Тёмный
No video :(

SHK MSELLEM: KAZI KUTIANA MOTONI TU | HAO SALAFI WENYEWE HAWAKUWA HIVI WALIVYO KUNDI HILI LA SALAFI 

Riyadh Tv Online Znz
Подписаться 296 тыс.
Просмотров 171 тыс.
50% 1

#RiyadhTvZnz #Zanzibar

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 344   
@omarymnola1011
@omarymnola1011 2 года назад
Hakika hekma ni kheriii kubwa I wish nikuone live hakika nakupenda kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi kipenzi chetu
@idrissajuma7308
@idrissajuma7308 2 года назад
Ewe M/muungu mjalie Mwisho mwema sheikh Mselem bin Ali amiina🤲🏻
@OusWildChannel
@OusWildChannel 2 года назад
Allahumma ameen, sote pia
@khadijaali2173
@khadijaali2173 2 года назад
amin
@LuqmanAndrew-nu9rx
@LuqmanAndrew-nu9rx 5 месяцев назад
Allahumma Amiina
@hemedali4910
@hemedali4910 2 года назад
moja katika masheikh ninaowakubali sana sana,mungu ampe umri,hikma na kheri nyingi!sio vijana wetu wa sasa,kaz kutiana moton tu....
@alhajrahassan89
@alhajrahassan89 2 года назад
Mashallah. Sheikh wetu kipenzi tunafurahi kila tukikuona na tukisikia darsa zako allah akujaalie afya njema wewe pamoja na familia yako amiin
@abdulkarimmavuo645
@abdulkarimmavuo645 8 месяцев назад
Kuweka picha ya sheikh fulani haifai watu wa riyadhTvznz ,kazi yenu mulete elimu tu, ushabiki acheni,analofanya Huyo sheikh mlumuweka ni haq na sisi twajua,kwaiyo musifanye sheikh wetu Allah amrehemu Msellem kuonekana kwamba anaongelea mtu fulani (ilhali sio hivyo )hio ni makosa waislam
@makolokatanda4456
@makolokatanda4456 5 месяцев назад
Acha ushabiki kwe masuhara ya dini
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 года назад
Shukran sheikh allah akulipe duniani na akhera Allah akuhifadhi
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 2 года назад
ALLAH AKUBARIKI SHK MSELLEM ALLY MSELLEM.
@anuarhemed4747
@anuarhemed4747 2 года назад
Allah akupe umri mrefu na akupe afya njema
@gonasaidjuma2700
@gonasaidjuma2700 2 года назад
Mwenyezi mungu alimwambia muhammad nimekukamilishieni yenu nayo niya uislamu. Na mtume wenu nimuhammad kwahivyo wakina musa issa nuhu lbrahim watahukumiwa tofauti .
@marrowog8975
@marrowog8975 2 года назад
Shukran sheikh..mselem... *Hakika ya aliepewa hekma amepewa heri nyingi*
@sheykhansheykhan
@sheykhansheykhan Год назад
Allah akuhifadhi na kila shari shekh wetu tuendelee kunufaika kwako.
@adilhabib8988
@adilhabib8988 2 года назад
Alhamdullah Maa shaa allah mwenyezmungu atatufanyia wepesi zaid yaliza nyota ya zanzibar ilipo kua haipo shekh wetu
@makerebul3650
@makerebul3650 3 месяца назад
Allah akuhifadhi ukuengeze busara na hekima,wewe huna kiburi,nakupenda sana.
@user-qz5yu1ud3l
@user-qz5yu1ud3l 6 месяцев назад
Shekh asalaam alaykum hyo ndo mitihan kupimwa allah kaahidi nusra kwa wanaoinusuru din tambua nusra ya allah i kariib akujaalie miongon mw mashahid wa din hii tukufu
@salimaljahwari1
@salimaljahwari1 Год назад
Shukran Skh Mseleem. Allah ijaziik milion kheir. Tumefaidika. Allah akupe umri na afya.
@tumajunior6080
@tumajunior6080 2 года назад
Usimdharau kiumbe yeyote wa Allah huenda akawa bora zaidi mbele ya Allah
@kanaanrajab1102
@kanaanrajab1102 2 года назад
Fact ukhty
@ibugharib389
@ibugharib389 2 года назад
MASHAALLAH, jazzakallah kheir sheikh Bega kwa bega mpaka Firdaus
@gyeong5972
@gyeong5972 Год назад
Nampenda sana Kwa ajili ya Allah Sheikh Mselemu Bin Ally
@basakimnguuchannel3402
@basakimnguuchannel3402 2 года назад
Mashaallah shekhe mselem
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 2 года назад
Ila nyinyi watu wa Media si vyema kuweka picha ya kumlenga mtu kama hivi - ujumbe utamgusa anayehusika lakini mnavyofanya basi sdhani kuwa ni busara.
