Тёмный

Holy Trinity Studio - Wosia ( Official Music Video ) 

HOLY TRINITY STUDIOS
Подписаться 150 тыс.
Просмотров 2,5 млн
50% 1

Кино

Опубликовано:

 

19 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 744   
@achileskinono8602
@achileskinono8602 3 года назад
Naomba like yako kama bado unausikiliza wimbo huu
@user-uz8or3gi7z
@user-uz8or3gi7z 7 месяцев назад
Wimbo mzur
@michaelolande8763
@michaelolande8763 5 месяцев назад
2024
@BonifaceMusembi-tc7gm
@BonifaceMusembi-tc7gm 5 месяцев назад
Nyimbo zenu tamu kweli 1:21
@piuslyambisi7217
@piuslyambisi7217 3 месяца назад
Hongeleni mbarikiwe sana
@peninahngetich6945
@peninahngetich6945 2 месяца назад
😊😊😊😊😊😊😊😂😊
@josphatmanyange3128
@josphatmanyange3128 3 года назад
Nyimbo tamu tamu sana Wanakwaya wenzangu but Tanzania mko juu sana, Mwenyezi Mungu na awabariki sana pia padre wenu. Kenya twawatapua sana
@JemimaAyuma
@JemimaAyuma 13 дней назад
Maombi ya bamoja usaidia wemwenyewe unaeza kosa kujua shida yako kupitia kwamwingine unabona imani ya bamoja usaidia amen jion njema
@user-sx4yy6tm3g
@user-sx4yy6tm3g 2 месяца назад
Nimefurai kwakusikiliza wimbo uhu ninzuri sana n'a niosia mzuri kwawatoto wetu naMungu awabariki sana walioimba wimbo uhu.
@yasintamakongoro9458
@yasintamakongoro9458 3 года назад
Najivunia kuwa mkatoriki
@shaibuemmanuel191
@shaibuemmanuel191 3 года назад
Fahari ya Mtukula ...Wimbo Umetulia na Umefikisha Ujumbe Uliokusudiwa...Ahsanteni Sana
@dastanshega4343
@dastanshega4343 3 года назад
Ubarikiwe mtunzi Ubarikiwe pianist Mbarikiwe waimbaji Nimeipenda sana hii Imenifanya nione fahari juu ya kanisa takatifu katoliki la mitume.
@kwayayamwenyeheriemmanueld2255
@kwayayamwenyeheriemmanueld2255 3 года назад
Mwenyeher Emmanuel dalzon
@henryoreo2283
@henryoreo2283 3 года назад
na abarikiwe sana daktari kwenye kinanda!
@jacklinemethord6542
@jacklinemethord6542 3 года назад
Asante
@nestersanga7466
@nestersanga7466 3 года назад
Ujumbe mzuri kuna jirani kanikwaza nimrjikuta nafarijika mno. Kujua kusehe
@illomowerner7690
@illomowerner7690 4 месяца назад
Jamaaaaaani dada Nestaaa, dunia inapita...msamehe bure ila mshauri pia
@GosbertRomward
@GosbertRomward 22 дня назад
Ni wmbo mzuri sana inatufundisha tuwe watu wa kusamehe,hongera mtunzi
@kakulwa
@kakulwa 3 года назад
Nawapongeza mmefanya utumishi. Endeleeni na mausia kwa jamii. Mungu awabariki🙏
@mutiejulius2811
@mutiejulius2811 3 года назад
Wimbo wenye wosia kamili ,,,napendezwa na huo wimbo sana ,,hapa Kenya mwapendwa sana ,,,proud to be a Catholic
@faustinejulius9197
@faustinejulius9197 3 года назад
Wimbo mzuri sana nimepata faraja moyoni mwangu nimejifunza vingi kupitia wimbo huuuu
@johnmathias8172
@johnmathias8172 Год назад
Hakika kupitia huu wimbo nipo shule ninakiri kuupokea wosia huu nitauishi nakuufanya kuwa taa na Nuru katika maisha yangu yote
@marthakissima3335
@marthakissima3335 3 года назад
Nazidi kujivunia kua mkatoliki kupitia huu wimbo ,nimebarikiwa sana,Mungu azidi kuwainua jamani🙏🙏🙏😘😘😘
@venasiavicent5236
@venasiavicent5236 Год назад
Nyimbo zuri sana
@mosesedward316
@mosesedward316 Год назад
@@venasiavicent5236 àà
@modestanyamhanga9185
@modestanyamhanga9185 Год назад
Nazidi kujivunia kua mkatoliki kupitia huu wimbo🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️
@sikatendedidas7255
@sikatendedidas7255 Год назад
Namimi pia 🙏🏾
@MagrethAndrew-rc9bk
@MagrethAndrew-rc9bk Год назад
​@@venasiavicent5236m
@philomenakiilwa3033
@philomenakiilwa3033 3 года назад
Usikubali kukosana na mtu!!!!🙌🙌🙌🙌🙌 Mungu awatie nguvu muendelee kuinjilisha
@judithawuor3909
@judithawuor3909 11 месяцев назад
Judith from Kenya nimafurahi sana kwa wimbo huh thank you God bless you abandentley,
@robertmose2428
@robertmose2428 2 года назад
Wosia ulio na mafunzo kweli. Mbarikiwe wana kwaya wa Mtakatifu Kizito Makubuli.
