Тёмный

Hussein jumbe- Nipe kitambaa (kilio cha swahiba 

Hussein Jumbe
Подписаться 2,2 тыс.
Просмотров 205 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

17 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 99   
@salomefelix2052
@salomefelix2052 5 месяцев назад
Jumbe kaka yangu. 2024. Nakuita kaka uko wapiiiiiii!!!!!
@LovenessDaud
@LovenessDaud 4 месяца назад
😢😢😢
@RamadhanKitama
@RamadhanKitama Месяц назад
😢😢😢😢😢
@MzangeFikira
@MzangeFikira 6 дней назад
Jumbe
@salomefelix2052
@salomefelix2052 Год назад
Jumbe kama jumbe. Hussein . mwamba WA MUZIKI WA DANSI. Mfia dansi la Tanzania Yetu.apewe tuzo jamani BASATA CHONDE CHONDE...HATA FAMILIA YAKE ITAFARIJIKA KWA NIABA YAKE. JAPOKUWA AMEITWA TAYARI NA MUNGU.
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 Год назад
Daaah nakumbuka tulikua tunaoshi pamoja temeke mtaa wa TP jamaa alikua mstaarabu sana daaah
@kanyaruchollah
@kanyaruchollah Год назад
Pumzika kwa Amani Mzee wetu Jumbe...Jabali la Rhumba Music 🙏
@juliustweneshe5150
@juliustweneshe5150 7 месяцев назад
Ni mfano mzuri wa wanamuziki waliokuwa wanatumia kipaji, utaalamu na umakini katika tungo zao. Mungu Aluweke mahala Pema Peponi. Amina
@NeemaElibariki-iw6qi
@NeemaElibariki-iw6qi Год назад
Nmelia karibu lisaaa limoja nilikuw a cjawah uskia huuu wimbo R.l.p mamayangu 2020
@allykilyamanda4553
@allykilyamanda4553 Год назад
Pole sana
@sylviaoum2943
@sylviaoum2943 Год назад
Nimeutafuta huu wimbo leo hii kuelekea siku ya mama duniani kesho .. huwa naona maneno yako kuhusu mama ni kama umeniimbia mimi..Mama yangu amenitoka mapema sana sana muda ambao nilikuwa namuwazia mema na kumtunza zaidi lkn Mungu ndiye alimpenda zaidi na kumchukua. Ulale salama mama yangu bado nakulilia na nakushuru sana sana. Rest in Peace Jumbe🙏
@BakariSiago
@BakariSiago Месяц назад
R.I.P jumbe wa tz tunakitu cha kujifunza juu ya mwimbo huu naumia sana kama ata yeye alie imba kwajili ya wenzake nayeye piaeo hii ayupo kweli dunia tunapita2
@leonihugolinmark1181
@leonihugolinmark1181 Год назад
R.I.P nguli wa muziki wa rhumba muda mwingi nimekuwa nikiskiliza nyimbo zako wakati nikiwa na mawazo sana na zilinifariji sana
@salomefelix2052
@salomefelix2052 5 месяцев назад
Mapenzi ya Mungu yatimizwe.....haumbi tena JUMBE Umelala moja kwa moja ,,,tuendako hatupajui.
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 3 года назад
So sad 😢! Kifo kimemchukua Tena rais wetu Jembe,mwamba JPM maskini!Asante Hussein Jumbe kwa burudani yenye huzuni. Napenda sana nyimbo zako
@adammwasenga9704
@adammwasenga9704 Год назад
Thank u
@user-ry2vl3yg2y
@user-ry2vl3yg2y 9 месяцев назад
Kama ulikua unajua. Nahuu wimbo utadumu sana ujumbe mzuri sana. Mungu ailaze roho Yako peponi
@kingwasalasala2505
@kingwasalasala2505 Год назад
Mwamba mwingne wa dansi amelala..dah jumbe r.i.p bingwa
@yusuphnyarugezi4750
@yusuphnyarugezi4750 Год назад
Pumzika Jumbe!!!,No way.
