Ni uongo wa mchana hata usiku wa manane mhamadi yeye alikaa kwenye pang la kijiwe pale madina na makha hivyo vitu vilikuwa wapo na alivitunzia wapi hebu acheni swaga na promo zenu ndugu zangu acheni kupotosha umma wa watu
Hii ndio tabia mbaya ya waislamu kukashifiana kwenye mitandao makafiri wao wakitukashif mnakuja juu wanafiki ni wale wote walio toa kasoro mitandaoni kwa nini usimtafute kivyako ukataka akure ukweli na wewe umpe ukweli unaoujua wewe? Walsham mwapigana vita kwenye mitandao aibu
Hii ndio tabia mbaya ya waislamu kukashifiana kwenye mitandao makafiri wao wakitukashif mnakuja juu wanafiki ni wale wote walio toa kasoro mitandaoni kwa nini usimtafute kivyako ukataka akure ukweli na wewe umpe ukweli unaoujua wewe? Walsham mwapigana vita kwenye mitandao aibu
Mimi hua nauliza hivi Hizo nywele mlizipata je mpaka mukazihifadhi uturuki? Watu wabidaa hupenda kudanganyana sana. Mcheni Allah na kueni miongoni mwa wasemao ukweli.
Kuhusu mtume (S.a.w)Huo ni uwongo unakithiri.Nani aliyeokota nywele za mtume ? Isitoshe na vitu alivyotumia ! Wewe watoka planet gani ? ACHA UWONGO .WE DON'T NEED SUCH A FUCKEN STORY !
Nitatuliza sana tu kwaiyo kusema ivyo vitu vya mtume kufika uko uturuki makah n'a Madina walikosa sehem yakubihifadhi?iyo bangi zenu n'a njaa zenu mueshi kwa kujiandalia majini mtakauo kwenda jibu mbele ya Allah
Viatu na vyombo vyake vinaweza kuwepo ila nywele na ndevu za Mtume(s.a.w) huo ni uongo mkubwa sana Mtume kafa madina na kazikwa na nywele zake na ndevu zake
Nyie mbona munaangaisha saana, kila kitu ni uzushi ivi ku madrassa yenu hakuna kitu chochote mnachokisoma ya kufundishwa bidaa , ile yote ni ufinyo wa elimu