Haya mambo lakini tunaona Sasa yanazidi kanisa linatamani kujiingiza na kutambulika sana na serikali jambo ambalo kwa upande mwingine sio zuri mbona mnawaita Hawa watu kwenye matukio makubwa tu na wakija Hadi utaratibu wa ibada unabadilika mnajua na unyenyekevu wa ghafla Kwanini msiwaalike kwenye ibada ya kawaida waje kusali mpaka iwe kwenye matukio makubwa