@samwelsoka7179
@samwelsoka7179 Год назад
And the world we shall pass try to live everyone with peace❤❤❤ (waebrania 12:14)
@christampanju6805
@christampanju6805 3 года назад
Dunia inapita achana na mambo yake...mbarikiwe sana waimbaji kwa kuinjilisha❤❤
@happyfumbi1831
@happyfumbi1831 Месяц назад
❤❤❤
@janetkhainga6305
@janetkhainga6305 3 года назад
Hongera Sana mandugu jirani wa Tanzania kwa choir nzuri keep up mbarikiwe sana
@patrickmgeni7312
@patrickmgeni7312 2 года назад
Asant mungu you up Fuji l9guys 44ttttfgtpoo6yghuulllllkoly guy Byrd
@ElizabethMusyoka-go7eh
@ElizabethMusyoka-go7eh 3 года назад
Hongera kwa wimbo mtamu na wenye mawaidha mazuri mno kwa watoto wangu..nimeucheza mchana wote Hadi nikatamani kufika nyumbani Kenya na Tanzania
@ephraimrichard5558
@ephraimrichard5558 2 года назад
Nimebarikiwa Sanaa ,. Pia nimejifunzaaa ,. Na kunikushaa dunia ipojee ,. Asante I Sanaa God bless US
@benjamindenice53
@benjamindenice53 3 года назад
Mwakola mno, nmewaona watu wa nyumban wote nawafahamu, ila hii nyimbo ni nzuri sana, jitahidi kuitangaza itawatoa kwa kufahamika zaida
@user-be2fv3pg9m
@user-be2fv3pg9m Год назад
Wimbo huu una maudhui mazito sana,hongera sana mtunzi na wanakwayawote
@dativakimaro7640
@dativakimaro7640 3 года назад
Hongereni sana sitosheki kuskiza huu wimbo hakika ujumbe umefika salama kwa hadhira haswa vijana wetu, Upande wa mavazi mmeweza zaidi ya kuweza proud of you keep it up
@deogratiusngereza4002
@deogratiusngereza4002 3 года назад
fantastic Catholic song nimebarikiwa sana
@mpipiasenga2848
@mpipiasenga2848 Год назад
Eeeehhh,Nimesikia wimbo wenye Maneno Makubwa kweli kweli, Mungu Azidi kuwasaidia kweli,Mubarikiwe Sana,
@joeeinsteinogik1336
@joeeinsteinogik1336 3 года назад
Naupenda sana huu wimbo mbarikiwe Kwaya yetu ya MT. Daudi Parokia ya MT. Yuda Thadei-Mutukula 🔥🔥🔥
@reginaregina2702
@reginaregina2702 Год назад
Wimbo mziri sana mara nyingi nausikiliza
@herimariabeda4009
@herimariabeda4009 Год назад
Najivunia ukatoliki
@ElizabethShabani-bo5rn
@ElizabethShabani-bo5rn 6 месяцев назад
😵😵😵😵😵😵😵😵🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😒😒😒😒😒😒😒🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢
@vjsteve2546
@vjsteve2546 3 года назад
Wow! Wosia mzuri kweli...Mungu Mwenyezi akawanehemeshe zaidi waimbaji wa MT. DAUDI
@josehenry7333
@josehenry7333 3 года назад
Hongereni kwa wimbo mzuri na mavazi mazuri mungu awabariki.
