Тёмный

HII MUPYA! MAHARUSI WAMEKUTANA INSTAGRAM, HAWAJAWAHI KUONANA , MAREKANI NA TANZANIA. 

Mc Gara B
Подписаться 336 тыс.
Просмотров 261 тыс.
50% 1

Baada ya kua na urafiki kwa miaka 11 na mahusiano ya mapenzi kwa miaka mitatu yote hiyo bila kuonana Bw akiwa Marekani bibie Tanzanian. Hatimae Macrey na Doroth waoana baada ya kukutana face to face for only two weeks .....
TUMERUDI RU-vid RASMI. Poleni sana kwa kutumiss..
Tell friends to Subscribe, Share and Comment
‪@Mcgarab‬

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 406   
@fatumasidi3372
@fatumasidi3372 3 года назад
Its so amazing, i share the same love-marriage story. Met my lovely wife on facebook june 18th 2018.. akiwa Tanzania mm nikiwa Qatar, miezi 9 baadae ambayo ni feb 16 2019 nikaja Tz kila kitu kilikua tayari ndio tulifunga ndoa. Hapa hatujawahi kuonana kwanza mm mkenya na mke wangu mtanzania. Tunapendana sana na Mwenyezi Mungu katujaalia na mtoto 1 sasa. With true love, its possible. Hongereni sana
@rajabumbendenga5480
@rajabumbendenga5480 3 года назад
Fatuma nae anaoa c MAAJABU
@dottokillangi7184
@dottokillangi7184 3 года назад
Hongera Mungu hukutanisha popote don't worry Hiyo no yesu beautiful couples
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 года назад
Hongera
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
Bwana Fatuma aka Mr Fatuma nawatakieni kila la heri na Mrs Fatuma
@harrietsutta2568
@harrietsutta2568 3 года назад
Hongera sana mdogo wangu Dorothy. You have been a good child I have seen you growing up tukiwa shuleni. You have been cool all the way with that beauty that has never faded. Well behaved. Nakutakia heri na baraka tele. Make the man happy... treat him like a king he will make you his queen as you build your castle. Happy marriage life
@haroldmerei1830
@haroldmerei1830 3 года назад
If you don't have anything good to say to the couple it is a good idea unyamaze. Very nice looking couple, beautiful wedding ceremony, acheni wivu!
@dibabatv5761
@dibabatv5761 3 года назад
Umeongea sahihi Sana,watakie mema watu wafanikiwe, acheni kukosoa kosoa watu wanependana, hatuwez zaliwa sawa
@gloryfrankie1743
@gloryfrankie1743 3 года назад
Yes this is very true
@zulfahamidu5348
@zulfahamidu5348 3 года назад
@@dibabatv5761 you can p
@nsiaelieza9568
@nsiaelieza9568 3 года назад
Msuwakosoe maarusi Mungu amewakutanisha. Jifunzeni kuacha wivu.
@moshikilimanjaro5660
@moshikilimanjaro5660 3 года назад
Glory be to God, I wishing you all the best ,Mungu awalinde, na kuwatunza,,na kuwafanikisha katika maisha yenu ya ndoa.
