Тёмный

MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA 

JAMBO TV
Подписаться 934 тыс.
Просмотров 96 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 277   
@PascasMathew
@PascasMathew 4 месяца назад
Mungu akulinde sana . Kazi unyofa ni Mungu
@judithkisinini8546
@judithkisinini8546 3 месяца назад
Hongera sana Mh.Makonda.Mama hakukosea kukupa moja.Mh.kwa vile Una hofu Mungu,Una uwezo.Unatosha na unastahili.Hongera mwana wa Paul.
@deejeydaev
@deejeydaev 4 месяца назад
Yani tunamalizana hapo hapo...safi sana my future president
@nowamateyo3318
@nowamateyo3318 4 месяца назад
Mungu akubariki sana mku wamkoa wa Arusha piga kazi mungu akupe uongozi wa urais
@eliamatinya2791
@eliamatinya2791 4 месяца назад
Daaaahhh mungu Akuinue juu kwa ajili ya nchi yetu.
@edwinnzigo4670
@edwinnzigo4670 3 месяца назад
Asee Makonda kazi unayoifanya Mungu azidi kukupigania sana sana unastahili kupewa nchi hii tumeshachelewa sana Mkuu
@SaimonMwashinga
@SaimonMwashinga 3 месяца назад
Kaka unaweza kazi apa kazi tu
@LeonardLugange
@LeonardLugange 4 месяца назад
Hii nchi inakuhitaji wewe kaka yetu ungeliwezekana kaka yetu wacha niseme mumhh!! Big up sana mh. Makonda
@AlanusGerodi-mo3dm
@AlanusGerodi-mo3dm 4 месяца назад
Makonda Mungu akubariki ,endelea kukutetea wanyonge
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад
Kama supana Jestitepo UKISIKIA KIMENUKA KIMEUMANA NDIO HIKI SASA KIMEVUNDA KIMECHACHA BRAVO MKUU MAKONDA MZALENDO 🇹🇿 👏😂
@JudyAssey
@JudyAssey 4 месяца назад
Mungu amlinde huyu baba..mama Samia mpandishe cheo awe waziri mkuu
@rebmanwillbard7464
@rebmanwillbard7464 3 месяца назад
Hongera Mh Makonda,kwa kazi Arusha.Hivi wakuu wa mikoa wengine wanafanya Nini??? Mbona km wako likizo wakati nchi hii imejaa uozo km wa Arusha?
@TaisonPangani-nw2om
@TaisonPangani-nw2om 4 месяца назад
Mungu azid kukuongoza katika utendaji wako Wewi ni kiongozi bora hakika
@KhamisRajab-kf5ve
@KhamisRajab-kf5ve 3 месяца назад
khamis rajab: mh Rc Paul makonda...Arusha. hongera kwa ziara zako,, kwa kufuatilia kero za wananchi, hao ulio wafukuza haki yao adhabu uliyotoa,wengine watajifunza.
@AlkhaAlkha-d4s
@AlkhaAlkha-d4s Месяц назад
Naomba katika jina la yesu mlinde mwanao makonda mpaka machozi yananitoka kwa kazi nzuri anayoifanya 🙏🙏
@ZuhuraAbdallah-gx7vm
@ZuhuraAbdallah-gx7vm 4 месяца назад
Hongera sana makonda uwe mfano kwa wakuu wa mikoa mingine kutatua kero za wananchi wannyonge
@Elias-gy8qu
@Elias-gy8qu 3 месяца назад
Akiamungu makonda basi mimi chakukusawadia maan unazitaili sawadi tena kubwa. Lakini mungu atakusawadia usijali na mambo yote mazuri unayo yafanya mungu anaziona na atazidi kukupa uwezo mukubwa sana
@DenizaChambala
@DenizaChambala 3 месяца назад
Makonda mungu akulinde kila hatua
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 4 месяца назад
Nakuja na gris ili spana zisigome, na grisi nimaombi tunakuombea mnooo Mungu awe kilakitu kwako,
@olivernyange2349
@olivernyange2349 4 месяца назад
😂😂😂😂😂 umenichekesha mpaka basi Asante kwa kuniongezea siku
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 4 месяца назад
@@olivernyange2349 nimekukuchekesha nini ndugu yangu
@charlesndunda5818
@charlesndunda5818 26 дней назад
Hongera bw.makonda endelea kutetea wanyonnge.wakenya tuko na wewe.
