Ila hawa wapumbavu wawili chenga wote nataka sitaki hata hawafikirii sherehe ikiisha itakuaje wanaangalia tu sherehe kwasababu wanajua hata wasipiweza kulipa huo mkopo wataenda kukaa kwa kai huo ni ujinga mtupu kama na wewe umeona gonga like 👍 hapa
Kama umeona baba kai akiongea na simu bila kupokea mnipe like hapa man ameongea then ndio akakata we kuweza 😂😂😂amechemsha leo baba kai 😂😂😂❤❤❤ila mumeweza pia
awa wapumbavu wawili ndio wanao fanya bange ionekana mbaya wakati uku konde gang ni oya oya jeshiiiiiiiiiii😅😅😅😅😅😅😅.mashabiki wamemisssssss kaiiiiiiiiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