@nashymbaty1119
@nashymbaty1119 3 года назад
😃😃😃kwani Mahusiano yenyew yanasemaje 🙌🙌 ila everything is possible when yu trust God
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 3 месяца назад
Mmh niseme ya moyoni bwana na bi kharusi wameendana wamefanana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@neemaneema9969
@neemaneema9969 2 года назад
Nimempenda Bibi harus hajaweka minywele ya bandia Kichwani, na mie cku Mungu akinijalia nikapata Mume! Cku ya harusi ctaweka nywele za bandia kichwani
@treasureforashes3497
@treasureforashes3497 2 года назад
Hamna ubaya na weaves,kila mtu na style yake,haimaniishi ya wengine mbaya,
@MadinaAhmed-u9z
@MadinaAhmed-u9z 11 дней назад
Utampata
@sumaaramson5903
@sumaaramson5903 3 года назад
Nlipata mume Facebook sasa tuna miaka 8 kwa ndoa na watoto wa3 na tuna Amani na maelewano kabisa tena nchi tofauti
@innocentcleophace8583
@innocentcleophace8583 3 года назад
Nawapongeza saana MUNGU babaa awajaliee daima
@bobwhite9252
@bobwhite9252 3 года назад
Dada wa kidimbwi huyu..mjanja kuliko jamaa..ila hongera sana..kizungu zaid
@julianamuga389
@julianamuga389 3 года назад
Nmegundua kitu😅😅😅😅Bibi kachachuka bwana mpole Then bwana mcha Mungu haswa apo kwa kidawa !?!?!so watasaidiana kuchange all the best
@magrethmassawe5911
@magrethmassawe5911 3 года назад
Hahahaha mchachuajii
@fatumamdagano4318
@fatumamdagano4318 Год назад
We mungu nisaidie nami nipate mime kama huyu
@pillykinabo8722
@pillykinabo8722 3 года назад
Mungu aibariki ndoa yenu. Naimani mtafurahia maisha yenu mpaka mtakapo zikana. Roho mtakatifu humuongoza mtu sehemu sahihi. Mungu akubariki sana kaka kwa kumsikiliza roho mtakatifu. Amina.👨‍👩‍👧‍👦💖
@habibatyntosso1436
@habibatyntosso1436 3 года назад
Mimi pia nimeolewa kupitia tu mitandao sijawah kuonana nae nimemjua mme wangu siku tunafunga ndoa yaan ni nzur usiogope kila kitu mungu ndy anajua tumuachie
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 года назад
Aswaaaah best ww kma mie tuuuh
@habibatyntosso1436
@habibatyntosso1436 3 года назад
Safi dear ukimtanguliza mungu hakuna kitakachoshindikana kwasabbu mungu ndy anatupangia kila kitu
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 года назад
@@habibatyntosso1436 Amina 🙏
@duhrurhhddhheud8575
@duhrurhhddhheud8575 3 года назад
Bora unatupa moyo
@habibatyntosso1436
@habibatyntosso1436 3 года назад
@@duhrurhhddhheud8575 yaah
@masoudsalum9514
@masoudsalum9514 3 года назад
Huyu mwanamke nahisi sio poa kama mcharuko kuliko mwanaume hapa
@rehemanditu686
@rehemanditu686 3 года назад
Umeona ee
@masoudsalum9514
@masoudsalum9514 3 года назад
@@rehemanditu686 Anakimuye muye kweli
@mariamkiharo6345
@mariamkiharo6345 3 года назад
@@masoudsalum9514 🤣🤣
@liliankiondo4457
@liliankiondo4457 3 года назад
Kweli Yani si kwa kihereher.amepata Kaka mstaarabu ajifunze toka kwake na atulie
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 года назад
Kabs 🤣
@BeatriceNyato
@BeatriceNyato 6 месяцев назад
Ni nzuriii nimeipenda naomb nam nipate
@azashaban5846
@azashaban5846 3 года назад
mbona kama ana sura yakike hongerani sana mnapendexan
@greennourish58
@greennourish58 3 года назад
The same thing happened to me, met the love of my life online in 2019
@jasmine.mayala7597
@jasmine.mayala7597 3 года назад
😂😂😂😂😃🤣🤣🤣jaman km mie mume wangu alilosea number nakupiga kwngu ndipo tukafamihana humo
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 3 года назад
Weeee
@amukoamercy1172
@amukoamercy1172 3 года назад
Hapo pa roho mtakatifu Holy spirit show me my husband too.
@kirumscalone3975
@kirumscalone3975 3 года назад
Kazi ya Mungu haina makosa,mbarikiwe kwa ndoa yenu.
