Jumbe kama jumbe. Hussein . mwamba WA MUZIKI WA DANSI. Mfia dansi la Tanzania Yetu.apewe tuzo jamani BASATA CHONDE CHONDE...HATA FAMILIA YAKE ITAFARIJIKA KWA NIABA YAKE. JAPOKUWA AMEITWA TAYARI NA MUNGU.
Nimeutafuta huu wimbo leo hii kuelekea siku ya mama duniani kesho .. huwa naona maneno yako kuhusu mama ni kama umeniimbia mimi..Mama yangu amenitoka mapema sana sana muda ambao nilikuwa namuwazia mema na kumtunza zaidi lkn Mungu ndiye alimpenda zaidi na kumchukua. Ulale salama mama yangu bado nakulilia na nakushuru sana sana. Rest in Peace Jumbe🙏
R.I.P jumbe wa tz tunakitu cha kujifunza juu ya mwimbo huu naumia sana kama ata yeye alie imba kwajili ya wenzake nayeye piaeo hii ayupo kweli dunia tunapita2
😭😭, dah! Hata ww leo haupo juu ya huu mgongo wa ardhi. Allahuma ghafirlahu yaa rabbil-alamiin, machoz yamenitiririka hata mm kwakua sikujui niendako na mm nasikia hivohivo kua panagiza matendo yako mema ndo mwanga wako.
Watanzania tumerogwa! Htuna mziki wetu! Ni kuiga tu! Hili ni Rumba la Congo. Kilchobadirika hapo ni lugha tu,kuimba Kiswahili. Sisi Watanzania ni wehu kweli! Hakuna hata mwanamziki yeyote Wakitanzania anayefikiria kubuni mziki wetu! Hii ni laana!
Mara ya kwnz nauckia uu mwimbo ulikua mwez km wa6hv yn ilikua mda wt nauckilza kumbe naenda kupata majib kwnn niliupenda nenda Mama watoto wang😂😂😂 cku mj tutakutana tn Aziza upo wap mama angu b Abiba upo wap nalia mm nalia ❤❤❤❤
Watanzania tumerogwa! Hatuna mziki wetu! Ni kuiga tu! Hili ni Rumba la Congo. Kilchobadirika hapo ni lugha tu,kuimba Kiswahili. Sisi Watanzania ni wehu kweli! Hakuna hata mwanamziki yeyote Wakitanzania anayefikiria kubuni mziki wetu! Hii ni laana!