@johnlimbu-bl4pi
@johnlimbu-bl4pi Год назад
Hongereni sana wana kwaya kwa wimbo mliyo imba mungu awabariki maana imenigusa sana 😃😆
@happynessgekondo8565
@happynessgekondo8565 Год назад
Nasema Asante mungu wangu kwa ulinzi wako mkuu kupita wimbo huu najivunia sanaa
@lazarodaudi1689
@lazarodaudi1689 Год назад
Hongereni sana Vijana wa Mutukula, wimbo mzuri sana 👏👏👏👏💕💕💕🔥🔥🔥
@DeborahJohn-pg6vc
@DeborahJohn-pg6vc 6 месяцев назад
Waooooo ameeen mimi nimejifunza vyema 🙌 kweny huu mwimbo be blessed
@justinapius8286
@justinapius8286 Год назад
Naupenda Sanaa huu wimboo Amina mung niongozee katik maisha angg
@julianamendi4899
@julianamendi4899 3 года назад
Wow. Mbarikiwe xna very nice song 🔥🔥♥️♥️
@abudiasleonard2992
@abudiasleonard2992 2 года назад
Pongezi zangu pikea
@gorethrweyemamu3724
@gorethrweyemamu3724 Год назад
Jamani huu wimbo nausikiliza mpaka basi. Naupenda sana sana siuchoki kuusikiliza. Ni mzuri mno. Catholic raha sana
@josphatbundi7654
@josphatbundi7654 Год назад
Wimbo mtamu kwa maudhui na sauti zilizolainishwa.Vyombo vilivyo lainishwa na visivyo na kelele💙💙💙👍👍
@arnoldrutaihwa3596
@arnoldrutaihwa3596 3 года назад
Wimbo safi kabisa... Sauti safi kabisa..
@patrickmkambilwa9932
@patrickmkambilwa9932 3 года назад
Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
@donchibya2012
@donchibya2012 3 года назад
Wameimba vizuri, pia kuna Ubunifu safi kabisa 👏👏👏
@mjasiriamalikwanza3973
@mjasiriamalikwanza3973 3 года назад
Kazi nzur
@rozadinamwaluko8498
@rozadinamwaluko8498 3 года назад
Kabisaaa nmebarikiwa vyakutosha
@yohanagabriel8554
@yohanagabriel8554 Месяц назад
Tusiishie kusikiliza,tuufikishe ujumbe huu katka familia zetu,hasa kwa watoto wakike.
@patrickmkambilwa9932
@patrickmkambilwa9932 3 года назад
Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa jalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
@stellaphilipo5112
@stellaphilipo5112 2 года назад
Kweli wimbo huu naupenda sana,, hongereni sana mliimba vizuriii na UJUMBE ni mzuri mnoo watoto wetu wakifuata watafika WATAKAPO kimaendeleo kwa kumshirikisha Mungu.
@picsandvidstv1348
@picsandvidstv1348 3 года назад
Wimbo mtamu kweli. Nimebarikiwa sana nikiwa hapa Kenya
@evastellakawira981
@evastellakawira981 2 года назад
I love this one million times I can listen to it a whole day 😉 Tanzania mmbarikiwa lot of love from Kenyans
@bibianamaisiba2477
@bibianamaisiba2477 Год назад
Soo touching indeed..be blessed Tanzania...nice message indeed..sooo wooow(◍•ᴗ•◍)❤
@albinMasawe-ix1cb
@albinMasawe-ix1cb 6 месяцев назад
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri sana hakika nimeinjoy
@msokasgallery8323
@msokasgallery8323 3 года назад
Good song, good message. I hope akina Nyamwi wamesikia. Nanyi Holly Trinity mmh...Yaani hata hamkosei!! Nitawatafuta brothers.
