khamis rajab: mh Rc Paul makonda...Arusha. hongera kwa ziara zako,, kwa kufuatilia kero za wananchi, hao ulio wafukuza haki yao adhabu uliyotoa,wengine watajifunza.
Akiamungu makonda basi mimi chakukusawadia maan unazitaili sawadi tena kubwa. Lakini mungu atakusawadia usijali na mambo yote mazuri unayo yafanya mungu anaziona na atazidi kukupa uwezo mukubwa sana
Ee jamen Mzee waivyo ndio wakusumbua kudai haki yake kwa mungu mtajibu nn juabaada ya hapa Kuna maisha mwngine yanaendelea kijana makonda pembua makapi ayo yamezidi
Mh. Makonda!Pongezi sana,Yawezekana sana MUNGU amekuandaa uwe MKOMBOZI wetu mtarajiwa nchi hii. Ila simama peke yako! Usiige tabia za Magufuli! Utaharibu.
Tuangalieni lakini haya maisha tusichukue maamuzi kwapupa tuelewe Kila anayeumizwa ana watu. La pili masuala mengi ya manunuzi yanaongezwa na mifumo na kuwatatiza wengi,tusipoangalia mifumo hii itawadhulumu wafanyakazi wetu. Wanachelewa kupata fedha kutokana na mifumo baadae wanakutana na spana wanapoteza KAZI zao. Lakini pia halmashauri zetu na mabaraza Yao kuna bureaucracy nyingi na mizunguko ya uamuzi. Nadhani ni vyema kutoa maelekezo Ili baadae watakaoshindwa wawajibike. Nimemsikiliza Mhe Rais jana katika gawio wasiofanya vyema wametakiwa wakaguzi wa hesabu kwenda kubaini kwanza tatizo. Wapo wazembe na wabadhirifu Hawa endapo Takukuru watabaini wachukuliwe hatua na sio hoja na hapohapo kuwamaliza watu nadhani tunahitaji zaidi utulivu katika kuwafuatilia haya.
Shida watanzania tunaendeshwa na mihemko, watu wanashangilia bila kujua kuna familia zitaumizwa bila makosa kwa huu UJINGA wa kutaka sifa za wananchi ,HUWEZ kumfukuza mtu ambae anafanya kazi kwenye system ya wengi bila uchunguz kisa sifa ,Dah huyu mtu ataharibu Mambo km Kawaida yake.watu wameshasahau kuwa huyu ndio wale watu wasiojulikana waliopotezs roho za wengi kipindi cha mwendazake
@@Gloria-vh5bzhivi wewe husikilizi facts hao watendaji hawafanyi kazi zao?wananchi wanateseka sababu za uzembe ya hawa wavivu.Spana mwendo mmoja mpaka kieleweke.
@@farajansekela5763 wala haishangazi watu wenye akili zakutusi ni watu waliozaliwa na single,na mavi ni sehemu ya maisha Yao. Huu ni uwanja huru toa maoni yako kwa mada
Boss wetu ukienda vituon kusikiliza kero au unyanyasaji unaeondelea huko kwa sababu ya uongoz wa kubebanabebana ndio utachoka. Wengine hata ukifatilia taarifa zao they are not allowed to practice but ndio wanaotuburuza huko vituoni.
Kiukweli binafs natamani usitoke arusha maisha yako yote unapiga kazi wananchi tulikuwa hatujui yote haya bara bara mbov kweli wamekalia hela inaumiza sana