Mwenyezi Mungu amrehemu Ustadh Mohammad Al-Beidh ! Aalim al-allama. Wallahi tuwa ku miss sana! Allah ampe afya ndugu yetu Ali Faza azidi kututoa taka mashkioni!
NAWASHAURI MASUFI WAACHE KIBRI,HIZI CLIP ZA MAREHEMU ZINA HALI MBAYA SANA,HAIFAI,ACHENI KUZIRUSHA ZINAMZIDISHA SHARIFF WENU MATATIZO HUKO ALIPO,MAANA NI ZA KUWAPOTEZA WATU!!
@@ramadhanomar8093 ww ni mnafik na mtume s a w alisema kutakuja watu wakiwatusi wanazuoni mtume s a w amesema kweli moja wao ni ww subiri siku yakiyama mbele ya Allah utoe ushahidi urongo wa huyu mwanachuoni ni nn
@@ramadhanomar8093 utajua ww siku yakiyama mbele ya Allah ni mwanachuoni gani ww na shekhe lako na alie mfundisha sheke lako ilimu hamfikii huyu mzee ww humjui ni chuki tu ilimu aliyo nayo sahi sijaona ila ww ni wale mtume s a w aliwatabiri kutakuja watu wakiwatusi wanazuoni wake moja ni ww na insha Allah utafedheka tu nyama ya wanazuoni ni sumu
Sijawahi kumuona hasidi anae husudu walioko makaburini kama wewe ! subhana llah mbona wajipa kazi ambayo sio yako ama umekua mungu ? Kwanza ungesema mababa zako na mababu zako wana hali gani makaburini kisha ndio useme wengi lakini wewe hujui hata lolote kwa walio tangulia katika wazee wako lakini ajabu wajua ya wenzio
جاهل الأشياء أعمى حيث يدور Mjinga wa mambo ni kipofu hajui Aendapo sasa wewe Waona n kwli anao yasema huyu Sufi mkubwa.. haya si angetaja huyu alie sema ana shaka na mungu kuwa ana tupu
TAWEED YA ALLAH ANA MKONO NDIYO TAWEED ALIYOFUNDISHA رسول الله صلى الله عليه وسلم ALLAH YUPO JUU KENYE ARSHI YAKE NDIYO TAWEED ALIYOFUNDISHA رسول الله صلى الله NA MASWABA WAKE PIA,KESHA AIMMATUL ULAMAA WA AHLU SUNA WALJAMAA,NDIYO TAWED YAO. INACHULUKULIWA KENYE QUR"AN NA SUNNAH ZA MTUME, KESHA NYIE MASUFI MKAOTA KUTOKA KWA MAKAFIRI WA KISHIA TAWEED YA KUKATAA SIFA ZAKE ALLAH ,KAMA ALIVYOJISIFIA KENYE QUR"AN NA HADITH ACHA KUWADANGANYA WAUMINI MISIKINI HAWANA UJUZI WA DINI YAO!! ALLAH AWAONGOZE WAIJUE HAKKI
Alikua afaa ataje references ya hayo anayoyasema, ili tuweze kuenda kusoma wenyewe. Lakini kusema hivi hivi bila kutaja yamesemwa wapi hayo maneno ni makosa na hatuezi kuyaamini maneno yake
Wewe kwa kweli hata huelewi usemacho sasa wewe ukiamini au usipo amini ndio itakua nini nendeni mukasome mawahabi masugu shida yenu ni elimu hamuna na kusoma hamutaki sasa shekhe akieleza utumbo ulio ndani ya vitabu vyenu munaanza kukataa na hamuthibitishi kua maneno hayo hamna kumbe tatizo mumetanguliza matusi mbele na mukaacha elimu nyuma
fungua kitabu cha ibnul qayyim IJTIMAI JUYUWSHUL MUSLIMIYN UTAPATA HAYO ANAYOYASEMA USTADH MUHAMMAD AL BIEDH ACHA KUONGEA KAMA KADUKU UKWELI NI MUNAFICHWA NA MASHEKHE ZENU HEBU SOMA KWANZA UCHAMBUE VITABU VYENU HALAFU FUNGUA DOMO LAKO
Acheni kufuru ninyi mawahab mayahud et kisa yahudiy mkuu huyo Ibnu Taimiyyah mnaemwabudu kasoma Wapi walimu wake akinani et oo kasomeshwa nawezeewe ikisha yahapo kendawap Israel someni vzur kaenda Israel kufanyaj ndokurudi tayr anaaqiidah ya kiyahud na kinaswara tawheed tatu siutatu huo tyar naa Allaah asemaj
@@Zuwenamachela kwa hiyo Huyu Teimiyya kumbe alikuwa yahudi? Sio muislamu? Mimi nasikia tu akitajwa sijajua alikuwa ni mtu wa aina gani, ila anatajwa sana na mawahabi kumbe yahudi haswa! 😂😂😂😂 sasa nani amuita mwenzake kafiri? Sisi ama wao?! 😅😅😅😅 ndio maana nina shaka sana na usufi wetu kaka mpaka naanza kufuatilia makini naona kama hatuna inswaaf, ni bandika uongo watu waamini.
