kiswahili chako ni cha ndani chaki zamani namkumbuka nyanyangu maneno yake akitamka kama hivo mungu akuzishie tujue mengi coz shule tulifudishwe vegine kuhusu fortjesus
Haya makala yako Yanawachoma makafiri wanaokuja Hapa Kwa majina ya Brian Lawrence na David Sparks . Watu Hawa wanaona aibu ya majina Yao ya kiafrika na lakini Hapa wanaokuja Kama watetezi wa muafrika hii Ni ajabu ya hii mijitu.
Kusema kweli mm Tangu kuinukia kwangu nilimchukia marehemu Baba yako Kwa kusikia tetesi yeye ndio mwenye kuiza mwambao nasubiri makala yajayo ili tupate kujua ukweli no upi?
Nakuelewa sana ndugu yangu. Na, kwenye hilo la kumchukia Babangu, huko peke yako (muko wengi)! Hata hivyo, ni wajibu wangu kukushibisha kwa hujja na ushahidi kuwa hayo uliyoyasikia si kweli na nikuwezeshe kuiona 'kweli' kama ilivyo na kwa ushahidi wa kuaminika. Af'wan.
@Ibrahim Hussein washindana na ukweli unaojua...jibu unalo kama dada zenu wakienda uarabuni hivi Sasa wanatupwa kwa balcony jiulize wale wa enzi zile walifanywaje
@@brayo001 ndio nkakwambia utueleze huo ukweli uujuao wewe juu ya waarabu kuchukua watumwa. Usiropokwe like a mad man. Prepare your documentary and present it the way Shaikh Istanbul is doing. Ukweli utabaki ukweli ndio maana umeanza kukuuma.
Leo hii nenda bara arabu uone iwapo kuna mtu mweusi ana mamlaka serikalini kama ulaya na Amerika. Wazungu na waarabu walikuwa wageni walio endeleza utumwa iweje tuhuma unaelekeza upande mmoja....!!!!
Wewe Ni mpumbavu mwengine mwenye chuki za kijinga. Kila nchi ya kiarabu ina watu weusi . Royal family za nchi zote za kiarabu wamo watu weusi. Oman royal family wengine wao Ni weusi kushinda wewe. Royal ya Saudi Arabia Iko na watu weusi. Kuwait, Bahrain,UAE zote ziko na watu weusi katika jamii ya ufalme. Kwa hivyo Tafuta Jambo lengine useme. Poleni sana maana mutaumia sana Kwa historia ya Pwani.
@@prochesernest5439 Wewe Ni jaluo Aliekafiri. Wacha ukafiri Yeso Ni mtume wa mwenye ezi mungu. Wacha kuamini utatu 1+1+1 = 1 ? Haingii akilini hata kidogo .,🤣🤣🤣