@shamimnassor6192
@shamimnassor6192 2 года назад
Huyo bachu mwenyewe hana busara hata moja
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 2 года назад
@@shamimnassor6192 Mimi sijauzungumza upande wowote Ila hoja ni kuwa Sheikh Mselem hakumtaja mtu, Bali amezngumza kwa ujumla wake - hivyo aliyemo yumo. Lakini kwanini hii channel iweke picha ya Mtu fulani?
@shamimnassor6192
@shamimnassor6192 2 года назад
@@alhilaltvonline huwenda Kuna ujumbe utakao mfaa kwenye khutba hii
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 2 года назад
@@shamimnassor6192 InshaaAllah kheri akhuy. Allah atuhifadhi. Atuongoe na kutuondoshea kibri.
@shamimnassor6192
@shamimnassor6192 2 года назад
@@alhilaltvonline amin amin ALLAH atuongoze sote mm nachukia sana haya malumbano ya viongozi wa dini na ndio makafiri wanatembelea madhaifu haya na kupata nafasi kuwahadaa waislam wenye elimu ndogo..angalia yule mchungaji WA kenya ndacha anavoyouchafuwa uislam na vitabu zake za uongo na kuna watu wanamuamini,so watu wale ndio wakupigana nao sio sisi twapigana wenyewe kwa wenyewe
@jamalmohamed3400
@jamalmohamed3400 2 года назад
Jazakllahu khairan... Sheikh
@nurasalimu2403
@nurasalimu2403 Год назад
Nampe shekhe mselem maana anatafsir Quruan kwa vizury kwa utaratibu bila ya papala Allah akuhifadhi shekhe
@ababukarlinus9355
@ababukarlinus9355 Год назад
Shekhe Allah amuongoze na ampe umri mrefu sana Inshallah.
@user-ov4js4sw5w
@user-ov4js4sw5w 4 месяца назад
ALLAH akuhufadh shekh
@salmaalisalim2462
@salmaalisalim2462 2 года назад
Sheikh Allah akuhifadhi akulilpe kheri duniani na akhera
@LuqmanAndrew-nu9rx
@LuqmanAndrew-nu9rx 5 месяцев назад
Allah akulipe kila la kheri na akuepushie kila la sharri na atujaalie sote mwisho mwema Inshallah 🙏
@suleimankhalid5978
@suleimankhalid5978 Год назад
Alhamdullah tumelia tumekesha kumuomba Allah awatoe masheh wetu jela leo Alhamdullah
@user-ec9dn5mp8y
@user-ec9dn5mp8y 5 месяцев назад
Masha Allah shekhe
@nuramoboy
@nuramoboy 2 года назад
Alhamdulilah maalim wetu ,wewe ndio tumekuelewa
@omarkhamis1539
@omarkhamis1539 2 года назад
Maashallah
@abasmuniru142
@abasmuniru142 2 года назад
Assalamualaiku alykm warahmatullaah, naamshekh jazaaka ALLAH khaira, Ila Nina uwelewa tofauti kidg kwamba hao mayahudi manasara walio tajwa niwale walio amini kabla ya MUHAMMAD SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA, walio muamini issa kisawa sawa na musa kabla ya mtume MUHAMMAD, lakini baada ya kuja mtume hawatakubaliwa Imani zao kulingana na tafsiri ya ibnu kathiir na wengine na ushahidi Ni aya hii :- وَمَنْ يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَنْ يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri. Pili hadithi ya mtume والرسول صلى الله عليه وسلم يقول : " لو كان موسى حياً ما وسعه إلا اتباعي " . Kwa mba hata Kama nabii Musa angekua hai Ange mfuaata MTUME SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA kwasababu sheria zake zimeshapia. Pia ANASEMA :- وعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَنْ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم أَنَّهُ قَالَ: "وَالَّذِي نَفْسُ مُحَمَّدٍ بِيَدِهِ لاَ يَسْمَعُ بِي أَحَدٌ مِنْ هذِهِ الأُمَّةِ يَهُودِيٌّ وَلاَ نَصْرَانِيٌّ، ثُمَّ يَمُوتُ وَلَمْ يُؤْمِنْ بِالَّذِي أُرْسِلْتُ بِهِ، إِلاَّ كَانَ مِنْ أَصْحَابِ النَّارِ". رواه مسلم. Kwamba hato nisikiliza Mimi yahudi Wala nasara katika umahuu na Kisha asiniami kwa Yale niliotumilizwa ila atakua nimiongoni mwa watu wa motoni. Kuonesha kwamba lazima mtu awe muislamu kwaanza kwa kupiga shahada ya kumuamini ALLAH na MTUME.