@SadikiDjumaine-f1k
@SadikiDjumaine-f1k 2 месяца назад
Kweli kabisa bro uko na roho nzuri much respect nilishaga kuelewa mweshimiwa
@wilfredmlaki822
@wilfredmlaki822 4 месяца назад
Safi sana makonda( magufuli style)
@NABILMOHAMMEDABDULLAH
@NABILMOHAMMEDABDULLAH 2 месяца назад
Mungu akuzidishie imani mh makonda
@MohamediKapilima
@MohamediKapilima 4 месяца назад
Makonda hanaweza ongera sana
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 4 месяца назад
Ccm vs ccm tatizo ni mweyekiti wenu
@jamalkishangu
@jamalkishangu 3 месяца назад
Mwenyekiti ndio aende mpaka mikoani atawasaidie wananchi?
@Thomasmvungi-ft8gc
@Thomasmvungi-ft8gc 3 месяца назад
Nashukuru mungu sana maana naona kabisa magufuli karudi kivingine
@SpaseozerJonh
@SpaseozerJonh Месяц назад
Mungu akubariki kwa kutetea wanyonge
@davidmogaka7055
@davidmogaka7055 4 месяца назад
Kumbe kuna magufuli congratulations makonde
@GaudesiaDalali
@GaudesiaDalali 3 месяца назад
Mhe, makonda.nakutakia maisha marefu mwenyezi mungu akutetee katika jazi yako
@mussakilo4916
@mussakilo4916 4 месяца назад
Arusha dah kumbe ndio kumeoza hivi dah makonda mungu akulinde sana
@leahkabura4271
@leahkabura4271 4 месяца назад
Makonda ni kichwa🔥🔥
@SAMWELJOSEPH-y7t
@SAMWELJOSEPH-y7t 4 месяца назад
Nakuombea mungu akupe nguvu na ulinzi ili uendelee kutumikia wananchi wanyongee
@AnnaNgobola-pm7fz
@AnnaNgobola-pm7fz 4 месяца назад
Bwana akulinde sana tunakuombea
@dausonmuganguzi463
@dausonmuganguzi463 2 месяца назад
Hongera sana kiongozi kwa kuokoa wanyonge Mungu yupo pamoja nawe
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 4 месяца назад
Makonda Allah akuhifadh yarab kwakweli unatenda haki fukuza mazembe na wezi matapeli arusha saivi itakaa sawa hamna nchezo
@EdwinIma-h6k
@EdwinIma-h6k 4 месяца назад
Mungu akulinde mtumishi.tunakuomba uchukue form ya urais
@HappyAloisi-x8k
@HappyAloisi-x8k 3 месяца назад
Makonda mungu akupemyw mingi mana watu wapotu kazini
@NeemaMahega-z3g
@NeemaMahega-z3g 4 месяца назад
Makond mungu akuzidishie maisha malefu uwenderee kutuokowa
@NABILMOHAMMEDABDULLAH
@NABILMOHAMMEDABDULLAH 2 месяца назад
❤❤❤saluti baba makonda
@BeatriceMsoffe
@BeatriceMsoffe 3 месяца назад
Mungu awatetee viongozi awape hekima mkiongozwa na makonda .
@KhamisJumanne-q2l
@KhamisJumanne-q2l 4 месяца назад
Kwelii makonda nakuaminia baba Arusha wataipenda safari hii mbona raha jamani raha au siyo raha mm naona rahaaaa
@MaryLuoga
@MaryLuoga 4 месяца назад
Hongera baba makonda kwa kazi unayo ifanya munge akuongezee siku za kuishi.