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 года назад
Wale wanawake wote mnaotukana wanaume wakija fb au mesenja ndoa mtaisikia kwa wenzenu tuuuuh upooo 👌 mwenzenu nami nimepata stara fb 😂😜😜🙈
@prettyh7509
@prettyh7509 3 года назад
😅😅weeee
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 года назад
@@prettyh7509 🤔🤔
@محمداحمد-ج9ل5ر
@محمداحمد-ج9ل5ر 3 года назад
😆😆😆😆
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 года назад
Hongera kwako
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 года назад
@@m.mmarckus6298 asante my
@MauaMwaka
@MauaMwaka 3 года назад
God bless your marriage
@vero57
@vero57 3 года назад
Hongera sana,lakini mbona bwana harusi mpole sana
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 3 года назад
Ameish marekan
@IreneHatibu
@IreneHatibu 3 месяца назад
Mpole wa juu mkali wa chini😂
@luielias2400
@luielias2400 3 года назад
Ayeeee na ni mupyaa kweli kwelii🤩🤩nzuri mnoo👌
@rehemasam6946
@rehemasam6946 3 года назад
Hongera sana Dorothy usiache kuingana na mume wako katika maombi
@jnjtraders7274
@jnjtraders7274 2 года назад
Jaman nataman kuolewa wananipa wivu daah,Bwana Yesu ahsante na meme yangu itafika.
@zuu7130
@zuu7130 3 года назад
Umepatikana kaka kwauyo mke
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 3 года назад
Kwa nn
@samirasaid9204
@samirasaid9204 3 года назад
Nilicho gundua kuna watu wana roho ya kwa nini kila kitu anapanga mwenyenzimung acheni wivu😏😏
@nainaiblack6736
@nainaiblack6736 3 года назад
Kbsaaa kipenz
@betydalaurent6485
@betydalaurent6485 3 года назад
Waooh it's so amazing jmni,,God is great.😍 Mc hujawahi kufail
@rachellaiza7779
@rachellaiza7779 3 года назад
Bibi harusi upo vzuri huna mambo mengi na umependeza sana
@emmanuelmrisho8676
@emmanuelmrisho8676 3 года назад
Nyimbo waloingilia ukumbini hawa inaitwaje na kaimba nani please
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 года назад
Nimempenda bi harus kavaa simple mno
@janiphabukuku1023
@janiphabukuku1023 3 года назад
Kapendeza san
@raphaelmagayane4733
@raphaelmagayane4733 2 года назад
It's a matter of prayers and God will do the rest. be blessed Guys
@elizabethmwambopo9505
@elizabethmwambopo9505 3 года назад
That is True Love congratulation❤❤❤❤
@azizayassin3623
@azizayassin3623 3 года назад
Kila la kheri comments nyingi mnasema mwanamke mcharuku wivu tu watu hupendana sio wngine huishia kuonywa kama mboga
@matundumgweno4533
@matundumgweno4533 3 года назад
Hahahaah kuonywa kama mboga
@azizayassin3623
@azizayassin3623 3 года назад
@@matundumgweno4533 kabsa mtoto wa shangazi 😄😄😄😄🤠💯
@GladnessIsaya
@GladnessIsaya 3 месяца назад
We unayesema cjui bwana harusi lastborn mara kama siyo rizki ndo nini
@milliamkiwire2852
@milliamkiwire2852 3 года назад
God's plan are always real 🙏🙏🙏❣️
@rehemarehema1445
@rehemarehema1445 3 года назад
Mwanamke hamna kitu jmn mpaka naona aibu kama nipo karibu vile
@rehemakaberege8119
@rehemakaberege8119 3 года назад
Hongera nyingi kwenu mpendanao wote
@gomesamakota3294
@gomesamakota3294 3 года назад
Rey vp tena
@gomesamakota3294
@gomesamakota3294 3 года назад
Rey vp tena
@cosmasvicta658
@cosmasvicta658 3 года назад
How did you know what she is right person?, did you deeply investigate her much???.
