Bada ya kuondoka kwa shekh nassoro Bachu mapezii yangu ya kupenda yy kwa ajili ya allah ,yamehamia kwa shekh Muhammad bachu nikimsikiliza napata mingi sana ,,
Dr Islam Muhaamed na Mohammad Nassoro Bachu. Mnayatendea haki majina yenu Allaahu awalipe. Shekhe binafsi niombe somo kwanini Mtume amehimiza kuwa watoto wetu majina mazuri. Na msaidie kukemea yanavyo haribiwa katika jamii kwa kisingizio eti kifupi chake🤲
Mwenyezi Mungu ampe shifaa shehe wetu Na hasa mwalimu wangu. Yaa rabi mjalie afya mpaka aweze kumaliza tafseer ya Quran yote inshaAllah na amtoe katika hofu ya Ajali inshaAllah
Masha allah atujaalie mshikamano huo huo lkn sio kuskiliza2 maana Leo Kuna masheikh wanapenda kuwaskiliza wenzao halaf wakiondoka hapo wanaenda kukaa na kuwajadili kuwasema vby na kuwapiga radi wakat ww ulikuwepo nae pale haukumkosoa unaenda kumkosoa mbele ya ummah Ili kujionyesha ww ni zaid yake. Allah atuhifadh.
Dr Islamحفظه الله ajibu nini ? kwani yuko kituo cha polisi au mahakamani, sheikh wako Qassim Mafuta sio jaji wa mashekhe wengine kila mmoja atahesabiwa na Allah peke yake na sio sheikh Qassim Mafuta.
Wallah Kuna watu wanawachukia waislamu wenzao utafkiri ni makafiri, wanasahau Uislamu umeeleza haqqi za muislamu kwa muislamu mwenzie, hata hii Hadith hawaizingatii. Allah atuhifadh.
Wisilam ni NEMBO tosha na mtume amesema enyi waisilamu msiwadharau waisilamu wenziwe huwenda wakawa Bora kuliko nyinyi upendo huo utatusaidia kuona nuru ya Allah.
Nasaha zangu kwenu nduguyangu acheni ulokole kwenye uislamu hakuna kuokoka lakini mnchukulia shekh qaasim kama vile ameokoka binnafa nampenda sheik qasim lakini msichupe mipaka allah amhiadhi yeye pamoja na maskh wengine wakisunnah
Nimeangalia hii video kwa umakini Bachu ndio ameonyesha unyenyekevu lakini kwa uongo wa media kaandika Islam ameonyesha unyenyekevu ilimradi tu muendelee kudanganya umma hata kitu kikiwa wazi
Allah atuhifadhi kuifanya dini kama Team za wasanii Tunapotea tusimamishe haki Qur'an na sunnah za mtume kumuona sheikh wako bora kuliko mwingne haitotufikisha kokote allah atuhifadhi na atupe Elimu Yenye manufaa
Aahh kwaajili wahabi mwenziwee ndio maana akampa heshimaa angekuwa sheikh wa madhehebu mengine hapoo ndio tungejua kuwa kweli anaheshimaa achenii kutuekitiaa
Nyinyi munaujinga Sanaa sherhe anamukaribiisha Ndungu Yake muna anza Ku sema mingiii muko wajinga Sanaa Allah awaogoze mulisha kuwa ma jadida ndo ma sherhe Wetu awaa!!