJulliasi-gj1pw 10 месяцев назад
asante san
@petrodenice8406
@petrodenice8406 3 года назад
DKT. Unapatikana, wapi,mm,nina,tatizo,hilo,la,ennia
@athumanmvungi4527
@athumanmvungi4527 3 года назад
Asante
@user-ww7ye6lc4d
@user-ww7ye6lc4d 3 месяца назад
😢😢 doctor mwanangu kavimba korodani moja naomba nisaidie mwanangu apone
@beatricepasience3101
@beatricepasience3101 3 года назад
Doctor naomba nitumie namba zako
@user-ww7ye6lc4d
@user-ww7ye6lc4d 3 месяца назад
Mwanangu kavimba korodani moja doctor nisaidie mwanangu apone
@elizabethlinus4952
@elizabethlinus4952 Год назад
Jama mi niko mombasa shanzu mwanangu ako na hio shida kitovu chake kimetoka sana
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 6 дней назад
Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema ikikaa miaka mingi inatumbuka hapo ni kifo tu hakuna tiba je, ni kweli?
@davidburuma
@davidburuma Год назад
Baada ya oparesheni je kunauwezekano wakuendelea kutoa mbegu kwausahihi ama ?
@meaningoflife651
@meaningoflife651 2 года назад
Mwanangu ana 6weeks aisee kitovu kimetoka nje naogopa naona kinaongezeka sasa sijui nifanye nini
@betricealifrred3926
@betricealifrred3926 11 месяцев назад
Mimi mtu mzima na harnia
@estamwangolombe1372
@estamwangolombe1372 Год назад
Mwanangu anatatizo hilo nakupataje ana mwaka mmoja na nusu
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 Год назад
Waeza kupiga simu 0789105555 kupata appointment
@AminaHamis-zo6mm
@AminaHamis-zo6mm 2 месяца назад
Namadokta hao wako spitali gani
@areenkasongo5568
@areenkasongo5568 5 месяцев назад
Dawa yake ni ipi
@anndaniel4055
@anndaniel4055 Год назад
Kama nimepatika nayo ni fanye nini Dr , nalia 😭😭😭🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op 11 месяцев назад
Asante Sana Dada mungu hakupe maisha malefu Uwasaidie watu kwakua mungu hamewaeka watumishi kamanyie
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op 11 месяцев назад
Ngarama
@mamualberth7403
@mamualberth7403 2 месяца назад
Asantee
@AminaHamis-zo6mm
@AminaHamis-zo6mm 2 месяца назад
Mimiaminahamisi nijibu
@teedullah5708
@teedullah5708 2 месяца назад
Mwapatikana wapi wewe
@AminaHamis-zo6mm
@AminaHamis-zo6mm 2 месяца назад
Spital take ikowapi
@kwisa4899
@kwisa4899 2 месяца назад
Dokta una balaa wewe
@nyangokapono1609
@nyangokapono1609 2 года назад
Wapatikana wapi
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 2 года назад
Premier hospital.
@sundayadam4305
@sundayadam4305 Год назад
​@@dr.maryambadawy7063 mm niko na huu ugonjwa sasa cjui utanisaidia vp
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 Год назад
@@sundayadam4305 you can call 0789105555 to make an appointment
@petrodenice8406
@petrodenice8406 2 года назад
Unapatikana wapi dk mm nina tatizo hilo au namba.ya.simu
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 2 года назад
Premier hospital
@petrodenice8406
@petrodenice8406 2 года назад
Iko mkowa gani hapa tanzania dkt au tupe namba ya sim
@kaysancindy6822
@kaysancindy6822 2 года назад
Upo wap jaman
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 2 года назад
Premier hospital iko.mombasa kenya, mtaa wa nyali
@goodnessmlimahadala4731
@goodnessmlimahadala4731 2 года назад
@@dr.maryambadawy7063 nina tatzo Dr. Naomba namba yako
@haythamchimamy9076
@haythamchimamy9076 2 года назад
Vp kwa mtoto,wangu ana miezi kumi ana kitovu kikubwa km kdole cha katkat
@dr.maryambadawy7063
@dr.maryambadawy7063 Год назад
Hiyo pia ni hernia, waeza kumleta tumpime, piga simu 0789105555 kuweka appointment
@TawufiqKaijage-ri8dt
@TawufiqKaijage-ri8dt 12 дней назад
@@dr.maryambadawy7063 mi niko Tanzania tunafanyaj
@stivinpatrick4476
@stivinpatrick4476 2 года назад
We unapatikana wap mm ninayo iyo shida 0782123684
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 6 дней назад
Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema ikikaa miaka mingi inatumbuka hapo ni kifo tu hakuna tiba je, ni kweli?
@BofuMlanzi
@BofuMlanzi 6 дней назад
Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema ikikaa miaka mingi inatumbuka hapo ni kifo tu hakuna tiba je, ni kweli?