@bulunjamalimikulwa4876
@bulunjamalimikulwa4876 Год назад
😭😭, dah! Hata ww leo haupo juu ya huu mgongo wa ardhi. Allahuma ghafirlahu yaa rabbil-alamiin, machoz yamenitiririka hata mm kwakua sikujui niendako na mm nasikia hivohivo kua panagiza matendo yako mema ndo mwanga wako.
@fatmachambotanzania9379
@fatmachambotanzania9379 5 лет назад
Pole baba kwel una simanzi ila kazi ya Mungu haina mokosa wimbo mzr hakika mdondo mlikua hamna mpinzan
@justinsamwel4946
@justinsamwel4946 Год назад
Dah! Kweli Kifo ni chetu Yani uliipa kifo leo unakufa wewe dah😭😭
@Chida
@Chida Год назад
Punzika kwa amani mzee wetu Jumbe
@OliverNyoni-lj9un
@OliverNyoni-lj9un Год назад
Mungu ailaze roho ya marehemu hussein jumbe
@rashidichambo5507
@rashidichambo5507 Год назад
Ulilia maswahiba zako leo umewafwata R I P hakika ulikijua kifo chako
@mwalimudotto844
@mwalimudotto844 2 года назад
Hongera hussein jumbe kuwakumbuka wanamuziki wenzio walio.twawafu
@webstersinje7712
@webstersinje7712 6 лет назад
Ubarikiwe Mzee Jumbe,ujumbe ni mujarabu hauwezi kufutika....Kunta...Kinte.
@alfredmambo5240
@alfredmambo5240 4 года назад
Mzee wa KIVINDO...kazi nzuri sana.
@mohamedkarish2646
@mohamedkarish2646 3 года назад
Wooote wenye vipaji wametangulia, umebaki wewe na mzee bitchuka ooh!! Vipaji vingi vimetàngulia
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Год назад
Hiyo kunta kinte Sina mbavu uwiiiiiii😂😂😂😂😂
@sizyajuma1801
@sizyajuma1801 Год назад
pumzika kwaamani, baba, yangu, mzazi 😭😭😭😭😭
@kijanamatata7135
@kijanamatata7135 Год назад
Pole sana mkuu, I feel your pain......
@selemanshidda9688
@selemanshidda9688 2 года назад
Watanzania tumerogwa! Htuna mziki wetu! Ni kuiga tu! Hili ni Rumba la Congo. Kilchobadirika hapo ni lugha tu,kuimba Kiswahili. Sisi Watanzania ni wehu kweli! Hakuna hata mwanamziki yeyote Wakitanzania anayefikiria kubuni mziki wetu! Hii ni laana!
@abdallahgaillah7650
@abdallahgaillah7650 Год назад
we msenge kweli rhumba la kicongo ndo lipo ivo ebu tuache
@matemurevocatus2361
@matemurevocatus2361 6 месяцев назад
Buni wewe umekalisha komwe lako tu juani kulalamikaa
@muhammadnyaume8415
@muhammadnyaume8415 Год назад
Rest in peace legend Hussein. Heads up from Nairobi Kenya umoja peackock.
@user-ec3rg3sk8x
@user-ec3rg3sk8x Год назад
Pumzika kwa amani mzee jumbe
@jacksondismas4109
@jacksondismas4109 Год назад
Dha hii nyimbo inanikumbusha kifo cha pacha wangu ..R.I.P PACHA WANGU ERICK ...NA R.I.P JUMBE
@user-kh7mx7up4w
@user-kh7mx7up4w 10 месяцев назад
Pole sana kazi ya Mungu haina makosa Mungu awasamehe ndugu zetu vipenzi vyetu walitangulia mbele ya haki
@ridhiwanmwakasie7009
@ridhiwanmwakasie7009 Год назад
Hatimae kifo kimekuchukua Allah akupe mwisho mwema
@FredChaki-jb8zj
@FredChaki-jb8zj 18 дней назад
R.i.p nguli wadance tutazidi kukuombea
@idrisalubwaza3028
@idrisalubwaza3028 Год назад
HUSENI MM NAOMBA RIDI HIYO UIRUDIE USHIRIKISHE WENZIO NANGIAA RIKO SIOO
@arambawaziri1252
@arambawaziri1252 Год назад
Upo wapi? MAMA na BABA yangu 😭😭😭 kifo cha sasa kama Upepo😭😭😭 R I.P Jumbe
@user-kh7mx7up4w
@user-kh7mx7up4w 10 месяцев назад
Pole sana ndugu kazi ya Mungu haina makosa Mungu awasamehe ndugu zetu vipenzi vyetu walitangulia mbele ya haki
@ObaMizo-oc1wq
@ObaMizo-oc1wq 2 месяца назад
Huu wimbo una majonz sana
@PeterShikoli
@PeterShikoli Год назад
❤ napenda sauti
@webstersinje7712
@webstersinje7712 5 лет назад
Sichoki kuusikiliza huu ujumbe masikio mwangu maana kifo ni jambo letu sote halina ubaguzi hata kidogo....Kunta...Kinte.
