Huyu Mzee amewatabiria vizuri Mr. Tasha na Zatiti b'se wanapendana wakioana itakuwa vyemaa zaidii. Nimatumaini yangu wataoana bila shaka kabsaa kama unaamini hivyo wekaa like❤❤ na Maua🎉🎉 hapo!!
Ila wazazi mda mwengin Wana fail utamuaninije mtu ambae unaemuona kwa mda tu hujui katokea wapi Wala amefikajefikaje apo...pole Sana Tasha 😢ila nnaimani furaha Yako ni Zatiti na ipo siku atakuwa wako tu uyo kamkindee atafte kipapaa uko😂😂
Kwel mama wa mister tacha hajui kituu lakin mwenyezi munguu atamupitiya kwenye macho atakuja kuyawona naamini kwel zatiti atawolewa n'a zatiti n'a wapate watoto
6 mins ila acha ni coment saiv hatuzungumzii ndoa nya kai na zuuu saiv ni tasha na zatiti ila busati daa nyie mnajua kuonesha sers yaani kwa cku mara 2 hongera yenu