@mouzamohmad8743
@mouzamohmad8743 2 года назад
Sahihi 👌
@mouzamohmad8743
@mouzamohmad8743 2 года назад
Sahihi 👍
@mohamedmkami7017
@mohamedmkami7017 Год назад
Nasubilia majibu ya hii comment.
@abasmadodo9964
@abasmadodo9964 2 года назад
Allah akupe pepo inshaallah
@twalibuabdallah6243
@twalibuabdallah6243 6 месяцев назад
❤❤❤aamin
@takdirmahmoud
@takdirmahmoud 2 года назад
Shukran Sheikh
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 года назад
Subhanaallah kumbe mashekhe watazania dini mmeifanya kama watu wasiasa wanavyo pigana vita ya inchini na nyinyi ndio mnaelimisha dini kwa watu na ndio mnao leta picha mbaya ya dini 💔💔Inalilah wainalillah rajuuni mwenyezi mungu amjalie mpatane nampendane muache chuki binafsi
@humuodkindi4926
@humuodkindi4926 Год назад
Mijadala na hikma kama hizi ndio sahihi, sio yule kijana mdogo aliekosa heshima.
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 6 месяцев назад
@@humuodkindi4926 Hakika na huo ndio uislam na ndio hekima na busara za kulingania uislam. Sio matusi au dharau au chuki. Tanzania hii kwetu ni hazina kubwa.
@Kimochatv
@Kimochatv 5 месяцев назад
Allah akupe mwisho mwema
@samwelbunzali1914
@samwelbunzali1914 2 года назад
Nyie Riyadhtv znz mnazingua mamb ya din msifananishe na udaku achen kuchonganisha mashekh kwa mashekh: hapo anasoma Qur'an itakayomgusa ndo huyo huyo msilazimishe aonekane kamuongelea mtu huo ni ichochez ambao Allah amekataa
@ashrafseif9460
@ashrafseif9460 2 года назад
Swadakta
@mrfauzy8226
@mrfauzy8226 2 года назад
Wanataka followers kwa kivuli cha dini
@samwelbunzali1914
@samwelbunzali1914 2 года назад
Kisiwa cha maalifa shekh: mselem Ally. Nasaha zako ni nuru kwa wamchao Allah:
@kimedyrashad9271
@kimedyrashad9271 2 года назад
Napenda san kumskiiza huy sheikh wng mselem bin ally... Allah ukujaalie mwish mwema
@salummazurui3270
@salummazurui3270 2 года назад
Mashaallah sheikh
@cashewnutboardtz7325
@cashewnutboardtz7325 Год назад
Islam Eliasi,Allah akubarik shekh mselem Ally
@yussufsaid654
@yussufsaid654 2 года назад
Na kama ukiwatii wengi walioko ulimwenguni, watakupoteza na njia ya Allaah. [Al-An’aam: 116] Na Allaah Anajua zaidi
@alindaro7978
@alindaro7978 Год назад
As long as watakuwa wanaamini Allah yupo na wanafanya amal njema.....hawatojutia mwisho wao. Hizi Aya usipokuwa mankini utajitatza bure. Be positive hakuna mkamilifu katika dini na dunia na hakuna anaejua hukmu isipokuwa Allah.
@ayoubsadi5186
@ayoubsadi5186 2 года назад
Sharti hapo ni kumuamini Allah. Ni wazi kuwa ukimuamini Allah ni lazima umkubali mtume S. A. W, ndio kusema hao Mayahudi, Waswabiin na Naswara ili wapate kuingia Peponi ni lazima wamkubali Mtume S.A.W na Manabii wote wa Allah. Na ndio Uislamu.
