Тёмный

HII HAPA SAFARI SGR DAR HADI MORO, NDANI YA TRENI YA SGR 

TRC RELI TV
Подписаться 80 тыс.
Просмотров 40 тыс.
50% 1

HII HAPA SAFARI KWA KWANZA DAR MORO

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 114   
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 3 месяца назад
Magufuri alikuwa ni raisi mwenye maamuzi magumu na maono ya mbali ,,angekuwepo angeshaanzisha kitu kingine unique kabisa .R.I.P ancle
@yesesalambwe9420
@yesesalambwe9420 3 месяца назад
Hongereni sana kwa kufanikisha safari hii! ila mjipange, maana hiyo idadi ya watu itaongezeka mara dufu zaidi!
@gervasally6979
@gervasally6979 2 месяца назад
Hio nikweli unapoboresha miundombinu maana yake Unaongeza uhitaji wa watu kutaka huduma.
@chumamasunga8855
@chumamasunga8855 3 месяца назад
Huku ndo pakusafiria sasa, hakuna wapiga debe huku💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 3 месяца назад
Jpm mwamba wa miundo mbinu Tanzania ulale salama chato.Hongera pia serikali ya TZ kwa kazi hii nzuri.
@peterjohnson167
@peterjohnson167 3 месяца назад
Mshukuruni sana hata kama alikuwa dikteta ayati Magufuli, zaidi na zaidi mama Samia Suluhu Hassan kaweza kukamilisha....Ukipenda maendeleo jinyime raha kwanza....
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf 3 месяца назад
What is the meaning of "dictator "
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 месяца назад
😂😂😂 dah Uongozi ni kazi saana haya ndugu tunakushukuru kwa Maoni
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 3 месяца назад
Unaujua udikteta vizur wewe
@kautharjay5868
@kautharjay5868 3 месяца назад
magufuk hakuwa dictetar hata kidogo
@peterjohnson167
@peterjohnson167 3 месяца назад
@@kautharjay5868 Sijamanisha mimi bali wapo watu ambao hawakumuelewa JPM ndio walimzungumzia kuwa Diktekta....Afrika kwa miaka hii ya karibuni Magufuli ndio amekuwa rais bora Afrika mzima.
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 месяца назад
Hongera sana kwa nchi yangu Tanzania ila ongezeni mabehewa mpige hela haraka tuludishe mikopo ya watu.
@joshuachimwejo5892
@joshuachimwejo5892 3 месяца назад
Pongezi nyingi kwa serikali ya awamu ya 5 na 6 na Watanzania wote kwa ujumla. Kwakweli kazi imefanyika. Ombi langu kwa TRC ni kujitahidi kusimamia viwango vya huduma h ambayo tumeviona siku ya kwanza viendelee siku zote, tujitahidi tusije tukawa kama BRT, ilianza vizuri sana, lakini katikati ya safari mambo yakawa tofauti! Watanzania pia, tuipende, tuilinde, tuitunze, tuwe uchungu na tuwawajibishe wale wote watakakuwa na nia ovu ya kutaka kuharibu miundombinu yetu. Kitunze kidumu!
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 3 месяца назад
... Mimi yoo mimi yooooo KIMBINYIKO bai bai... Bado nakuoenda ABOOD, NEW FORCE bai bai.. narudi kwa BABA na MAMA KATARAMA bau bai .....
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 3 месяца назад
Kiongozi SGR inafanya kazi kubwa kwani kutakuwa na utalii kila weekend Dar to Moro Kwa hiyo hongera sanaa
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 3 месяца назад
Kutengenezwa parking za kulipia. Mtu anaacha gari anaenda Dar akirudi anachukua gari anaondoka.