@SamwelMwilwa
@SamwelMwilwa 3 месяца назад
Natamani wote wafuate nyao zako Nchi itafika mbali
@NuwaYakubu
@NuwaYakubu 4 месяца назад
Hongera mkuu kwa kazi nzuri, na DC mzembe hakagui miradi,
@BakariImran-q6l
@BakariImran-q6l 4 месяца назад
Piga spana makonda tunaona kazi yko nchi ni yetu sote🫡🇹🇿
@davidlemooli4011
@davidlemooli4011 3 месяца назад
Nakukubali mkuu makonda, njoo lengijave.
@robertcyriacus208
@robertcyriacus208 3 месяца назад
Kiongozi mahili sana Makonda,piga kazi mkuu!!!
@PsRuthMalick
@PsRuthMalick 3 месяца назад
Asante Mungu kunaviongozi watenda haki
@Japhary-sx3je
@Japhary-sx3je 4 месяца назад
Makonda na rc wake mnapendana sana fanyeni kazi mama samia ongera sana
@PaschalVincent-y4b
@PaschalVincent-y4b 3 месяца назад
Mungu akuweke ktk viwango vua juu zaid
@addamthabity
@addamthabity 3 месяца назад
Mkoa wa nilipo mm angekuwa huyu ndo mkuu wa mkoa ingekuwa amaizing sana
@PeterChonya-ju8oo
@PeterChonya-ju8oo 3 месяца назад
Hapo ndo chama kinaimarika sasa hongera sana Makonda na wengine wangeiga hivo 100%chama kingeaminika na kuimarika sana
@BeatriceMsoffe
@BeatriceMsoffe 3 месяца назад
Makonda upo vizuri lkn ni Kwa neema ya Mungu mtegemee Mungu ktk kazi yako
@MagrethBakama
@MagrethBakama 24 дня назад
Ee jamen Mzee waivyo ndio wakusumbua kudai haki yake kwa mungu mtajibu nn juabaada ya hapa Kuna maisha mwngine yanaendelea kijana makonda pembua makapi ayo yamezidi
@williammarete3970
@williammarete3970 3 месяца назад
Mh. Makonda!Pongezi sana,Yawezekana sana MUNGU amekuandaa uwe MKOMBOZI wetu mtarajiwa nchi hii. Ila simama peke yako! Usiige tabia za Magufuli! Utaharibu.
@minanielikana
@minanielikana 2 месяца назад
Baba Makonda we ni kichwa.
@mose82
@mose82 4 месяца назад
Huyu mtu Alindwe
@happinessmarijani2783
@happinessmarijani2783 4 месяца назад
Hongera sana mwanangu God bless you
@ChikuRamadhani-o2p
@ChikuRamadhani-o2p 3 месяца назад
Magufuli karudiiii ashukuriwe mungu
@paullengai4923
@paullengai4923 4 месяца назад
Chapa kazi Mungu akutangulie
@qassimislam5291
@qassimislam5291 4 месяца назад
Aliesikia Mh Raisi kama mimi tujuane 😂😂😂😂 Makonda kiboko
@suleimanabdillah7490
@suleimanabdillah7490 3 месяца назад
Tuangalieni lakini haya maisha tusichukue maamuzi kwapupa tuelewe Kila anayeumizwa ana watu. La pili masuala mengi ya manunuzi yanaongezwa na mifumo na kuwatatiza wengi,tusipoangalia mifumo hii itawadhulumu wafanyakazi wetu. Wanachelewa kupata fedha kutokana na mifumo baadae wanakutana na spana wanapoteza KAZI zao. Lakini pia halmashauri zetu na mabaraza Yao kuna bureaucracy nyingi na mizunguko ya uamuzi. Nadhani ni vyema kutoa maelekezo Ili baadae watakaoshindwa wawajibike. Nimemsikiliza Mhe Rais jana katika gawio wasiofanya vyema wametakiwa wakaguzi wa hesabu kwenda kubaini kwanza tatizo. Wapo wazembe na wabadhirifu Hawa endapo Takukuru watabaini wachukuliwe hatua na sio hoja na hapohapo kuwamaliza watu nadhani tunahitaji zaidi utulivu katika kuwafuatilia haya.