@msokasgallery8323
@msokasgallery8323 3 года назад
@@HOLYTRINITYSTUDIOS Amina. Nanyi mzidi kubarikiwa sana
@nesphorysungu4934
@nesphorysungu4934 3 года назад
Wondeful
@renatusmatungwa6800
@renatusmatungwa6800 3 года назад
Hongereni wimbo mzuri sana
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 3 года назад
Sauti safi Mavazi safi Utunzi safi, Kinanda safi Ujumbe safi Mbarikiwe sana, mwakola muno
@ktfamereeofficial
@ktfamereeofficial 28 дней назад
Ukweli 😊
@princessprisca8270
@princessprisca8270 3 года назад
Achana na urafiki. Urafiki mubaya . usije ukapotea dunia yenye giza 🥰🥰 asante sana 2mebalikiwa sana 🙏🙏🙏🙏 from tz 🇹🇿
@norahndanzi4146
@norahndanzi4146 10 месяцев назад
Wimbo mzuri sana umenigusa hadi nimewaita wanangu wausikilize kwa kutulia
@simbajeff9632
@simbajeff9632 3 года назад
Wosia-Ni wimbo mtamu sana,ni raha yangu nikiwa studioni niicheze wimbo huu wasikilizaji na mwashabiki wangu wafurahishwe na pia waelimishwe #TeamHolyTrinity #TeamKenyaTz
@damianimasakila8872
@damianimasakila8872 3 года назад
Mwenye copy anitumie wadau nimeguswa sana
@thebluesaddictconner2908
@thebluesaddictconner2908 2 года назад
@@damianimasakila8872 Naomba Nota
@shafysjhd7430
@shafysjhd7430 3 года назад
Mbarikiwe nyimbo nzuri watching from saudia.i real miss my church
@chrisantkalundabikayamba1548
Ee Bwana Yesu bariki maisha yangu na yawanangu
@YOSEFU8649
@YOSEFU8649 3 года назад
Wimbo mzuri sana na saut tamu na ujumbe maridhawa mbarikiwe wanakwaya wa Mt Daud
@Aaryahpro2022
@Aaryahpro2022 3 года назад
Kaka mutongore Ni Moto mwingine huu baada ya birthday yako kupita mwaka mwingine wa mafanikio hongera sana
@kaigamutongore8791
@kaigamutongore8791 3 года назад
Asante sana Elton.. Ubarikiwe saana
@wachirasammy694
@wachirasammy694 3 года назад
@@kaigamutongore8791 kaka hongereni sana. Naomba nota za huu wimbo
@Aaryahpro2022
@Aaryahpro2022 3 года назад
@@kaigamutongore8791 tuko pamoja kaka
@joshuasarutwe2412
@joshuasarutwe2412 3 года назад
HONGERENI SANA FROM MWL. JOSHUA S SARUTWE(MTAMBO MAN)
@joshuasarutwe2412
@joshuasarutwe2412 3 года назад
OGANIST NI NANIIII HAPOOO( DVD TUNAOMBA NA OGANIST AONEKANEEE HAPOOO)
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 3 года назад
Hongereni sana wanakwaya wa Mt Daud patokia ya Mt Yuda Thadei Mtukula Mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji.
@vitaliswafula9973
@vitaliswafula9973 2 года назад
I just like the message in the song,"Usikubali kukosana na MTU Kwa sababu yoyote Ile"
@ananiaaugustino7643
@ananiaaugustino7643 3 года назад
Kazi nzuri sana,Hii fundisho kubwa,Nimewapenda sana,Mama Bikira awaombee kwa Mwanae hekima na busara za nyimbo hizi zitufundishe
@gavanatheboss9093
@gavanatheboss9093 3 года назад
Aminah kwa ujumbe mzur hasa sisi tunaoishi mbali na wazaz🙌🙌🙏🙏
@regisininahazwe310
@regisininahazwe310 3 года назад
Mungu awabariki sana kua fundisho hio ! From Burundi 🇧🇮🇧🇮
@regisihimbazwe4005
@regisihimbazwe4005 3 года назад
I found my namesake. Thank you Lord 🙏
@lutasweetbart3987
@lutasweetbart3987 2 года назад
gongera cna burundi
@user-nh7nf9px5e
@user-nh7nf9px5e 6 месяцев назад
Encouraging song mtumishi Anastasia..kongole naye Mungu akujalie miaka nyingi ya utumishi 🙏🙏
@RemyMNgabo
@RemyMNgabo 3 года назад
Wimbo mzuri ambao wanikumbusha mahagizo niliyopatia watoto wangu kila wanapoenda shule mbali na sisi wazazi
@fredrichard5192
@fredrichard5192 3 года назад
Amina Amina, amani ya Mungu iwe juu yenu Roho Mtakatifu awaongoze tena zaidi ya hii na mbarikiwe nyote
@cevinmlimira6303
@cevinmlimira6303 3 года назад
Wosia uliojaa ujumbe mzito, kweli mmetisha.