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Ninakiwanja kikubwa jirani wako kwenye michoro ya parking ndio biashara nayotarajia mpendwa
@kautharjay5868
@kautharjay5868 3 месяца назад
​@@tanzcanmediatv4473hongera
@MM-oe2eo
@MM-oe2eo 3 месяца назад
Kadogosa, one of the best CEO. Ila yote kwa yote tumshukuru sana yule mzee amelala pale Chato, na Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan kwa kumalizia. Najua figisu figisu nchi hii ni nyingi mno, ila maza amekomaa. Hapa kwa kweli na ubishi wangu, nasema MITANO TENA😂😂😂😂
@bonosaugustine6545
@bonosaugustine6545 3 месяца назад
😂😅 mm mwenyew na sapoti mitano tena Maza kakomaa kwelikweli
@johanesbina1302
@johanesbina1302 3 месяца назад
🤣 🤣 🤣 Mm sitaki hata mitano
@kautharjay5868
@kautharjay5868 3 месяца назад
umeongea point Sana mtu akifanya kitu unasema lkin watu wanaponda sana Mimi hiyo relief inavyojengwa naiyona mpka kumaliza n
@saimzmuiruri
@saimzmuiruri 3 месяца назад
Congratulations, Tanzanians, on the maiden SGR trip. 🇰🇪
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Asante jirani
@henrynyanswi2132
@henrynyanswi2132 3 месяца назад
Jambo la maana ungekuwa safari zinaanzia Morogoro kwenda Dar, ili wafanya biashara wawahi kufika Dar kufunga mizigo na wengine kuuza bidhaa sasa ratiba ya sasa ni kama inawanufaisha watu fulani
@niolaussdavid
@niolaussdavid 3 месяца назад
kuna vitu kama kuku na vitu vya kunuka nuka viachwe ule utamaduni wa zamani uishe
@athumanmsuya2688
@athumanmsuya2688 3 месяца назад
True,fact
@kautharjay5868
@kautharjay5868 3 месяца назад
duuu 😂Sasa watasafirisha wp?? 😂
@lakasid3860
@lakasid3860 3 месяца назад
Tanzania yetu 👏🇹🇿
@DeodatusiLyaruuu
@DeodatusiLyaruuu 3 месяца назад
Pongezi Kwa uwongozi Kwa kukamilisha hadi hapa walipo fika mm kwangu najisijia raha Sana maana nipo dar ila nalima mrogoro kwaiyo imenirahisishia Sana weekend moro jumapil nalud
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 3 месяца назад
Sanaa hapo ni samaki na vegetable Kwa ujumla sasa Dar wanapata salad za maana 😂😂😂
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 3 месяца назад
Nchi yetu imebarikiwa
@GodlivenMaximillian-ot7mg
@GodlivenMaximillian-ot7mg 3 месяца назад
Mpendwa Mkurugenzi watanzania sio wanapenda usafiri wa treni , wanapenda usafiri wa haraka - watu hawataki kuchelewa sasa hivi
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 месяца назад
Daah watu wanaanza kukimbizana wasije kubanwa na milango😂😂😂watanzania bwana sijui tutaendelea lini!
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 месяца назад
Pongezi kwa Awamu ya 6 inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Pongezi kwa Wizara ya Uchukuzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
@trueexplorer894
@trueexplorer894 3 месяца назад
Wee mtoto wa kihindi umefikaje fasta wakati bado upo safarini?
@zephaniaernestmagoma5521
@zephaniaernestmagoma5521 3 месяца назад
Nice
@liberatedpeople6054
@liberatedpeople6054 3 месяца назад
Huyu waziri mnafiki kweli anaiga kama Magufuli 😂 eti anajua idadi ya mifugo nchini
@paskalilameki9568
@paskalilameki9568 3 месяца назад
Ongela.tanzania
@amirjuma9395
@amirjuma9395 3 месяца назад
Nashauri viongozi msiwe mnapanda chombo wote kama mlivyo fanya ikitokea limetokea la kutokea nani atasema 😅😅 mpeane majukumu mgurugezi kapanda naibu kapanda katibu kapanda sio kweli
@gwakisamwakilema
@gwakisamwakilema 3 месяца назад
Pongezi kwa hatua hii.
@cmantz8837
@cmantz8837 3 месяца назад
Ila naye masanja kadogosa ni mtu nanusu anaiweza leli
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct 3 месяца назад
mpambanaji jamaa......hana longolongo
@mimiraia2531
@mimiraia2531 3 месяца назад
Wasukuma watu wa kazi…siyo MIDEBWEDO ya Pwani
@DeodatusiLyaruuu
@DeodatusiLyaruuu 3 месяца назад
Pongezi Kwa uwongozi Kwa kukamilisha hadi hapa walipo fika mm kwangu najisijia raha Sana maana nipo dar ila nalima mrogoro kwaiyo imenirahisishia Sana weekend moro jumapil nalud Dar kazin
@jworld1480
@jworld1480 3 месяца назад
r.i.p jpm tutakuku,buka umeacha alama vizazi na vizazi umekuwa kama wakoloni walivyojenga reli ya 1909
@noelswai2660
@noelswai2660 3 месяца назад
Tanzania nchi yangu 💙🇹🇿🙏
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 3 месяца назад