@user-sp7ri3yf3t
@user-sp7ri3yf3t 7 месяцев назад
Daa jamani R, I, P
@MuntariMapenzi
@MuntariMapenzi 11 месяцев назад
Mara ya kwnz nauckia uu mwimbo ulikua mwez km wa6hv yn ilikua mda wt nauckilza kumbe naenda kupata majib kwnn niliupenda nenda Mama watoto wang😂😂😂 cku mj tutakutana tn Aziza upo wap mama angu b Abiba upo wap nalia mm nalia ❤❤❤❤
@walternnko2811
@walternnko2811 5 лет назад
Bonge ya rhumba, Jumbe nakukubali sana
@MonaMuna-t9i
@MonaMuna-t9i 5 месяцев назад
Hussein jumbe mungu akusamehe dhambi zako bado tunakukumbuka sana👏
@kcl2018-s4b
@kcl2018-s4b Год назад
rest in piece legend
@shabanmohammed3439
@shabanmohammed3439 Год назад
Pumzika kwa aman jumbe tutakukumbuka Daima
@AthumanNjechele
@AthumanNjechele Год назад
Mwendo umeumaliza kapumzike kwa amani
@selemanbuluba6146
@selemanbuluba6146 Год назад
Old is gord
@rahmapelembela-oq4yd
@rahmapelembela-oq4yd 6 месяцев назад
Mungu akuondolee adhabu ya kaburi nimekukumbuka sana shemeji❤
@salvatorybangi2151
@salvatorybangi2151 Год назад
Pumzika kwa amani Hussein Jumbe 😭😭😭
@HasnaMpakanjia
@HasnaMpakanjia Год назад
Sisi ni wa Allah na kwake tutarejea.....
@mudikiongozi9505
@mudikiongozi9505 2 года назад
Dah ama kweli kifo hakina huruma tuwaombee ndug zetu walitangulia
@timotheontibayaga-lq2xx
@timotheontibayaga-lq2xx Год назад
Watanzania wanafiki wakubwa alipo kuwa hai mlikuwa hamusapot kaz zake kafa ndo mnajifanya mnafutilia
@reginadaud9909
@reginadaud9909 Год назад
Ni kawaidaa hata adui yako akifa utajikuta unampenda ghafla kifo ni kifo
@judithmdami41
@judithmdami41 Год назад
Duh Jamani H. Jumbe tutamkumbuka Daima..
@carlosmzena548
@carlosmzena548 5 месяцев назад
Jumbe uko wapi
@gervasmorand456
@gervasmorand456 Год назад
Pumzika kamanda,hakika sauti yako tutaikumbuka sana, mbele yetu tuko nyuma yako tangulia kamanda.
