Mashujaa wa Bwana...Wengi wamelala... Sisi bado tu hai ... Vita bado mbichi... Bwana Yuko upande wetu..ninani wa kutushinda....Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Hongera Samsung yangu MUNGU Baba akuzidishie maisha marefu nilikuona mwaka , 1980 nyamagana mwanza nikiwa nimemleta mtoto mwenzangu akiitwa Maganga mlemavu na aliponywa miguu ikanyooka hakika ilinipa nguvu kiimani hadi Leo mamangu
AMINA MUNGU akubariki mama na akupe nguvu ya kuendelea kusogea mbele zaidi na YESU jina lipitalo majina yote akufunike Kwa damu yake iliyo mwagika msalaban
MUNGU awatunze sana watumishi wa Mungu Tunajifunza mengi kutoka kwenu na tunatamani MUNGU atufikishe viwango vya juu zaidi na Zaidi Ujumbe kutoka Kwa Mungu Ninaomba ufike kwa mama yetu Moses na Kwa kanisa la TANZANIA Mungu anasema turejeshe sura ya Mungu ondoeni uchafu miilini mwenu rejesha asili ya MUNGU Anaesuka aachane na KUSUKA,anaejipamba na kuvaa mahereni aache kabisa Lakini pia bibi yetU MOSES KOLOLA MUNGU ameniambia ukitoa NYWELE HIZO za katani KICHWANI .Hautasumbuliwa na kichwa .Hautasumbuliwa na miguu Tena .Hautasumbuliwa na pressure Tena .NNE MUNGU atajibu Yale yote aliyomuaidia BABA Kwa kanisa (rate moses) Ni MAAMUZI magumu lakini yataokoa maelfu Na Mungu ameniambia baada ya ayo u ta pu m zi k a Kwa AMANI BWANA ASEMA.
Hawa ndio waasisi wa iman tz kipindi hicho hakuna mic Wala magari walikuwa wanatembea kwa miguu km kibao lakin hawakuchoka mpaka leo bado kamshikilia yesu daah inatutia moyo sana na ss vjana bibi mungu akutie nguvu
Asikofu,huyo mama kamlea baba yetu moses na kumtia nguvu hadi saa yake ya mwisho hakuteteleka,wewe wajua,nakuomba uzidi kuwa imara na ukajazwe ujasiri wa kumpigania Mungu,ni heri kubwa kuwa na mama kama huyu ampendae Yesu upande wako,hakika nakuombea mda huu ni andikapo sms hii,usitetereke kwa lolote,na Mungu atakuwa upande wako,
haujaongozwa na hekima ..ulipaswa kunitoa ujinga kwa kuniambia maono uliyosema juu ya ujio wa wazee ktk mimbali takatifu otherwise asante kwa majibu yako