Mashaallah.. Allah mkubwa inshaallah hajj yako iwe kubul.. Hakika uislam ndio dining ya haki isiyo na ubaguzi na ni msingi wa mfumo mzuri wa maisha ya binadamu..
Allah amkubalie ibada yake na wengine,Mzee wetu huyu tuliagana Masjdi kabla safsri kwa kweli amefurahi sana kwa hilo.ukitaka ujue mengi muulize ilikuaje mpaka umefanikiwa hijja utacheka kwa mazingatio!.
Alhamdulillah .Allah akupe hajji mabroor. Viongozi ni lazima kuwaelekeza mahujjaji namna ya kujisaidia wanavopotea. Kwa mfano no ya mlango munaoutumia sana kuingia msikitini. Au hata vyoo vya msikitini pia vina no basi mukawa munanakuwa munawafatilia kwa humo.
Lakini wanatoka hawana namba za simu jina la hotel namba za hotel wasimamizi wanafanya sio ivo watu wanatakiwa wapewe full information na watebee nazo kadi zao wakipotea wanapigiawa simu marjent au wanajina na namba ya hotel wanafikishwa hotel ingekuwa kazi rahisi sana