@Gloria-vh5bz
@Gloria-vh5bz 3 месяца назад
Shida watanzania tunaendeshwa na mihemko, watu wanashangilia bila kujua kuna familia zitaumizwa bila makosa kwa huu UJINGA wa kutaka sifa za wananchi ,HUWEZ kumfukuza mtu ambae anafanya kazi kwenye system ya wengi bila uchunguz kisa sifa ,Dah huyu mtu ataharibu Mambo km Kawaida yake.watu wameshasahau kuwa huyu ndio wale watu wasiojulikana waliopotezs roho za wengi kipindi cha mwendazake
@khaliphaabubakar9466
@khaliphaabubakar9466 2 месяца назад
⁠@@Gloria-vh5bzhivi wewe husikilizi facts hao watendaji hawafanyi kazi zao?wananchi wanateseka sababu za uzembe ya hawa wavivu.Spana mwendo mmoja mpaka kieleweke.
@farajansekela5763
@farajansekela5763 2 месяца назад
Kweli SS wananchi Akili hatuna😢😢 Kwahiyo mwenye haki ni Mfanyakazi wa serikalini tuu😂😂😂 Mlipa Kodi Hana haki???Akili ya Mavi..
@suleimanabdillah7490
@suleimanabdillah7490 2 месяца назад
@@farajansekela5763 wala haishangazi watu wenye akili zakutusi ni watu waliozaliwa na single,na mavi ni sehemu ya maisha Yao. Huu ni uwanja huru toa maoni yako kwa mada
@ShirfaDigubike
@ShirfaDigubike Месяц назад
Mi naona sawa tu .
@SadockgSombi
@SadockgSombi 4 месяца назад
Mungu akupiganie Sana Mr makonda
@omaryally5600
@omaryally5600 3 месяца назад
Safi sana
@MamaHafsa-cj3fo
@MamaHafsa-cj3fo 3 месяца назад
Mungu azidi kukupa hekima makonda
@allyabdallah1183
@allyabdallah1183 4 месяца назад
Mungu akulinde makonda
@JohnKilagini
@JohnKilagini 4 месяца назад
Mungu akulinde mama samia mpandishe cheo awe waziri mkuu
@luluray2115
@luluray2115 4 месяца назад
😢huwez kua wazir kama sio mbunge
@erneokisinda7179
@erneokisinda7179 4 месяца назад
Akiwa wazir mkuu majukumu yatakuwa mengi mnoo Bora awe rais
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 3 месяца назад
Mimi nakupa hongera sana makonda
@bitonyFabian
@bitonyFabian 4 месяца назад
Piga kazi Bab katiba ingeruhusu mwakan chukuaga from uraisi unakutaka brooo
@JenethFrank
@JenethFrank 4 месяца назад
Boss wetu ukienda vituon kusikiliza kero au unyanyasaji unaeondelea huko kwa sababu ya uongoz wa kubebanabebana ndio utachoka. Wengine hata ukifatilia taarifa zao they are not allowed to practice but ndio wanaotuburuza huko vituoni.
@RachelHaonga
@RachelHaonga 4 месяца назад
Mungu akulinde na watokee wengine kama wewe wa kusimamia haki za wanyonge.
@zakariaswai9180
@zakariaswai9180 4 месяца назад
ivii Hawa wakuu wamikoa wegine wanafanya kazigani waige kwamakonda
@mussakilo4916
@mussakilo4916 4 месяца назад
Kiukweli binafs natamani usitoke arusha maisha yako yote unapiga kazi wananchi tulikuwa hatujui yote haya bara bara mbov kweli wamekalia hela inaumiza sana
@GeorgeMwasibata
@GeorgeMwasibata 3 месяца назад
Duu hakika unaweza broo maana wengi tunaangamia kwa kukosa elim
@shabanungando5169
@shabanungando5169 4 месяца назад
Fanya kazi kaka saf sana
@BeatriceMsoffe
@BeatriceMsoffe 3 месяца назад
Naombeni namba ya makonda jamani naipataje Nina jambo langu . Mungu amlinde makonda.