wasomesheniwatu dini msieneze chuki naujinga Allah anasefa amejisifia lazima zielezwe kama alivojisifia au mtuambie kama mmejiunga na majahmia wanaozikataa sifaza Allah nakuleta ta awili
Wallah huyu mzee alikuwa muongo hana haya na anahiyana sana wallah achane kueneza maovu yake wallah haridhiii na anjuta juu ya uongo wake huko aliko mungu amsamehe
@@shabaniissa3464 wewe hukusoma na huna elimu ya dini yakujua haki na batil sasa umejuaje kama albidh kadanganya? Labda wewe ndio wadanganya kwa kumzulia shekhe uongo wakati maneno ya shekhe yapo vitabuni ukosefu wenu wa kusoma ndio ndio natija yake ni hayo matusi mulionayo komekeni
hana uwongo wowote ila munsfichwa na mashekhe zenu fungua kitabu cha ibnul qayyim mwanafunzi wa ibnu ttaymiyah kitabu ijtimaai juyuwshul muslimiyn utapata hayo anayoyasema ustadh acha kuropoka bila ya uchambuzi wa vitabu vyenu
Sasa uwongo uko wapi hapo? Kayasema aliyeyakuta kwenye vitabu vya wanachuoni, na athari za uzushi kwenye ibada ya hija ambazo wakati Wa mtume hayakuwepo. Kwa mfano kutupa vijiwe sehemu tatu; juu, kati na chini, wakati wa mtume ilifanyika hivyo au kaagiza ifanyike hivyo? Si nao in uzushi vilevle?
Sheikh usiw mjuaji sana wacho mambo ya ikh'tilafu usiongeze ikh'tilafu nan yp sahihi mungu ndio ajuae na yy ndio anasema atatuhukumu kwa yle tunayoikh'talifiana
@al-furqan3639 akhy mimi ni mwezenu lakini ilikuwa naomba kujua kitabu walichosema mawahabi Mungu Baba na Mwana na Roho Mtakatifu, maana hawa ni makafiri basi na ni wakristo haswa, lakini nataka kuwa muadilifu nao!!! Sio niseme niaibike nikiulizwa wapi kimyaa sina la kusema, maana nishapatikana sana na yote niliyosema nikaona ni uongo, sasa hili naomba reference ili nisiaibike. Shukran kaka.
Ushasema Ibnu Taimiyyah ndiyo aliyoleta Tauheed Tatu sasa Mawahabi wahusika vipi??? Ibnu Taimiyah Rahimahullah alikuwepo kitambo kabla ya Muhammad ibnu Abdul-wahab sasa hao muwaitao Mawahabi wamenukuu kutoka Kwa Ibnu Taimiyah sio kwa Muhammad ibnu Abdul-wahab.Ama kweli Chuki zimewazidi.Alafu nyinyi Makhurafi husema kuweni na Adabu na Wanazuoni mbona Shekhe lenu yuwayakejeli maneno ya Ibnu Taimiyah??? Kuweni na Inswaf.Allah nimuweza wa Kila kitu kwani hawezi kukaa kwenye Ubawa wa Mbu??? Yamesadiki maneno ya Imam Shafii Rahimahullah pale aliposema: لو أنّ رجلا تصوف من أول النهار لم يأتي عليه الظهر إلاّ وجدته أحمق
@@Nedjadist Urongo wake HUYU Mzee ni kuwa amezulia Ahlu sunnah Urongo. Kama ni kweli toeni reference. Ni kitabu gani. Hayo yote ni kinyume na Ahlu sunnah wanavyo itakidi. HUU NI URONGO WA WAZI.