@DreamGirl-xn7ce
@DreamGirl-xn7ce 2 года назад
👍
@abdurahimnassoro1667
@abdurahimnassoro1667 2 года назад
Uko sawa sheikh
@user-eg2cg3ts2d
@user-eg2cg3ts2d 2 года назад
Mashallah sheikh wetu
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 2 года назад
Ukiwa pocho huwezi kumfahamu sheikh mselem ila ss tunamuelewa sana
@khamishamad5044
@khamishamad5044 2 года назад
Pocho
@willajr9513
@willajr9513 2 года назад
@@khamishamad5044 pocho ni nini? 🤣
@ramadhankheir4793
@ramadhankheir4793 2 года назад
Shukran kwamba umewakubali wema waliotangulia
@husnamohamed9448
@husnamohamed9448 2 года назад
Hata mimi nimewakubali sana hao wema waliotangulia ila hawa wema walioko wallahi ni tafauti kabisaaaa.Maneno yao wallahi hayaniingii akilini kabisaaaa
@ramadhankheir4793
@ramadhankheir4793 2 года назад
@@husnamohamed9448 ayo matamanio yako tu
@tumajunior6080
@tumajunior6080 2 года назад
Allah akuhifadhi shekh mselem kwa kuwa ukweli wauma usihofu Allah humpenda msema mkweli
@saidmaulid4478
@saidmaulid4478 2 года назад
MashaAllah
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 2 года назад
Sheikh mselem na muhammad bachu wanafahamiana viziri msiweke picha za uchochezi mnaharibu
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 года назад
Mbona Mohd BACHU kasema yeye akiwapinga muamsho na kuwachukia sana kwa sababu akifanya maandamano lakin walipo weka jela akiwaombea duwa walipo toka akatowa hutba kuwa makhawareej ni wafanyao maandamano ktk nchi vp ?
@yusuphkombo8423
@yusuphkombo8423 2 года назад
Shekh mungu akulinde
@helefkdk5125
@helefkdk5125 5 месяцев назад
Sawa kabisa
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 года назад
Shekh mselem basi ijumaa itaekewa hutba usemwe
@user-fq6iw1pb7q
@user-fq6iw1pb7q 2 года назад
Hahahahahaahhahaa sasa ah hahaaa
@anuarhemed4747
@anuarhemed4747 2 года назад
Shekh mselem sema kwel japo kua chungu
@user-dr2cq4md8g
@user-dr2cq4md8g 7 месяцев назад
Dini hii kuna wanachuoni,wenye maarifa zaidi na wanaojua tafsiri zaidi,wala si dini yakuzungumza tu watu wakusifu.wanachuoni ndio dira ya uislamu.
@abdulrahimsalim8809
@abdulrahimsalim8809 2 года назад
Alhamdu lillah
@yussufsaid654
@yussufsaid654 2 года назад
Basi yule ambaye Allaah Anataka kumhidi, Humfungulia kifua chake kwa Uislamu. Na yule ambaye Anataka kumpotoa, Hufanya kifua chake kuwa na dhiki chenye kubana kama kwamba anapanda kwa tabu mbinguni…[Al-An’aam: 125]
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
Watu wa vitabu walioamini wakatenda mema wataingia peponi ikiwa hawatomshirikisha Allah. Tena wale waliopita nasi hawa walokwisha birua Injil na Tawrat na wasioitaka kabisa Qur-an. Qur-an 3:199
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
Qur-an 6:21 Na nani dhalimu zaidi kuliko anayemzulia uwongo Mwenyeezi Mungu, na akazikanusha ishara zake? Hakika madhalimu hawafanikiwi.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
Qur-an 6:22 Siku tutakapowakusanya wote pamoja. Kisha tuwaambie walioshirikisha. Wapo wapi washirikishwa wenu mliokua mnadai?
@DreamGirl-xn7ce
@DreamGirl-xn7ce 2 года назад
Na watu wa kitabu wanaomuamini Allah (s.w) , na ulichoteremshiwa wewe na walichoteremshiwa wao, na wakatenda mema na wasimshirikishe Allah (s.w). .. 3.199
@shabaniali9825
@shabaniali9825 2 года назад
@@alhamdulillah5796 ahsante sn
@murshydali2953
@murshydali2953 2 года назад
Mashallah Bora uambie ukweli Mana dini no moja ila wameifanya ziwe dini nyingi
@ziadamtebwa3712
@ziadamtebwa3712 2 года назад
Allah akulipe hakika umefikisha.
