Wanfuga ndevu kama mtume, hawavai isbali kama mtume, hawamzushii hufuata yale aliyokuja nayo ibada zao huziegemeza kwa dalili kutok kwakwe wala hawazitangulizi akili zao mbele ya mafundisho yake.. bila shaka wanofany kinyume chake ndio wasiompenda utakut shikh wa kikhurafu kavaa kanzu iina buruza chini, kidevu cheupee, mganga kam kina Dr.sule afu useme anampemda mtume? Mche Allah
Elimu ya mawahabi ni mtihani ukijaribu kuwafuta sijui M. Mungu ndie ajuae, sasa kwenye Atahiyatu swala ya mtume imo Saiyidina Muhammad leo eti tuitowe tuweke nini bass nyie mawahabi leteni yenu swala ya kumswalia mtume
ni kweli wao siku zote dini yao ni ile iliyoelekezwa na mtume kwa ufahamu wa wema waliotangulia,sio kuacha mlango wazi kila mwenye jambo lake akidhani tuu ni zuri basi laingizwa katika dini
Hawa masalafi ni malimbukeni Wamepata elimu kidogoo imekuwa keroo kwenye jamii hatuna rahaa Kila kitu wao haramuu .ila Cha ajabu wanaitikadi za kufruu hasaa Wala hawasemi kama hazifai 😂😂😂