Moja ya sharti za uandishi wa habari ni kuwa na lafudhi sahihi katika lugha unayoitumia kwa kazi yako. Kutokidhi sharti hilo ni sababu kuu ya mtu kutoajiriwa. Watu wanaopokea habari wanafanya hivyo kwa sababu nyingi, mojawapo kujifunza lugha. Hii Laisi, Dalaja, Magali nk..
Me nauliza swali hivi zile pesa zandani b4 mika hii 5 zilikua wapi me ningekua ndio magufuli ningenyonga wale viongozi wezi wote pumbavu kabisa walikua sio wazalendo kabisa yani nchi ilikua maskini yamwisho kupe pesa zipo na nchi inaweza kujiendesha mungu ampe nguvu Dr magufuli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni binadam atukamiliki