@abdullahalbalushi3856
@abdullahalbalushi3856 2 года назад
💯 💯 sheikh
@abumussabnassor6141
@abumussabnassor6141 2 года назад
Kawa munguu? Hata umpe uhakiwa wa 100%%
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 2 года назад
Usimpe asilimia zote hizo hakuna Mwanaadam mkamilifu
@abdullahalbalushi3856
@abdullahalbalushi3856 2 года назад
@@user-rb8ir9co9k Kuna point kuzungumza ndio nimemuga mkono 💯 💯.sio kma ni mkamilifu
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 2 года назад
@@abdullahalbalushi3856 sawa Muhimu Point imezingatia Qur-an ama Sunna basi hakuna shida
@mahirkombo535
@mahirkombo535 2 года назад
Masalaf wafitin tu hapa kwetu zanzibar
@loveofficial74
@loveofficial74 2 года назад
Hii Aya naona haijapata mfafanuzi wa kina utende mema unavyotenda na unajua Mungu yupo na hauximamixhi xwala 5 bc ujue n bure kabixa.
@nassirali7499
@nassirali7499 2 года назад
Kijana una pupa huna skills za kisikiliza, umefika darasa la ngapi? Hebu msikilize vizuri
@youssouphsalum786
@youssouphsalum786 2 года назад
Allah humma amin
@jumaabdurahmani2733
@jumaabdurahmani2733 5 месяцев назад
Huyu shekh inabidi umsikilize kiupole ndio utamuelewa. Na mimi namuelewa kila wakati
@mussaathumani9814
@mussaathumani9814 Год назад
Shekhe wewe Allah atu patie umuri mlefu napenda sana kuskia mawaiza yako
@khadijasaidi4834
@khadijasaidi4834 Год назад
Allah akulipe Kila la kheri shekhe wetu hao masalfi waliwacheka walokole wa kikiristo sijui wenyewe ni kinanani?Kwa hakika Wana KERA sana kuvaa ngozi ya kondoo wakat ni chui
@hawahassan1623
@hawahassan1623 2 года назад
Alafu nyie Riyadh mtafute heading nzuri kama waislam mnaweka heading za ajabuajabu muwe makini
@infocontentchannel
@infocontentchannel 2 года назад
Assalam Alykm warahmatullah wabarakatuh. Hii Anatumia tafsiri ipi? Naomba kujua tafadhal. Jazaakallahu khayran Sheikh
@habibuchipeka7934
@habibuchipeka7934 2 года назад
Swifiwatu ttafaaasiir cha mwanazuoni ally swaabuni
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 2 года назад
Taabu Kubwa Iliyopo Kwasasa Tunajisomea Wenyewe. Twende Tukasomeshe Kwawanaostahiki Kutusomesha. Tusijisomee Tu.
@user-lb2lx5bq6e
@user-lb2lx5bq6e 2 года назад
صفوة التفاسير - الشيخ محمد بن علي الصابوني
@yussufsaid654
@yussufsaid654 2 года назад
Enyi walioamini! Tubieni kwa Allaah tawbah ya nasuha (kwelikweli); asaa Rabb wenu Akakufutieni maovu yenu, na Akakuingizeni Jannaat zipitazo chini yake mito. Siku ambayo Allaah Hatomfedhehesha Nabiy (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) na wale walioamini pamoja naye. Nuru yao itatembea mbele yao na kuliani mwao, watasema: “Rabb wetu! Tutimizie Nuru yetu, na Tughufurie, hakika Wewe juu ya kila kitu ni Muweza. [At-Tahriym: 8]
@AbdullBakari
@AbdullBakari Год назад
mashallah ni shekh mwenye elmu ya juu Allah amuhifadhi aendelee nadaawa kutumbusha amin
@abusumayyah2338
@abusumayyah2338 2 года назад
Tubieni Enyi waja wa Allaah acheni ukhawaarij
@tibakisunnahnaasili6250
@tibakisunnahnaasili6250 2 года назад
Khawarij Yuko wapi hapa sasa😂
@burhanhaji769
@burhanhaji769 2 года назад
Kwani Ili watubie waje kukwambia wewe au we ndo mwenye daftari la watu wanotubia unaandika?