MINA SEMA UO MWENDO MZUR SANA WAKISEMA WETEMBEE ULE MWENDO MALA MBUU AKUNA NAE TOKA APO BOLA MWENDO UO UO KWAKWERRRR LADI WATU WAFIKE SALAMA
@magorymara5515
@magorymara5515 3 месяца назад
Usafi na mapato ya hii biashara kutokwenda mfukon mwa wajanja ndo jambo la msingi pili serikali kuwa makin na wachezea mifumo na wahalibifu wa miundombinu watu hao kesi yao iwe miaka 40 jera
@henrynyanswi2132
@henrynyanswi2132 3 месяца назад
Ratiba yake inawakwepa wafanya biashara, wafanyakazi na Abiria nk kutoka Morogoro kwa asubuhi na jioni/ usiku
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 3 месяца назад
Yaani ni raha
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 3 месяца назад
Ilikuwa na kichwa mchongoko
@JosephRoman-v9x
@JosephRoman-v9x 18 дней назад
Naitaji mapu ya SGR kwaajili yakulipia tiketi
@RonnieBertin-f7f
@RonnieBertin-f7f 3 месяца назад
wakenya vipi kuhusu hili mwageni commmets zenu
@MARK-nh4hx
@MARK-nh4hx 3 месяца назад
Tushakubali, hapo Kwa traini hatukaribiii hata kidogo😂 ..kongolee..majirani..au mahaters wetu
@kingjoshuamhuamk2559
@kingjoshuamhuamk2559 3 месяца назад
Traini zimo sawa sioni rire ribaya kama mkenya
@t1910j
@t1910j 3 месяца назад
Achana na Wakenya. Uchokozi huo
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 3 месяца назад
Umasikini unatuletea maajabu ya wasomi wetu ktk uchawa, Badala ya kusimamia kile ambacho unacho ktk Elimu yenu, Mnakuwa chawa wa watawala!
@loner_wolf
@loner_wolf 3 месяца назад
Ajira wanapeanaga wapi watz unemployed everyday
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Jpm Mungu akuweke mahali panapostahili
@ghottaman2570
@ghottaman2570 3 месяца назад
Kaka Kado, kwa akili zangu za kipuuzi nahona chuma iko sawa ila chini kuna sehemu kama reli aiko sawa kuna mitikisiko flani ivi bahazi ya sehemu au mshika kamera ana kimue ume cha safari nini?!!
@wilsondaudjackson7996
@wilsondaudjackson7996 3 месяца назад
Hiyo ni kosa la Camera man. Treni haiyumbi hata kidogo
@LisaHunt-q7l
@LisaHunt-q7l 22 дня назад
Miller Ronald White Brian Wilson Angela
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 Месяц назад
Tuna mayai billion moja
@mosesmasanja8295
@mosesmasanja8295 3 месяца назад
INATUMIA MUDA GANI KUFIKA? PIA INASIMAMA VITUO GANI?
@HudahDidas
@HudahDidas 3 месяца назад
Ratiba ya safari
@HudahDidas
@HudahDidas 3 месяца назад
Ratiba ya safari
@SelemaniChanzi
@SelemaniChanzi 3 месяца назад
Tupeni ratiba za safali na muda
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 3 месяца назад
Hizo ngazi vipi......
@doniciancalist164
@doniciancalist164 3 месяца назад
Sema station ya DSM kwa nje inaonekana chafu mavumbi mengi kwenye vioo atafutwe service provider anayeweza kukidhi kutoa huduma kwa machine za kisasa kwenye usafi
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct 3 месяца назад
kwa nje kweli.....Ndani ni nyingine kabisa
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 3 месяца назад
Huku ndo kuzuri sasa hakuna wapiga debe😂😂
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 3 месяца назад
Sasa mbon tren haifiki tabora kilamara ni dar na dodom
@kautharjay5868
@kautharjay5868 3 месяца назад
haha Sasa uko Kuna reli ya umeme
@bangarocky8925
@bangarocky8925 3 месяца назад
nashauli treni ingeanzia moro saa 12 kwenda daa kwakua abilia wengi wanatoka moro asubuhi wanafata biashala jioni wanarudi moro
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 3 месяца назад
Hata kukuza miji na bashara viwanda kilimo bustani za matunda na vegetables
@MaghobaGeorge-lq4yg
@MaghobaGeorge-lq4yg 3 месяца назад
Dar dodoma lini?
@chumamasunga8855
@chumamasunga8855 3 месяца назад
Mwezi ujao
@danogeto78
@danogeto78 3 месяца назад
Hongela 😂😂😂😂 Majilaniii wetu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tleni lenu labeba mizigo??🇹🇿
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 3 месяца назад
Zipo trains maalumu kwa ajili ya mizigo
@zenamadulika3435
@zenamadulika3435 3 месяца назад
Ticket unapataje
@stevenmlingi9687
@stevenmlingi9687 3 месяца назад
muda gani kutoka dar to moro
@EliSimwela
@EliSimwela 3 месяца назад
Ni fahari kubwa kwa Watanzania wote
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 3 месяца назад
Naibu waziri ,capital na mtaji nini unaongea ?