@jafarihamis7728
@jafarihamis7728 Год назад
Pumzika kwa amani hussein jumbe😢😢
@user-rh4ec2zu4l
@user-rh4ec2zu4l Год назад
Rip jumbe
@MwinyiBwanga-i3l
@MwinyiBwanga-i3l 11 месяцев назад
Mungu akuweke mahari pema Pepon mwamba
@suleimanhaji7057
@suleimanhaji7057 Год назад
Nimeiangalia nyimbo ya Ajali ukiwa na Msondo.Nimejua kwanini Msondo walikukodi
@jpbizoza
@jpbizoza Год назад
RIP Jumbe
@isayamgaya1934
@isayamgaya1934 Год назад
Daaaah pumzika Kwa amani mwamba
@user-eh7uk9wf2f
@user-eh7uk9wf2f Месяц назад
Pumzika kwa amani
@abouayman8713
@abouayman8713 Год назад
Dunia njia tuuuu ap tusijisahau
@kondonassoro26
@kondonassoro26 2 года назад
Du Kweli duniani tunapita
@captainmkumbara4645
@captainmkumbara4645 Год назад
Kweli ardhi imekula watu😰😰😰
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 5 месяцев назад
Na bado inaendelea kutula
@jacksondismas4109
@jacksondismas4109 Год назад
Mwamba alikuwa anajua hatari R.I.P
@hassanbaraza1165
@hassanbaraza1165 Год назад
Inna lilahi wainna ilahi rajiun
@mackmgaya8808
@mackmgaya8808 Год назад
Rest in peace mzee wetu😭😭
@PShayo-or3ox
@PShayo-or3ox Год назад
R.I.P Hussein Jumbe
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
R.I.P 🙏
@MonahBae3-lw1xp
@MonahBae3-lw1xp Год назад
Pumzika kwa amani jumbe
@manjaruu1575
@manjaruu1575 Год назад
Pumzika jumbee
@user-vd6wp4tj8k
@user-vd6wp4tj8k Год назад
Huseni jumbe
@davidlukumay2226
@davidlukumay2226 Год назад
😢😢😢😢😢😢
@johnsonpatianus7583
@johnsonpatianus7583 Год назад
😢
@MonaMuna-t9i
@MonaMuna-t9i 5 месяцев назад
2024
@zuberimaruma.-ih6bf
@zuberimaruma.-ih6bf Год назад
Rip
@tinasundown4333
@tinasundown4333 Год назад
Rip legend
@benbinburkard8294
@benbinburkard8294 2 года назад
👋👋👋
@judithmdami41
@judithmdami41 Год назад
y ooo
@reginajacob7122
@reginajacob7122 Год назад
Y Bhai H
@selemanshidda9688
@selemanshidda9688 2 года назад
Watanzania tumerogwa! Hatuna mziki wetu! Ni kuiga tu! Hili ni Rumba la Congo. Kilchobadirika hapo ni lugha tu,kuimba Kiswahili. Sisi Watanzania ni wehu kweli! Hakuna hata mwanamziki yeyote Wakitanzania anayefikiria kubuni mziki wetu! Hii ni laana!
@seretiloosurutia7361
@seretiloosurutia7361 Год назад
Mmmmmmh
@JohnChale-rg8ic
@JohnChale-rg8ic Год назад
Hata kongo lumba na sukusi ni miziki ya cuba huko amerika ya kusini uliza utaambiwa
@zainabramadhan6927
@zainabramadhan6927 Год назад
😭😭😭
@twaharashidi1103
@twaharashidi1103 5 месяцев назад
Rip
@zuberimaruma.-ih6bf
@zuberimaruma.-ih6bf Год назад
Rip
@yusuphnyarugezi4750
@yusuphnyarugezi4750 Год назад
Pumzika Jumbe!!!!,No way!
Далее
Hussein jumbe & Talent band Pombe
7:32
Просмотров 59 тыс.
Hussein Jumbe-Nachechemea
7:17
Просмотров 592 тыс.
Ice Bear would appreciate some cheese 🧀
00:18
Просмотров 11 млн
Rangi ya Chungwa
9:11
Просмотров 60 тыс.
Mtu Pesa
10:15
Просмотров 26 тыс.
Taarab: Mwanamke hulka
13:54
Просмотров 1,2 млн
Msondo Ngoma Band Ndugu Hatuelewani Official Video
9:02
HUSSEIN JUMBE KIAPO MARA TATU
7:45
Просмотров 140 тыс.
Tunda Special- Mwinjuma Muumini
9:01
Просмотров 1,6 млн
Ice Bear would appreciate some cheese 🧀
00:18
Просмотров 11 млн