HAKIKA ya ALLAH akuhifadhi na akulinde na akupe afya njema na akupe hitaji lako na akupe mwisho mwema na akuingize PEPONI Tena Firdausi Yani umefasili vyema wallah mieuku nimekosheka sana Tena mno
Tawhid ni moja tu kumpwekesha M.mungu hakuna sababu ya kuzungukazunguka wakati wa mtume hakukuwa na tauhid tatu mumetowa wapi mbona jibu lenye akili hutowi
Na mtihani utabakia kwa waislamu wasioijua Dini yao kwa uhakika balu wanakwenda kwa kuiga na kuzingatia walivyo waona wazee wao na mashekhe zao wakifanya na kuamini
Na la kigawanyo hicho Ni Sawa mbona hakufanya mtume sallallahu alaihi wa alihi wassallam? Mbona hakufanya maswahaba? Mbona hawakuyafanya watu wa qarne Bora,? لوكان خيرا لسبقونا إليه لوكان خيرا
Swali ninani alieigawanya hi tawhid mara 3?ni Mtume au Maswahaba? Mtume alishasemaga RUBUBIA,ASMAA WASIFAT,ULUHIA? Lete kitabu chenye kuonyesha Mtume ametamka hayo maneno.
Kwa ilmu hiyo mbona iko wazi kabisa kwamba haihusiani na trinity(utatu) wanao uabudia wakristo? Huyo Sheikh aliye uliza, kapata wapi na vipi cheo hicho?
Sasa Kwan shekh kajib swal gan apo si Ilo Ilo lavigawanyo na kachambua vizur na ajatumia akil yake ni Aya ya Quran ndio imegawanya sio yeye we unavyoona mgawanyo huo aliouweleza ALLAH apo kweny hiyo aya na mgawanyo wamanaswara ni sawa? Kama sio sawa yanin kuludie swal ambalo lishajibiwa
@@makameally1962 tawheed haijagawanywa mara tatu , ni imefanunuliwa zile njia ambazo unafaa kufanya tawheed , kusema kwamba yeye ni Muumba peke yake, hakuna wakuabudiwa Ile yeye na asiitwe mwengine kwa jina ama sifa ambazo ni zake yeye..... Haijagawanywa
Kwan shekh kachambua maneno yake au kachambua Aya ya Quran? ALLAH ndio aliesema yeye ndie rabbi na yeye ndie anaestahik kuabudiwa na majina yake yaliokuwa mazur Sasa ilikuwa haja gan Aya kueleza yote hayo siingeixhia tu kweny rabbi ssamaawat wal'ardhw wamaa baina hhumaa shekh hii din jaman tuache ushabik shekh kaichambua aya inavyosema
Wakristo wanaitakidi kwamba MUNGU BABA, MUNGU MWANA na MUNGU ROHO nikitu kimoja. Wenyewe hawasemi kwamba MUNGU ROHO ni Jibril hiyo ni tafsir yetu sisi waislamu. Wanasema wote hao nikitu kimoja japokuwa wamegawa sehemu 3.
Mungu baba, Mungu mwana na Roho mtakatifu vyote nikimoja. Wenyewe wanasema: HAPO MWANZO KULIKUWA*NENO*, NAYEYE *NENO* ALIKUWA KWA MUNGU, NA HUYO *NENO* NDO MUNGU.
Wapi hadith kaigawa tauhid au hata aya Allah kaigawanya hiyo tauhid shida mnadandia treni kwa mbele hamjui mwanzilishi wa hicho kitu kakusudia kitu gani.