Katika kuhitimisha hoja ya bajeti ya Wizara ya Kilimo iliyowasilishwa siku ya jana na Waziri wa Kilimo Mhe. Husseni Bashe, leo Wabunge waliendelea kuchangia bajeti hiyo ndipo Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina alipochangia mchango hiyo
Mh bashe kama hawakuelewi nikwamba hawataki tu sio kweli kwamba haueleweki we chapa kazi Mkuu ikimpendeza mungu siku moja utakua final say ktk nchi hii niswala la wakit na majira tu.
This is the right, well informed patriotic citizen of Tanzania. I like his firm stand on facts and data. The power to process info is great. We need such committed citizen who never betray their country. He is an ordinary man but his articulate vision is an asset
Ndoto yangu kwako imetimia sasa nikuombee tena nn jamani hata sijui sasa nikuombee nn ilanamwachia Mungu akupe unacho stahilo Hussen Bashe waziri wetu nakupenda sana kwakweli Mungu amekuona amekupa uwaziri na ndio atakaye kuona ktk hilo unalo stahili nahitaji hata kukuona Mweshimiwa nipate japo nafasi nikupe la moyoni na uniongoze pia
Mh Waziri tuletee mbolwa za soil nutrion kulingana na Aina ya Ardhi zilivyotafitiwa. Tusing'ang'ane na aina fulani tu za mbolea. Kweli Mh siasa isituharibie kilimo. Pambana kishujaa. Wakulima tuko nyuma nyako. Ardhi zingine zimeshachoka zinaitaji kurudishiwa afya yake (soil nutrition).
Mpendwa mbolea ndo hizo na hazina ubaya kinachobadilika ni dosage ama recomendation kulingangana na virutubisho vilivyo katika udogo wa sehemu husika na ili ujue udongo wako unahitaji mbolea kiasi gani basi inabidi waje wataalam shambani kwako wachukue samuli za udongo na kuupima baada ya hapo watakupa kiwango sahihi cha mbolea kinachohitajika shambani kwako.
Ulitaka amuache apotoshe?? Kwan Tz tunaviwanda vngap vya mbolea useme wizara ndo inapandisha bei, haya mambo ya mbolea mafuta n mambo ya dunia and there is no excuse
Kutoka 1:8,10 [8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu. Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph. [10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii. Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.
Poole Luhaga mpina huyu sio level yako! Jiandae kwa ukweli na si siasa za kumchafua huku ukweli ukiujua.Uliyoyafanya ukiwa waziri ukitaka tutakukumbusha.Bashe is another level na ni hazina ya taifa hili
Haya Mpina Tender hiyo ya Tani 4000 lete USHAHIDI, Tenda umepata, Bashe kasema wazi tumemsikia mie SHAHIDI yako endapo utaleta Ushahidi wako halafu akunyime Tender weeeee
Wengi wana-comment kwa Mihemko tu humu.Yaani kama waziri Bashe asinge simama basi kila mtu angemuona Mpina ni Shujaa.Ameulizwa Maswali mengi ya Msingi hapa lakini anajibu kwa Panic,why you people want to establish Bank ya Ushirika haliyakuwa wakulima tayari wanayo bank yao? Na ikiwa BOT ndio ya Toa Sera,mbona basi msiiweze Bank iliyopo Sasa? N.k,ingawa nampenda pia Bw.Bashe.
BASHE NI MZALENDO WA KWELI NAKUOMBEA AKIUALIE UWE RAIS WA TAIFA HILI ILI TUJE TULE MEMA YA NCHI YETU!!! HAKIKA WEWE NI MZALENDO KUTOKA NDANI YAMOYO WAKO, TUMEWAONA WENGINE NI WAZALENDO WA KUVAA MASHATI YA RANGI YA BENDERA YA TAIFA, WANAVAA TAI YA RANGI YA BENDERA YA TAI KUWASHIRIA KUWA NI WAZALENDO KUMBE NDANI YAO NI MBWA MWITU, TUKILALAMIKA JUU YA MAMBO KADHAA YA YASIYO FAA WANATUAMBIA TUHAME TWENDE BURUNDI LOOH!!!