@nzigeprofilelives6259
@nzigeprofilelives6259 3 месяца назад
Tunataka kuona utekerezaji na sio maneno mengi , baada ya miaka 5 shirika life
@omariKalyango
@omariKalyango 3 месяца назад
Majungu tu!ndoishakua ss kafe sasa
@nzigeprofilelives6259
@nzigeprofilelives6259 2 месяца назад
@@omariKalyango kama ujaielewa koment kama kimya na sio mambo ya majungu hapa kafee wewe sas
@paulgitau6055
@paulgitau6055 3 месяца назад
Treni ipo sasa, safari ya kulipa loan sasa imeanza.
@amanzuberi2138
@amanzuberi2138 3 месяца назад
Kwnin wahudum watren wasiwe wakiume pia
@eunicegerminus193
@eunicegerminus193 3 месяца назад
Dodoma bado
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 3 месяца назад
The camera ain't clear, plz make some adjustment
@AllyIssya-cy9yg
@AllyIssya-cy9yg 3 месяца назад
magufuli apewe maua yake
@sephaniangulo4035
@sephaniangulo4035 3 месяца назад
❤🇹🇿❤️🇹🇿❤️🇹🇿
@mcback4384
@mcback4384 3 месяца назад
Punguzeni upumbavu wa kuhoji muda wote officials tu, sasa wahoji wasafiri waseme wenyewe experience yao hao viongozi tumeshawasikia tumechoka
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 3 месяца назад
Hayo madirisha hayafunguki ,sa tuta nunuaje mahindi, nyanya ,miwa ??
@emmanuelmwambona3438
@emmanuelmwambona3438 3 месяца назад
😂😂
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct 3 месяца назад
kama unataka Mahindi nenda kwenye MGR....inaruhusiwa huku tunahitaji usafi....kulakula NO
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 3 месяца назад
@@UnitedAfrica-uw9ct wamesema hii ndo itachukua nafasi ya MGR
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct 3 месяца назад
@@nasibugunda7927 Hapana MGR inaendelea kama kawaida....na hata hii SGR zitakuwepo za madaraja tofauti
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 месяца назад
Hahahaaa😂😂😂
@EmmanuelSima-qz1gd
@EmmanuelSima-qz1gd 3 месяца назад
😂😂😂😂 yan siasa bhn et mayai 4 b, mbn sjawaona mje kuhesabu kwangu
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw 3 месяца назад
wamehesabu bwana ww ujaona tu😂😂
@jebace
@jebace 3 месяца назад
mark my word after 2 yrs the whole system is failed.
@kombidin..2583
@kombidin..2583 3 месяца назад
Only an idiot can mark your words
@Nick16697
@Nick16697 3 месяца назад
Yote hio? Hizo behewa kwanza zitachafuliwa humo ndani kila mahali
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 3 месяца назад
Dua la kuku hilo halimpati mwewe abadani
@giftmeela6250
@giftmeela6250 3 месяца назад
We ni mchawi nini?😅
@kautharjay5868
@kautharjay5868 3 месяца назад
utaki maendeleo unawivu
@kisutabora5914
@kisutabora5914 3 месяца назад
Online booking haifanyi kazi…
@fredducaunt
@fredducaunt 3 месяца назад
😂😂 shida Tanzania hakuna value ya aesthetics (muonekano) Kwahiyo soon hizi treni zitachakaa kama mabasi ya mwendokasi Watanzania tunadamu ya kiafrika ...If it goes its good...😂😂 Hatujali mwonekano wake Na pia hatuna uwezo wa kukimaintain kwa hiyo kitu tutakitumia mpaka kiishilie😂😂
@kautharjay5868
@kautharjay5868 3 месяца назад
haha ukinunua kitu kinakaa vile vile?? labda Kama unamazoea ya kubadikisha kila baada ya mienzi 6 lakini hakuna nchi kitu kikae mda mrefu kisibadili muonekani huo ni uongo
@alphaxad7755
@alphaxad7755 3 месяца назад
Umeongea vizuri Sana mwelimishe mshamba huyo mbwa​@@kautharjay5868
Далее
У КОТЯТ ОТКРЫЛИСЬ ГЛАЗКИ#cat
00:26
У КОТЕНКА ПРОБЛЕМА?#cat
00:18
Просмотров 745 тыс.
Living life on the edge 😳 #wrc
00:17
Просмотров 3,5 млн
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 4,6 млн
Steam to Mombasa - English • Great Railways
49:17
Просмотров 327 тыс.