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Год назад
Kama ingekua nchi zetu ziuadilifu mselem aliy engekua kadhi lakini sii nchi hizi zinekosa uadilifu
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 2 года назад
Dini lazima uguse engo zote endelea kutupa daawa sheikh mselem wanobweka waache wabweke
@jumahamadomar9124
@jumahamadomar9124 2 года назад
Nakukubali kaka,lkni samahani usitumie lugha ya kubweka anaebweka ni mbwa so nimakosa kumfananisha mwanadamu mwenzako na mbwa
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 2 года назад
Wanakera sana lkn nashkuru kwa kunikumbusha
@abdulhamidhaji5056
@abdulhamidhaji5056 Год назад
@@khamisrubea5083 na ukweli unakera eti
@fadhilimussa5067
@fadhilimussa5067 2 года назад
Shekh kaeleza vzri lakin sjaskia kama kmtaja mwanachuon gani au swahaba gani alitafsriii hivo hiyo aya ya 62 suurat bakaara.kwamba wanao abudu viumbe watalipwa ujira kwa Allah. Naomba ufafanuzi kidg hapo Samahan kwa usumbufu
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 2 года назад
*HIYO Aya Ni MANSUHU Sheikh mselem ebu angalia vizuri*
@AliHassan-oe8sy
@AliHassan-oe8sy 2 года назад
Mbona ameiweka sawa hayo makundi 4 wakimuamini Mtumme Muhammad s a w na kuikubali Qur an hao ndio wamafaulu
@nassirali7499
@nassirali7499 2 года назад
Hebu na ww msikilize vizuri usikurupuke ku comments
@coyancodavao4004
@coyancodavao4004 Год назад
@@AliHassan-oe8sy Acha kukurupuka
@ridhwaniyassir3579
@ridhwaniyassir3579 2 года назад
Allah atuhifadh
@selemankishema5780
@selemankishema5780 2 года назад
Wewe ni zaidi ya dhahabu laiti watu wangejua thamani yako basi ungenunuliwa zaidi ya wacheza mpira lakini mpaka media za kidini siku hizi dili hawana mpaka ubunifu wa kazi
@abumussabnassor6141
@abumussabnassor6141 2 года назад
Hawa riyaztv wakajifunze dini Co kugombanisha mashekh mselem jee alimtaja mtuu waache ujinga hao
@khatibrashid172
@khatibrashid172 Год назад
Allah atuongoze sote tuliotoa michangio tofaut
@uledihassan6065
@uledihassan6065 2 года назад
Hili genge linalojiita Salafy ni wahuni watupu
@user-fq6iw1pb7q
@user-fq6iw1pb7q 2 года назад
Wewe je hahhaahaah
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 2 года назад
Ni kweli ndg yangu Uledi, wanaojiita salaf ni hovyo tu.
@fadhilimusa9732
@fadhilimusa9732 2 месяца назад
Nadhani bachu amekuskia maana baleghe haijamuishia
@alisalimhamad3550
@alisalimhamad3550 2 года назад
Mashallah umefafanua vzr shekh ila nashkuri kwakua sote ni waislam basi tusinyoosheane vdole hasa kwakueka picha zidi ya wengne maana lengo ni kufanikiwa siku ya mwsho
@mansoormannix1753
@mansoormannix1753 11 месяцев назад
Lakini tuseme ukweli salafi hawana kheri na uislamu, wameacha hata kusoma bismillahi Rrahmani Rraheem kwa sala, kato hawasomi moyoni wala kwa siri, wamefanya msikiti kuwa nyumba za ukimya na ubinafsi na wala hawataki dua kamwe. Dua ni miongoni mwa vitu Allah anapenda sana na dua especially kwa sala na baada ya sala. Tuzingatie sana kuhusu dua za jamaa na tuzingatie sana umuhimu wa bismillahi kwa kusoma Qur'an aidha kwa sala ama qiraha. Bismillahi Rrahmani Rrahim ni neno sheitan yuaogopa sana na hakuna fatiha bila Bismillahi Rrahmani Rraheem.
@hafanabdallah3112
@hafanabdallah3112 2 года назад
Shekhe aya hii ipo ila ulivyo fafanuwa sivyo ama umesahau allah kasema wan yabtakhii khairal islaami dina falan yuqbalu minhu wahuwa fil akherati minal khasiriin kwa sababu huu wakati dini ni uislaaamu tu.
@harithnyara1948
@harithnyara1948 2 года назад
Hukumfaham sheikh usitoe hukumu tu.. Mwanzo kaanza kutafsiri kama aya ilivo kawapa challenge kisha ndio katoa maana ilivokusudiwa ..