For someone who knows this good english,is it really that hard to say,"it is very dangerous"😒instead of "it is very danger!"? Viongozi mnatuaibisha bhana
wewe bashe usilete maneno mengi ya kuzungumzia jimbo la mpina ss halitusaidii zungumzia utatuzi wa changamoto ya mbolea ishuke bei..usilete uswahili mwingi apa
@@mhiyaoswedi4499 nimesikia vitu vingi, wazir hatakiwi kuzungumzia jombo la mtu...anatakiwa azungumzie utatuzi wa mbole sisi tunaolima tunajua maumivu ya mbole..maswala ya kuzungumzia jombo la mtu halitusaidii hayo mambo yakuchambana ni maswala ya kike! wewe akizungumzi Jimbo la linakusaidia nn? Labda Kama unaishi kwenye ilo jombo la mbina sawa..serikali ujitahid iweke ruzuku kwenye mbolea kama nchi za jirani zetu walivyofanya..
@@mhiyaoswedi4499 hapana nimesikiliza mwanzo mpaka mwisho...ukisha kuwa bungeni na wewe ni wazir jibu mambo ambayo ya msingi mfano mpina alizungumzia maswala ya bank mana Kuna baadhi ya bank zingine zinaanzishwa kwa ajili ya upigaji anataka tuanzishe banki ya ushirika wakati bank ya kilimo bado haiko sawa wala haijawezeshwa vizur ilikusudi wakulima wapate mikopo nafuu na isiyokuwa na riba kubwa! lakini mpina alitoa ushauri mzuri kuwa tusianze kuanzisha mabanki ambayo tunaanzisha mwisho wa siku hatufikii lengo tunaanzisha kitu kingine...mana Kuna watumishi wengine sio waaminifu wanakula izo ela! yeye anasema kuwa soko la dunia mbolea imepanda nchi za wenzetu wameweka ruzuku kwenye mbolea ndio manaa ipo bei ya chini ata yy mwenyewe ametoa takwimu kuwa wemeweka ruzuku,alafu sisi tunaviwanda vya mbole kwa mfano kile Cha Arusha minjiku..kwa nini serikali isiweke ruzuku ili wakulima tupate unafuu..sisi uku tumelima kidgo kwa sababu ya bei ya mbolea imeshout kwa kasi Sana kutoka elfu 50 mpaka laki na 20 na 30 mfuko mmoja na huwezi kulima kwa mbolea ya aina moja Kuna Dap,Urea na Can bro kama wewe ungejua changamoto jinsi zilivyo, ila kama sio mkulima utaona kitu Cha kawaida Kuna watu wameamua tu kulima bila mbolea ukienda kuangali shambani hakuna kitu...
" ....very DAGER !" hahaaaaa! Hakuna kitu huyu mtu. Kelele tu na upigaji mwingi. Tunamjua Bashe na Rostam Aziz wake. Bashe anapotosha kabisa! Ameulizwa mambo mawili muhimu: 1. Benki ya ushirika na 2. Bei ya mbolea. Anaeleza bei ya mbolea kwa uchungu utadhani kweli ana niya njema na kukwepa la benki ya ushirika. Ukweli ni huu; 1. Benki ya ushirika ni mipango yao wafanyabiashara ambao ndo sponsors wake ktk siasa. Hataku kueleza kwa nini anaachana na benki ya kilimo ambayo ipo, sasa nakimbilia ushirika. huu ni ujinga tu! 2. Mbolea ilipanda kabla ya vita ya ukraine. Hizo bei za mbolea nazotaja duniani siyo bei halisi maana hajaeleza ni bei kwa uzito gani. Bei zimeharibika mikononi mwake kwa kudekeza wafanyabiashara wake. 3. Historia ya miaka ya 90 anayosema kwamba yalikuwa maamuzi ya watanzania wote, huu ni ujinga! Ni serikali ndo hupeleka sera Bungeni na kulazimisha zipite. Sera nyingi hupita baada ya wafanyabiashara na wanufaika kuwahonga wanasiasa. Kwenye mafuta ilikuwa hivyo enzi za waziri Mkulo akaondoa kodi baada ya kuhongwa na wahindi wanaoagiza mafuta toka Malaysia!! RUBBISH!