@@JabirBakar-ys8dw Taja kitabu kimoja chetu Ahlu sunnah kinachosema hivyo. Sisi twaenda na Qur'an na hadith kwa ufahamu wa wema waliotangulia. Na Sheikh yeyote akienda kinyume twamkhalif. Hata UWE NI sheikh na elmu kuoita kiyasi. Mumezoea kuchafu watu. Allaah amsamehe huyu Mzee kwa madhambi endelezi aliyoyacha. Msiba mkubwa.
Fanyeni heshima na mwanachuoni wawatu someni vitabu vya kiwahabi mutaona hiyo tawheed tatu ya mungu baba mwana na roho mtakatifu na Mwenyeezi Mngu yuashuka mpaka mbingu ya saba na akaekewa kiti akae.
جاهل الأشياء أعمى لا يدري حيش يدور bc n nanyie muna miungu wa 5 mwasema لي خمسة أطفأ بهن نار جهنم ١ المصطفى ٢ والمرتضى ٣.٤ وابناهما ٥ وفاطمة kwa hio mungu hawatowaokoa na moto ispokua hao tuuuu wa tanu
mwanzo soma halafu hukumu hii ndio tatizo la masalafiy ikiwa ibnul qayyim mwanafunzi wa ibnu ttaymiyah kayanukuu maneno hayo katika kitabu ijtimaau juyuwshul muslimiyn ww ni nani unaropoka
kama na wewe unawafata hao jamaa tambua hiyo ndiyo Tawhid yao wanadai Mungu ana mkono ana macho ana miguu na kadhalika nenda kawaulize masheikh zao utajua hao ni watu wa sampuli gani?!
Ikiwa wewe ni khanithi basi usifikirie watu wengine pia ni makhanithi kama wewe nenda ukasome tawhid ya ibnu taimia ndio kisha useme kama kweli hakuna maneno hayo aloyasema shekhe lakini usitukane watu ukawa ni domo kaya kakwa
WE JIZEE MCHE MOLA WAKO,MNAJIITA MASHARIFF HUKU MWACHUKUWA KHUMSI KWA MASHIA,NA ITIKADI YENU NA AQIDA YENU PIA MMECHUKUWA KWA MASHIA, MANENO YAKO NI UWONGO MTUPU!!
Kwani wewe ndio unaemleta shekhe hiyo khumsi hadi ukasema hivo ? Basi yaonekana wewe ni mshia na kazi yako ni kuchukua hiyo khumsi kwa mashia au tubainishie albidh alikua akiipata vipi hiyo khumsi
Huyu Mzee Alikuwa ni Mnazi wa Madhehebu ya Kisufi Asiyejua Sunna sahihi za Mtume wetu (Swalla llahu alaihi wasalam ) Ila kwa kuwa ametangulia Mbele ya Haki Basi Allah Amsamehe Haya aliyoyaharibu
@@Dawah99 sawa nyinyi ndio mwatia watu motoni na peponi kazi ya Allah mumechukua nyinyi ok sawa wacha tuoni Allah sio dhalim kama ww kutukana wanazuoni
@@fikafikan8484 aah yeye huyu shekhe lenu akitukana salafiyyah na aqeedah ya masalafi na mashekhe wa kisalafi ni sawa kwenu, lakini majibu yakirudishwa kwake mnaumia. Kuweni waadilifu
Sidhani kama huyu mzee alikua na akili timamu kweli. Ila nashangaa na hawa wenye kumsikiliza nao wamekua na akili kama makondoo wa kanisa yani hawawezi hata kumuuliza Marejeo ya hizi porojo zake yapo ktk kitabu gani ili na wao wakajiridhishe ni msiba mkubwa! Twamuomba Allah amsamehe makosa yake.
Huyu hakupata wakti wa masalafy atasagwa sagwa mjinga mkubwa huyu, kadhaab na mjanja mjanja! Yani waliokaa chini yake maskini hawawezi kumwambia umepata waapi???!
Kama masalafi wenyewe ndio nyinyi wenye kumuabudu lucifer kisha mwaitakidi ni Allah na sunna yenu ni matusi basi afadhali mnyama kuliko mtu wa aina hiyo