@kyaa006
@kyaa006 4 месяца назад
Baraza la madiwani Arusha jiji ndiyo tatizo kubwa hapo hawaisimamii kikamilifu Halmashauri yao
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 4 месяца назад
Hawana nguvu kutokana na mfumo wa utawala
@SaidiKaijage
@SaidiKaijage Месяц назад
Chapa kazi ningetamani chukuwa fomu ugombee ubunge ukonga unafaa sana
@InnocentShayo-ku9il
@InnocentShayo-ku9il 4 месяца назад
Baba nakuombea mungu akulinde sana
@MichaelShigela
@MichaelShigela 4 месяца назад
😂😂 hawajakuelewa Badoo ni wazito kuelewa 😂😂😂😂
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 4 месяца назад
😆😆😆😆😆😆😆
@nehemiamwailongano2960
@nehemiamwailongano2960 4 месяца назад
Mikoa mengine wakuu wa mikoa anzeni iyoo sio vibaya kuigiliza mazuri ayoo. Tanzania iwake mbaka inyooke
@allymoshi2053
@allymoshi2053 4 месяца назад
Wengine wanasubiri t posho na mishahara basii
@fredericntihabose
@fredericntihabose 4 месяца назад
kama unapenda vipindi mbalimbali kutoka JAMBO TV bonyeza kwahio picture yangu unipe support na like
@marcojohn1175
@marcojohn1175 4 месяца назад
😂❤
@maimunamunisigloyyixigjsgs6638
@maimunamunisigloyyixigjsgs6638 4 месяца назад
Baba unaweza na mungu akulinde. Maana hawa majizi na wala rushwa ni wengi mno
@TsunamiBaraka
@TsunamiBaraka 3 месяца назад
Hongera makonda
@drtobias_
@drtobias_ 4 месяца назад
Mbona DC ni km anahisi harufu mbaya Kila saa?angalieni anavyo weka pua!
@vijibwenisdachurchchoir
@vijibwenisdachurchchoir 2 месяца назад
Hao ndio wanamhangusha Mhe Rais
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU 3 месяца назад
RC P Makonda pambana ndugu yetu wananchi wanangoaja huduma yako
@SpaseozerJonh
@SpaseozerJonh Месяц назад
Tunazidi kukuombea kwa sababu unatetea nchi yetu
@vijibwenisdachurchchoir
@vijibwenisdachurchchoir 2 месяца назад
Kazi imewashinda
@Dionizistacio-be1ph
@Dionizistacio-be1ph 4 месяца назад
Our future president we❤
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 месяца назад
Huyu mkurugenzi nae mzembe kwani mpaka mambo anaharibika yeye yuko wapi
@tumainipeter458
@tumainipeter458 4 месяца назад
Aiseeee Hakika Mama yetu anamchapa kazi Arusha
@petermlay9169
@petermlay9169 4 месяца назад
Nyota Ina wakaaaaa hakuna wa kuizima
@ErickSperatus
@ErickSperatus 3 месяца назад
Mitano tena raisi makonda nafatilia hotuba zako kuzid hotuba za.......
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 4 месяца назад
Mungu atusaidie
@juliusjoseph8550
@juliusjoseph8550 4 месяца назад
Trust me magufuli is back
@leahkabura4271
@leahkabura4271 4 месяца назад
Sure
@HillaryKobia
@HillaryKobia 3 месяца назад
Makonda for president
@MawazoKitumbo
@MawazoKitumbo 3 месяца назад
Makonda uwe makin maana vitu vzr hua havidum
@HanifaChalresy
@HanifaChalresy 3 месяца назад
Mungu wetu mlinde makonda azidi kutetea wanyonge😢
@Sarahnanyangwe-yk4to
@Sarahnanyangwe-yk4to 4 месяца назад
Piga kazz mkuu na mungu akubariki
@AbubakariMakoke-kk5kq
@AbubakariMakoke-kk5kq 3 месяца назад
Mambo yaliyoibuliwa Arusha watendaji wanataka kuzika nchi
@TimaNassor
@TimaNassor 5 дней назад
Kaz nzur 🤭
Далее
I Built a SECRET Lamborghini Dealership!
33:02
Просмотров 11 млн
I Built a SECRET Lamborghini Dealership!
33:02
Просмотров 11 млн