@julianamkola4657
@julianamkola4657 2 года назад
Mungu awabariki sana mwendelee kusimama Imala Kwa kuinjilisha neno la mungu wimbo huu unanibariki sana
@josephinejoseph6572
@josephinejoseph6572 2 года назад
Wimbo mtamu sn. Mungu azidi kubariki vipaji vyenu
@collinssiyame223
@collinssiyame223 Год назад
Mungu azidi kuwabariki sana Alex kapirimposh 🇿🇲🇿🇲🇿🇲💓💓🌼
@annnyawira466
@annnyawira466 11 месяцев назад
I heard a colleague listening to this song I went searched for it. I thank God for this voices. Mother Mary pray us
@gloriousn6425
@gloriousn6425 3 года назад
Wow, just WOW This is mind blowing, uimbaji wenu , mpangilio wa sauti , mavazi, ujumbe. ...... vyote vyamtukuza Mungu Mmenikumbusha choir flani ya arusha sikuimbuki wanaitwaje waliwahi imba a wimbo entitled** NANI KAMA ZAKAYO*
@beritahgakii6326
@beritahgakii6326 2 года назад
Love the song nice message .hata nikue nimekasirika.nisikilize the song I feel relieved .hongera wanadaudi.
@maryngina2295
@maryngina2295 2 года назад
Can't get enough of this song, very educative song. May God bless with greater minds for more ones. Mary ngina from machakos Kenya
@MatendoMenganyi-xq8lx
@MatendoMenganyi-xq8lx Месяц назад
God is in you all, be blessed forever guys.
@rithaedmonds3129
@rithaedmonds3129 Год назад
Najivunia kua mkatoliki jamani had raha sana nyimbo nzuri sana
@user-wm6hx1ew5v
@user-wm6hx1ew5v 10 месяцев назад
Hongereni kwa kazi nzuri mungu awabariki sana nimeupenda wimbo jamani
@LaudisLiveti
@LaudisLiveti 17 дней назад
Hongeren sana wanakway natutayafanyia kaz mafundisho mliyotupa kweny hu wimbo ❤❤
@collinssiyame223
@collinssiyame223 Год назад
Ongeleni sana mungu azidi kuwabariki na awapemaisha mema namarefu amen 🇿🇲🇿🇲😆💓
@RevocatusJames1212
@RevocatusJames1212 2 года назад
Nmebarikiwa sana na huu wimbo.Kama vile mt augustino alivyosema kuimba nikusali Mara mbili,hakika nimesali na nmeupata usia huu mtamu.....hongereni mno kwa uimbaji
@glorypeter6526
@glorypeter6526 3 года назад
Mt Daud mmefikisha ujumbe kwa wimbo mzuri maana dunia sio mbaya wanadam ndo wabaya ukikubal kukosana shetan anakutumia ,Holy Trinity hongera kwa kazi nzur video iko clear hongera kwenu kwa wanakwaya kwa uinjilishaj 🙏
@happymakweta2000
@happymakweta2000 Год назад
Nimekua machozi ya furaha kwa ajili ya huu wimbo
@happymakweta2000
@happymakweta2000 Год назад
@@HOLYTRINITYSTUDIOS nimelia machozi ya furaha kwa huu wimbo mbarikiwe sana
@josphinewanjiru3709
@josphinewanjiru3709 2 года назад
I love the song,,,hongereni wapendwa wa yesu
@hansbertmkonji8677
@hansbertmkonji8677 3 года назад
Holy trinity you are always the best. Yaan wimbo umenikosha Sana
@safinyasa
@safinyasa Год назад
Wimbo wangu siku zote huu, Naupenda sana aisee
@carolanita5015
@carolanita5015 3 года назад
Wimbo mzuri sana asanteni
@proscoviapastory3831
@proscoviapastory3831 2 года назад
Hongera sana mmetisha. Huu wimbo nakupenda sana.