@fabianlucas3594
@fabianlucas3594 3 года назад
Mc uko vizuri Hawa wanandoa wakaishi vyemaaa
@elishamwakigali1232
@elishamwakigali1232 Год назад
Bro una talent kinoumaaa
@paschallukanya5889
@paschallukanya5889 3 года назад
Nguvu ya pesa hiyo
@novakauki5560
@novakauki5560 3 года назад
Mwanamke mdangaji sana uyo
@enockmaige8936
@enockmaige8936 4 месяца назад
Mh vipi kuhusu w
@annanyoni1981
@annanyoni1981 3 года назад
Mbona comment zimejaa za kiinglishi tu😂 kwani wenzangu namimi wabuza kwa lulenge hatupo
@neemamogola8673
@neemamogola8673 3 года назад
Hahahahahaha
@amanijosiah5205
@amanijosiah5205 3 года назад
Mwanamke hamna kitu hapo mcharuko balaaa
@joycemachibya4380
@joycemachibya4380 3 года назад
So fantastic 😍😍😍
@ubarikiweulipo6969
@ubarikiweulipo6969 3 года назад
Subiri muendelezo na mwisho wa hiyo ndoa ndo nitakuja cu comment apa napita tu
@omanabcd9249
@omanabcd9249 3 года назад
Mke hakuna
@ziongodfirst1868
@ziongodfirst1868 3 года назад
Haki huyo dada kwa mwonekano tu labda tuone wataishia wapi ngoja ninyamaze
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 года назад
Nilikutana na mwanaume fulani fb 2013, leo imebaki kuwa story! Alianza na ‘mlipie mwanangu ada, sina nauli’, mama yake naye, walipie ada wajukuu wangu (watoto za binti zake), sina chakula, nataka nauli, nina jambo fulani mkoani!’ Niliwa block wote
@asmahamis4658
@asmahamis4658 3 года назад
🤣🤣🤣
@monyshaali181
@monyshaali181 3 года назад
😂😂😂ntakua single forever
@shangwehubert5838
@shangwehubert5838 3 года назад
Ungetoa tu peaa makaratasi
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 года назад
@@shangwehubert5838, yaani nilishe familia kabla pete? Nitumie tigo kwa vile pesa ni makaratasi 😂
@المهلهلالحراصي
@المهلهلالحراصي 3 года назад
Hahahahahaha khaaa
@sarasereki7526
@sarasereki7526 3 года назад
Yes
@vasilistasamson5245
@vasilistasamson5245 3 года назад
Cheese huyu mwanamke mungu saidia
@swagger7053
@swagger7053 3 года назад
Glory to god
@powerlifeayurvedicclinicsirare
@powerlifeayurvedicclinicsirare 3 года назад
GOD IS GOOD
@winfridanambole1341
@winfridanambole1341 3 года назад
Jamn na mm mungu si anioneshe the right person 😢😢
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 года назад
You want the right person that's my contact +27848885287
@winfridanambole1341
@winfridanambole1341 3 года назад
@@nyamangaking6608 😂😂😂
@winfridanambole1341
@winfridanambole1341 3 года назад
@@nyamangaking6608 nitajuaje km ni right person
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 года назад
Omba Mungu atakwambia lakini najua kila aliyeokoka kweli kweli is a right person
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 года назад
Let's talk in box +27848885287 but we must have enough time to know each other
@josephinemnyindo39
@josephinemnyindo39 3 года назад
Hii nayo mupya!!!
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 3 года назад
Distance is not a barrier
@annadamian4178
@annadamian4178 3 года назад
Mkaka mpole ❣️
@gomesamakota3294
@gomesamakota3294 3 года назад
Yes
@jonathanntare4787
@jonathanntare4787 3 года назад
Mwanamke anaonekana kama Govinda vile hapa ndgu wa Mme mmepatikana.
