MAASHAALLAH HAYA NDIYO MAMBO WAISLAM TUNAYOYAHITAJI YANAYOTUFUNDISHA KUUFAHAMU UISLAMU WETU SIO KILA SIKU RADDI RADDI, TUMECHOKA NA UPUUZI WA RADDI ZISIZOTUELIMISHA KWA LOLOTE ZAIDI YA KUWAPA UMAARUFU WA KIDUNIA WALE WANAORADDIANA.
@@hassanWanjikuNdio Rasulullah alikuwa akilingania hivyo.Kwamba alikuwa anaenda kwa Makufari pale Makkah kisha anawaambia "NYIE WATU MAKKA,ACHE UKAFIR WACHAWI WASHIRIKINA WAKUBWA.Ndio njia hii sahihi za kukosoana katika Dini enh?
Mashaallah tabarakallah haya ndo mambo watu wanafaa kufundishwa Allah subhanallahu wa taala abariki haya si wale wanaochukua muda wao kutangaza ushirikina
Sabuni ina muhimu wake na ndio maana ikikosekana sabuni inapendekezwa kutumiwa majani ya mkunazi. Lakini zaid ninayakusanya maswali yenu nitayatengezea MADA kukujibuni kwa undani zaid