@@busatitv mbona mnatuweka roho juu jamn kutwa tunachungulia muendelezo tupen bas tatiba kama j2 na j3 amrushi tuwe tunajua msituganyie hivyo lakin kisa tumependa
Nimewahi team strong 💪 team zuu naona alipofika huyu boss sioni kma kuna harusi tena 😭😭😭huku nako sania hana ndoa tena kamrudia shida kumuomba msamaha 😂😂😂kma waamni zatiti na Tasha wataoana gonga likes tukisonga 😂😂
Kuna mtu ako karibu na Sania amuekelee kofi moja mzuri sana nitaleta jibu badae 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anyway Kenya tupo macho wazi kutazama housegirl alfu Hii arusi ya Kai na Zuu ifanyike emergency
Wa kwanza leo jamani hivi huyu kai anatakaje mbona simuelewi ole wako kai usimuoe zuu utaniudhi sana but much love kama unamukubali zuu na kaii mnipe like zenu na comment zenu basi hata kama ni tano ❤❤❤❤❤