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 3 года назад
Kvp tena
@estherponda790
@estherponda790 3 года назад
Maana yake hiyo ya kwamba nikama guy ninini?sielewi
@emanuelgavile3856
@emanuelgavile3856 3 года назад
Dada mjuajii
@doricesamwel7785
@doricesamwel7785 2 года назад
Inapendeza
@marryciousben3803
@marryciousben3803 3 года назад
Uyu mwanamke anaonekana wamoto kwer alafu kinajishauwa kumshika shika mwanaume iyo kwiyo
@farajachengula9227
@farajachengula9227 3 года назад
Kbs ani kanabwebwe
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 года назад
Wamependeza sana
@elizabethzuchu7306
@elizabethzuchu7306 3 года назад
Wanapendeza
@jaclinedaniely2563
@jaclinedaniely2563 3 года назад
Very nice
@saralusinde53
@saralusinde53 3 года назад
mbona kama mwanamke ana kitete kuolewa na kaka wa marekani
@neleakilanga3834
@neleakilanga3834 3 года назад
😂😂😂
@alikutenga3303
@alikutenga3303 3 года назад
Yote furaha hiyo.. Sasahv hao waowaji walivyokuwa hawapo unafanya mchezo nn?.
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 года назад
Waowaji wenyewe hakuna siku hizi hata ningekuwa mimi ningechangamka balaaa
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 3 года назад
@@alikutenga3303 😁😁😁😁😁
@DM_15
@DM_15 3 года назад
Huyu mwanamke ana mawengeflan just msikilize vzr nikama jamaa kaokota zagabov
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 3 года назад
😅😅😅
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 3 года назад
Eti ZAGABOVU
@DM_15
@DM_15 3 года назад
@@user-ot2io4cy6w sindio mawengeflani iv mcharuko mcharuko iv yaki istergram flani
@fatmamajid7613
@fatmamajid7613 3 года назад
Yes sir
@esthermoraa6648
@esthermoraa6648 3 года назад
This is what we call trust,
@swagger7053
@swagger7053 3 года назад
Mmmh ni atr
@florencekashaija7539
@florencekashaija7539 3 года назад
Kwamba Bibie ndiye wa kutoka mamtoni.
@josephemmanuel3175
@josephemmanuel3175 3 года назад
Mbona mwamba hayupo concrete maana Kuna wakurungwa wa buza kwa lulenge na mzee mparange wanamtazama tu
@swalecomedian1340
@swalecomedian1340 3 года назад
Hahaaaa
@sarapaulo4718
@sarapaulo4718 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
Unataka awaje
@mfumbuzionlinetv
@mfumbuzionlinetv 3 года назад
☺️☺️☺️ nzuri
@samiramawby8252
@samiramawby8252 3 года назад
Bibi harusi mcharuko yaweza kuwa karoga huyu siyo roho mtakatifu ni roho mtakakitu looo cyo kwa mcharuko huo
@dasilvajacmwax7436
@dasilvajacmwax7436 3 года назад
samira samira samira😂😂😂
@johanesbina1302
@johanesbina1302 3 года назад
Duuuh mmmmh haki alikuwa hanyandui wazungu
@rechoevarist9103
@rechoevarist9103 3 года назад
Mwanamke anashughulika
@franciscanamkuru6185
@franciscanamkuru6185 3 года назад
Hongera
@susanlazaro8323
@susanlazaro8323 3 года назад
Nilichogundua hawa Wote ni Mademu nadhani Wakubwa Mmenielewa 😂😂😂😂😂😂😂
@pelesmwaipopo4382
@pelesmwaipopo4382 3 года назад
😁😁😁
@nainaiblack6736
@nainaiblack6736 3 года назад
Ha ha ha ha
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
Acheni mapepo shetani ninyi
@aishamtuli8926
@aishamtuli8926 3 года назад
Hapa kaashwa mtoto m2
@kweka14l35
@kweka14l35 3 года назад
True Love still Exist 💓💓💓 Love bird's 👍🎉
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 3 года назад
Natamanii nami iwe like
@lidyasamwel4228
@lidyasamwel4228 3 года назад
Welcm to me
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 3 года назад
Heeh!
