Acha unafiki wewe.. we unajuwaje wewe? Huenda angekuwepo pengine asingeweza kulikamilisha... we mwenyewe huijui kesho yako kama utaamka mzima au lah.. Sasa hayo ya magu eti angekuwepo daraja lingeshakamilika wewe unayajuwaje? au unadhani ujenzi wa daraja ni sawa na ujenzi wa kibanda Cha kuku eti?
At least Tanzania Kodi zetu Wananchi zinaonesha utekelezaji katika Miradi ya Maendeleo tofauti na wenzetu wa Kenya ufisadi umekithiri. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Izi ndo projects ambazo zinakidhi kuwa VAT free sio uhuni wa mwigulu na bashe kufanya VAT free uagizaj wa sukari zaid ya lak 4..akasemee VAT 510 billions sawa na ela ya kujenga ilo daraja...daaahhh
Hapa kwa manufaa ya Taifa tuseme pongezi kwa juhudi za Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Wizara ya Ujenzi japo ni wajibu wao kuunganisha Wilaya, Mikoa na Nchi za Jirani katika ukuaji wa Uchumi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Mama Samia anaingiaje hapa? Tumwogope Mungu, hapa wa kupongezwa ni hayati JPM. Mama apongezwe kwenye utalii lakini daraja hili, lile la Dar, SGR, bwawa la mwl. Nyerere WA kupongezwa ni kijana wa Chato