Тёмный

MBARAWA : ZAIDI YA ABIRIA 40 ELFU HADI SASA WAMETUMIA TRENI YA SGR 

TRC RELI TV
Подписаться 78 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

KARIBU TUKUHUDUMIE

Опубликовано:

 

2 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 26   
@DeogratiasMadaraka-b9v
@DeogratiasMadaraka-b9v День назад
Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 2 дня назад
Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa
@kwisa4899
@kwisa4899 2 дня назад
Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?
@HASASON
@HASASON 2 дня назад
Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 День назад
Moro kuzuri mazingira mazuri
@babajay3445
@babajay3445 2 дня назад
Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana
@kwisa4899
@kwisa4899 2 дня назад
Hizi sit bila cover st tutalaumiana
@bonaventuralupogo2149
@bonaventuralupogo2149 2 дня назад
kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine
@akidamakida6092
@akidamakida6092 2 дня назад
Just imagine.. I really dont understand!!
@HASASON
@HASASON 2 дня назад
Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 День назад
Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 2 дня назад
Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 дня назад
Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu
@babajay3445
@babajay3445 2 дня назад
Safi sana
@MarryCharles-rc6ei
@MarryCharles-rc6ei 17 минут назад
Soon tutasikia kapewa mwekezaji
@magorymara5515
@magorymara5515 2 дня назад
Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika
@amirisaid6341
@amirisaid6341 День назад
Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?
@Ambagaye
@Ambagaye День назад
Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii
@amirisaid6341
@amirisaid6341 День назад
@@Ambagaye 👍
@musicschool_tz7014
@musicschool_tz7014 9 часов назад
ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 2 дня назад
Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli
@NDEWARA
@NDEWARA 2 дня назад
Pole 😅
@lifeonearth94
@lifeonearth94 2 дня назад
Magu alikuwa na maono sana
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 дня назад
Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga
@eddechriss2664
@eddechriss2664 2 дня назад
Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa
@ShabaiSadick
@ShabaiSadick 2 дня назад
Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?
Далее
Макс Пэйн - ТРЕШ ОБЗОР на фильм
47:02
PRINCE DUBE NI MWANANCHI/TAZAMA UTAMBULISHO WAKE HAPA.
1:28
JIONEE STESHENI YA TRENI YA KISASA ILIYOPO MOROGORO
7:11