@gomesamakota3294
@gomesamakota3294 3 года назад
Npo If u like my dear
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
Njoo kwangu bibie
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 3 года назад
@@nilansaid2927 thanks
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 3 года назад
Mdada anajishaua weee😂😂😂😂😂😂
@azizayassin3623
@azizayassin3623 3 года назад
🤣🤣🤣adi raha
@dibabatv5761
@dibabatv5761 3 года назад
Acha afurahie, wengi wametamani hawakufanikiwa
@doreenbae866
@doreenbae866 3 года назад
😂😂😂
@wotewote1086
@wotewote1086 3 года назад
I need that roho mtakatifu to tell my future wife
@agnesslulyali1549
@agnesslulyali1549 2 года назад
She is here😅lol
@massongatzerick
@massongatzerick 3 года назад
Gara B kama Gara B,congrats
@merisianapius4663
@merisianapius4663 3 года назад
Nzur
@catherinemwakalinga6503
@catherinemwakalinga6503 3 года назад
Wow congrats Doroth
@queenmilan2024
@queenmilan2024 3 года назад
Mwanamke mapepe
@zuu7130
@zuu7130 3 года назад
Nimependa
@agripinajoseph5968
@agripinajoseph5968 3 года назад
Na mm kuanzia leo ntakuwa nsjibu sms za dm isikute nitapata mme
@biusikipingu7196
@biusikipingu7196 3 года назад
Hahahahah
@apollotee1929
@apollotee1929 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 года назад
Waume tupo mbona,tunahitaji wanawake makini tu sio mawenge
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 года назад
Mimi nahitaji mke.plz that's my contacts mahari yangu awe ameokoka,and aslo she must be beautifully in all.ninamanisha mrembo sio tu mke
@nyamangaking6608
@nyamangaking6608 3 года назад
My contacts +27848885287looking for wife
@MariamHassan-j3k
@MariamHassan-j3k 10 месяцев назад
😍😍😍😍😍😍😍🤩👌👌👌
@rozirobat5448
@rozirobat5448 3 года назад
Saluni
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 3 года назад
Hongeren
@hadijamwanana2471
@hadijamwanana2471 3 года назад
Mwanamke naona Kama mwizi mh ngoja tuone maana anavomshika kiwizi wizi
@joevang4685
@joevang4685 3 года назад
hamna ndoa hapo. anaibiwa huyo
@yakobolusasu1821
@yakobolusasu1821 3 года назад
🤣🤣🤣🙆🙆
@deelissa2746
@deelissa2746 3 года назад
Hata Sina mpango wa kuolewa na jini mim😂
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ceciliagsaguti1595
@ceciliagsaguti1595 3 года назад
Waoooh so nice
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 года назад
Namm natafuta mume atakaye nipenda km nilivyo pindi atakapojua maisha yangu.namm nitampenda pia
@rogermomodesty3568
@rogermomodesty3568 3 года назад
Karibu kwangu
@LisaLisa-wd8oy
@LisaLisa-wd8oy 3 года назад
@@rogermomodesty3568 🤣🤣🤣🤣
@dicksonmwezi3136
@dicksonmwezi3136 3 года назад
Unasema kweli
@rogermomodesty3568
@rogermomodesty3568 3 года назад
@@LisaLisa-wd8oy Mambo
@LisaLisa-wd8oy
@LisaLisa-wd8oy 3 года назад
@@rogermomodesty3568 safi
@betyngole3368
@betyngole3368 3 года назад
Hatwaar
@tumainirkyando8128
@tumainirkyando8128 3 года назад
Mh ! Huyu make wa Instagram anaonekana mcharuko
@psj1564
@psj1564 3 года назад
Kaka kua makini uyo mdada anaonekana mjanjamjanja
@doreenbae866
@doreenbae866 3 года назад
Kabisa😂😂kumbe umeona
@clospercleophace2668
@clospercleophace2668 3 года назад
Mc nimekuelewa
@faridahmutola5778
@faridahmutola5778 3 года назад
Beautiful ❣️❣️
@dottosembo9236
@dottosembo9236 3 года назад
Wooo💕
Далее
When Khabib dropped Conor McGregor 👀 #nocommentary
00:59
KILA WIKI NGOMANI
11:03
Просмотров 703 тыс.
DADA WA KAZI MFANO WA KUIGWA
8:48
Просмотров 192 тыс.
When Khabib dropped Conor McGregor 👀 #nocommentary
00:59