@abdurahimnassoro1667
@abdurahimnassoro1667 2 года назад
Innaalillahi wa innaailayhi rajiun sikutegemea kabisa kama sheikh msellem angeweza kutoa tafseer dhaif kama hii na amefanya khiyana sababu hajasheheresha na wala hajasimamia tafseer yoyote ya mwana chuoni na watu wanashabikiatu hawa masheikh wanapoteza watu
@abumussabnassor6141
@abumussabnassor6141 2 года назад
Umeeonaaaeeee wacojuwa ss wanavoshabikiyaa
@yustoedward2085
@yustoedward2085 2 года назад
Mm mwenyewe cjaelewa maana mi najua makafir wte moton sasa ujira gn huo watapat mbele y mmola wao
@swalehekinere122
@swalehekinere122 2 года назад
Mmmm mbona shekh amefasir saf au hujamuewa sikiliza mpaka mwisho
@sadahgullam8228
@sadahgullam8228 2 года назад
Ila iyo ya kukufulisha watu mi nashangaaga sana kuna watu wanapenda sana kukufulisha wenzao utadhani wao wamejihakikishia kuwa wao ni wapeponi
@sharriffcharo1915
@sharriffcharo1915 2 года назад
Kwa hili huyu sheikh sija muelewa
@khaalidal-esry2211
@khaalidal-esry2211 2 года назад
Sheikh alianza na tafsiri ya neno kwa neno ndiyo ikakuchanganya. Kisha akafafanua kuwa waumini(yaani waislamu), mayahudi, manasara na maswaabii hawa wote hawa km watarekebisha mapungufu yao wakaacha wanapokosea yaani wakimuamini mungu inavyotakiwa( yaani waislamu wasimame ktk uislamu ipasavyo na wasiokuwa waislamu wawe waislamu sawasawa) na siku ya mwisho, kisha watende mema hao ndiyo hawatapata khofu. Msikilize tena kwa makini sheikh utaelewa ndugu yangu
@user-fq6iw1pb7q
@user-fq6iw1pb7q 2 года назад
We riadhi tv wewe usiweke picha kama ivoo hio unayofanya ni firn kaka
@allysuleiman517
@allysuleiman517 2 года назад
Usibabaishe watu sheikh zungumza inavotakiwa kuzungumza
@yakobomkristo872
@yakobomkristo872 2 года назад
Kama Ningekuwa Mwislamu Kabla Ya Ukristo, Basi Shekhe Pekee Ambaye Angenifanya Nibaki Kwenye Uislamu Ni Huyu, Vinginevyo Ningesharitadi.
@mustamimmushajara8992
@mustamimmushajara8992 Год назад
Allah akfnyie wepes
@allykhamis124
@allykhamis124 2 года назад
mashallah
@salmaabdalla6029
@salmaabdalla6029 2 года назад
ww
@iddrissoulyt2946
@iddrissoulyt2946 2 года назад
Washirikina Watapenda Sana Haya Mazungumzo
@swalehekinere122
@swalehekinere122 2 года назад
Hujamuelewa shekh
@salamanyale2226
@salamanyale2226 2 года назад
Ww una hakika gani km siwe mshirikina ikiwa maswahaba baada ya kufa mtume walikua n wsws kua wao je wako kundi la wanafik au la wakimuuliz Hudhaifah ibn yamal hayo ndio shekh mselem ayakataza wacha kujitakasa subir utakaswe
@FeisalDoctor
@FeisalDoctor Год назад
Nyi mikundu nawaskiag t kero zenu fujo zogo matusi ila mt akiingia zone tutawakata vichwa coz munaleta fitna n tofaut katik uislamu
@shafikakrabi8490
@shafikakrabi8490 2 года назад
Al habib nakukubaki kwa elimu yako, asilimia miamoja. Hivi ndio wanatakiwa maulamaa wetu. Naonba uwaelimishe hao wasiojua kutowa elimi waache kuwakhofishe wasikilizaji. Nungu akuhifadhi
@allysuleiman517
@allysuleiman517 2 года назад
Sasa wewe ukivyochanganya dini na siasa ilikuwa sahihi na kama si sahihi mbona hukubainisha kwa watu kama yale ni makosa hiyo ndo tabia zenu munababaisha watu wasijue basi kama makundi yapo kwa sababu hadithi inasema ktk umma wangu yatakuja makundi 73 je ni ya uongo
@mohdhaji2186
@mohdhaji2186 2 года назад
Shekhe ujuwe kwamba dini ya kiislamu haikugawa vitu mafungu mambo yote kesho kwa mungu yatakuwa na malipo. Hiyo nyimbo ya kuchanganya dini na siasa imetungwa na makafiri na sie WAISLAMU tusiojielewa tunaiimba na kuicheza. Lazima tuwe makini sana. Ni vyema tukavijua vitu kwa undani kabla ya kutuma comment. Au unadhani wanasiasa hawataulizwa kwa mungu juu ya nyadhifa zao?