@jumasollo4055
@jumasollo4055 3 года назад
Aminaa...!!! Msamaha ni kila kitu kwa maisha yetu
@beatricekamau6791
@beatricekamau6791 15 дней назад
My home parish proud of you. Always in my heart keep up the faith and let our parish shine. Kuiina ni kohanya keri
@beatricesato151
@beatricesato151 3 года назад
Wimbo mtamuu...enyewe sameha mara sabini...sio vyema kuwa na kinyongo na MTU..mbarikiwe milele..nawapenda
@VincentKompany-f7r
@VincentKompany-f7r 7 дней назад
Kwaya hongera kwa kutoa mafunzo kupitia nyimbo na kufanya kanisa katholiki kungaa❤
@davidkasala5727
@davidkasala5727 Год назад
Amen 🙏,,,,,,,,,,,,mwaka mwingne Pia unakarbia nazid kubarikiwa kutpia huu wimbo ,,,,,,#I wish merry Christmas #
@odenlubida1722
@odenlubida1722 2 года назад
Kiukweli nabarikiwa mno ninapousiliza wimbo huu mbarikiwe sana nyote.
@chenjachamilions258
@chenjachamilions258 3 года назад
Mbarikiwe nyote washiliki mulioweza kukamilisha kazi hii Mungu yupo pamoja nanyi 🙏🙏🙏
@tonnytonito1536
@tonnytonito1536 3 года назад
I cant get enough of this song!!! Haki listening 👂 all the way from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@shafysjhd7430
@shafysjhd7430 2 года назад
Nice Song be blessed
@diogenescronel7577
@diogenescronel7577 3 года назад
Wimbo huuu unapenya mpaka moyoni hakika wosia umefika. Mbarikiwe sana
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 года назад
Kwaya ya mtakatifu Daudi sig'rendi jamani.mjitahidi mavazi wanawake.pia hongereni kwa wimbo mzuri
@alphoncehwai4914
@alphoncehwai4914 3 года назад
Asanteni sana kwa wimbo huu mzur unafundisha na kuelimisha
@moseskazungu1158
@moseskazungu1158 Год назад
Wazungu wafanya vibaya kututenganisa ,nawanduguzitu ,Uganda Rwanda Burundi 🇧🇮 na Congo, na Kenya 🇰🇪 Mavazi yetu yakinyege,,Natalie zetu,nawomba Mungu atubariki ,East Africa tuwe kwa omojja,mungu awabariki,
@shallonmusa8773
@shallonmusa8773 11 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤good song.i proud to be a catholic
@lenahabraham6624
@lenahabraham6624 3 года назад
Kwa kweli naupenda wosia ulioko katika wimbo huu
@theaccuracy0145
@theaccuracy0145 3 года назад
Mungu wa kwel anayeishi juu mbinguni awe nanyi mzidi kutuinjilisha🙏 niko na furaha sana 😊
@emmanuelbanni939
@emmanuelbanni939 2 года назад
Kazi nzuri sana hongereni kwa wote na Mungu awabariki
@yasintaissala7613
@yasintaissala7613 Год назад
Wimbo mzur sana wenye nasaha nzur mbarikiwe daima wapendwa 💕💕
Далее
SITABAKI KAMA NILIVYO (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
7:25
Naomba Baraka by- Kmk Queens St. Kizito Makuburi
6:34
Anastacia Muema- Wema Wako Wa Ajabu (Official Video)
4:32
CATHOLIC MUSIC MIX
3:28:08
Просмотров 3,6 млн
Не живём, а выживаем💪🏻😂
0:56