Mama na baba wa mtume walikuwa ni waislam ambao wametokana na ukoo wa Ismail ambao ulienea katika mji wa Makkah ukifuatlia vzr sirah ndo utayaelewa vzr haya
Mashaallah sheikh taabu yao wanatafuta mabaya hiyo beti uliosoma nimzuri sana lakini wanatafuta zile ambazo hawakuelewa ufahamu wake ndio wazisome kimakosa kimakosa.
Shekhe ilo halihitaj Aya ya Quran sababu liko waz kabisa nenda ukawasome Ismail na is-hak apoh ndo utatambuw kama wazazi wa mtume walitokan na hapah Bain ya Hawa watoto wawil na ni dhahir utatambuw kuwa walikuwa ni waislam safi