Тёмный

Hivi ndivyo anavyooshwa Maiti.Shkh Al hidhry 

Masjid Firdous Online Tv
Подписаться 807
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 41   
@binkhatwab7691
@binkhatwab7691 3 месяца назад
Mashaallah mashaallah Allah abarik na atie kheri zake inshaallah.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 4 месяца назад
MAASHAALLAH HAYA NDIYO MAMBO WAISLAM TUNAYOYAHITAJI YANAYOTUFUNDISHA KUUFAHAMU UISLAMU WETU SIO KILA SIKU RADDI RADDI, TUMECHOKA NA UPUUZI WA RADDI ZISIZOTUELIMISHA KWA LOLOTE ZAIDI YA KUWAPA UMAARUFU WA KIDUNIA WALE WANAORADDIANA.
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Allah atuongoze.amin
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 4 месяца назад
Ila raddi kwa wazushi ni wajib sababu huu umma wa kuamrisha mema na kukataza maovu sababu hatutanyamaza wazushi wakipita mipaka
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
@@hassanWanjikuNdio Rasulullah alikuwa akilingania hivyo.Kwamba alikuwa anaenda kwa Makufari pale Makkah kisha anawaambia "NYIE WATU MAKKA,ACHE UKAFIR WACHAWI WASHIRIKINA WAKUBWA.Ndio njia hii sahihi za kukosoana katika Dini enh?
@Munalimaboi-um5iq
@Munalimaboi-um5iq 4 месяца назад
Mashallah ustadhi umetufundisha n cc ambao atujui allah ziada ishallah akupe umri mrefu ili uweze kufundisha n wengine
@gandiwehu5818
@gandiwehu5818 Месяц назад
Mash'Allah
@nusrasadick3516
@nusrasadick3516 4 месяца назад
maashallah shukran sana shekhe kwa elimu adhim Allah akuongezee elimu na umri mrefu wenye manufaa inshaallah
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 4 месяца назад
Mashaallah tabarakallah haya ndo mambo watu wanafaa kufundishwa Allah subhanallahu wa taala abariki haya si wale wanaochukua muda wao kutangaza ushirikina
@AkimanaRama
@AkimanaRama 19 дней назад
@MwanaishaMwagele
@MwanaishaMwagele 4 месяца назад
Mashaallah tabarakaallah ustadhi kwa elimu yenye na mafunzo mungu akujalie Kheri.inshallah
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Amyn
@noot-oe2mw
@noot-oe2mw 4 месяца назад
Mashaallah shukrani sana sheikh
@ZuwenaKizere
@ZuwenaKizere 4 месяца назад
Mashllh Allah akulinde ustadh uzid kutufahamisha
@GGgh-dv8pd
@GGgh-dv8pd 4 месяца назад
Mashaa allahh
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
❤❤
@RukiaMazai
@RukiaMazai 4 месяца назад
Maashaallah mungu akupe umri mrefu AMINA.
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Amiyn
@Maryam-zo2lo
@Maryam-zo2lo 4 месяца назад
Amin
@selmesalim298
@selmesalim298 4 месяца назад
Mashaallah mwalim wetu nimefarijika Allah akulipe kheri
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Amiyn
@saidakiwale9227
@saidakiwale9227 4 месяца назад
Mashaallah shekh wetu Allah Akulipe kwa darsa Zurich sana some tumelielew
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Amiyn
@ramadhanisaidi5580
@ramadhanisaidi5580 4 месяца назад
MA SHAA ALLAH. Masfunzo mema sana.
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Shukraan
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 4 месяца назад
MashaAllah
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Amiyn
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 4 месяца назад
Mashaaa الله
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
amiyn
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 4 месяца назад
Gloves yasaidia ngozi ya mwenye kuosha isigusane n maiti
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Tunatarajia Kuwaletea kipindi maalumu ya ili kujibu maswali yenu yote kwa usahihi
@MwanauluHaruni
@MwanauluHaruni 4 месяца назад
Sheikh katika huo wudhu vipi tunaanza upande wa kulia ama upande wowote?
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Wowote hamna shida lakini Sunna NI kutanguliza upande WA kulia kabla ya kushoto
@bakarkhamis2248
@bakarkhamis2248 3 месяца назад
Kuoga lazima utumie sabuni...vinginevyo ...umejipaka maji tu😅
@halimamghana2293
@halimamghana2293 4 месяца назад
Mbona umeanza na mkono wa kushoto?au unaanza tu mkono wowote???shekh
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Hakuna ubaya lakini katika Sunna NI kutanguliza upande WA kulia kabla ya kushoto
@bakarkhamis2248
@bakarkhamis2248 3 месяца назад
Huo ni uchache wa kuosha maiti ...kwa nn kama maji yapo tusifanye kwa ukamilifu sheikh wetu? 11:40
@chumaramadhani.7581
@chumaramadhani.7581 4 месяца назад
Nini matumizi ya sabuni katika kuosha. Maana hapo haukutumika, je kuna usahihi juu ya hilo?.
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Sabuni ina muhimu wake na ndio maana ikikosekana sabuni inapendekezwa kutumiwa majani ya mkunazi. Lakini zaid ninayakusanya maswali yenu nitayatengezea MADA kukujibuni kwa undani zaid
@setiseti5281
@setiseti5281 4 месяца назад
Maashaallah
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv 4 месяца назад
Shukraan
Далее
iPhone Flip станет ХИТОМ!
00:40
Просмотров 370 тыс.
Физика пасты Карбонара 🧪🔬
00:57
MCHAWI WA KIJIJ CHA LUAGALA
36:38
Просмотров 333 тыс.
JE UNAIJUWA GININGI "NYUMBA ZA WACHAWI "
15:08
Просмотров 30 тыс.
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
Просмотров 5 млн
iPhone Flip станет ХИТОМ!
00:40
Просмотров 370 тыс.