@mchajuma4271
@mchajuma4271 2 года назад
Kwan unaijua tasfri ya dini na hiyo siasa au ukereketwa umekupanda kichwani maana maajabu kwa muislam mpaka Leo bado Hana utambuzi juu ya mambo Kama haya ila shu hatutaki kusoma tusomeni hii hatari et ulipo changanya dini na siasa shida kwelo
@nasramkwega
@nasramkwega Год назад
Jamani nahitaji mawasiliano ya shehe uyu mwenye nazo anisaidie
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 2 года назад
Anachozungumza Ni Talbisi. Bado Hajarud ktk Kufuata Sunna. Kama Mtume Alisema Yatatokea Makundi 73 Ktk huu uislam.Leo hii utalikataa vip hili na wakat ni Waaqii kabisaaa. Kuna Mashia,Maibadhwi,Makadiyani,Masufi na Twariqa zao,Makhawaariji na Makundi yao,.....Halafu wakataa eti waislam hawana Makundi
@user-lb2lx5bq6e
@user-lb2lx5bq6e 2 года назад
Mwalimu akishatoa mtihani basi anaesahihisha ni mwalimu na sio m.fnz mwenyewe kujisahihishia . In case you dont know
@salamanyale2226
@salamanyale2226 2 года назад
Hujamuelewa shekh
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 2 года назад
@@salamanyale2226 Ww umemuelewa haya twambie
@user-fi2mz9gc4v
@user-fi2mz9gc4v 2 года назад
HIVI WALE WASIO KUWA WAISLAMU AMBAO WANAMINI MUNGU PAMOJA NA KULIPWA SIKU YA MWISHO NAO WATAINGIA PEPONI????
@ahmadayub3197
@ahmadayub3197 2 года назад
Alie kua c muislam haingii pepon ata amin kias gan mpaka akubal kuslim awe muislam na atende mema
@mmn595
@mmn595 2 года назад
hata mm najiuliz hili swali
@abdul-azizabbas6991
@abdul-azizabbas6991 2 года назад
Qur-an sura 40 aya ya 40 inaeleza vizuri ilo swali, lkn ndo mungu anajua zaidi
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 2 года назад
"3:85" Qur-an , Jipu lipo hapa
@abdul-azizabbas6991
@abdul-azizabbas6991 2 года назад
Pia Qur-an 43:67-70 inaeleza vizuri tu, M. Mungu anajua zaidi
@suleymansalim5732
@suleymansalim5732 2 года назад
Sasa hizi p8cha mbona zimewekwa hivi yani makusudio niyepi???
@jumamahmoud9271
@jumamahmoud9271 2 года назад
Picha hazijaendana labda alieweka hajui anachokifanya
@ummatul-islam9615
@ummatul-islam9615 Год назад
Wewe mwenywe unacheka malumbano ni miongoni mwa wanawo chocheya malumbano muogope Allah unachokifanya kinafidhiwa na utaenda kulipwa
@swalehekinere122
@swalehekinere122 2 года назад
Duuuu!! maskin shekh kunawatu hawajakuelewa sjui wanausingiz
@omarlameck9130
@omarlameck9130 2 года назад
Kun xk niliskilza nikaelew tofaut na leo n tofaut....... Akn pepo moja na anae xwal na asoswal
@anuarhemed4747
@anuarhemed4747 2 года назад
Unajua hawa salaf wakiambiwa ukwel wanachukiwa
@Maajidabdillah
@Maajidabdillah Год назад
naomba namba ya sh mselem nataka nimuulize suali lang
Далее
SHK MSELEM NIMEKOSOLEWA NAAMBIWA NA POTOSHA
57:48
Просмотров 25 тыс.
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 6 млн
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,4 млн
Sheikh Hassan Ahmed -  Kisa cha mama na mwanawe
3:04
Просмотров 2,6 тыс.
MAMBO YALIYOZUSHWA KATIKA MAZISHI SHEKHE NASSORO BACHU
56:06