Ninacho kupenda MCH ni jinsi ulivyofauru kuwaunganisha washiriki wako na kwenda pamoja nao Hakika wamemeza roho yako kama baba kama mimi ningekuwa hapo mbeya hakika ningekuwa mshirika wako Napenda msimamo wako Songa mbele kina yeremia waliwekwa sero ya shimo lenye tope lakini walipotoka hawakuacha kusema kweli ya Mungu UBARIKIWE SANA MCH BARIKIWA
Hongera sana mchungaji na nyimbo yenye funzo kubwa kwetu mbarikiwe wote mungu aendelee kuwalinda daima na kuwstia nguvu milele. Mchungaji nakufuatilia sana .. nikiwa marekani .nafurahi sana .nikiwaona hivyo ..
Mimi naomba muulize roho mtakatifu kuhusu kuweka picha ya mchungaji kwenye nguo ni machukizo kwa Mungu mnakuwa kama mnamwabudu au mnamtangaza yeye ,Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu
Hongera sana baba, hakuna MUNGU azidi kuwatetea na mama ili nasi bila kuchoka tuwafuate nyuma, BARIKIWA sana na wimbo huo nzuri sana, hakika nitatembea nae mpaka mwisho MUNGU anisaidie sana
@@ndogoroedson199 HAPANA! Hajaamuru tuvae nguo za Jela! HIZO NGUO ZILIANZA KUVALIWA YEYE AKIWA BADO JELA NA WATU WACHACHE; Lakini pia Sisi ni Wafungwa wa WA NENO LA MUNGU, Kwani MITUME WALIFUNGWA KWA AJILI YA NINI?? UKIWA MKWELI KWENYE HII DUNIA WEWE JUA WAKATI WOWOTE UTAKUWA KIZUIZINI.