Baba Askofu Mwamalanga ardhi ya Tanzania inalia dhambi. Watu wanaukiwa na kupotea bila sababu. Wanafanya baba wa Taifa asrest in peace honey. Ahsante baba ❤️🙏🏾
Kwa Kweli nchi (Serikali) inakaribisha laana kuu.Serikali haijengwi kwa damu za watu wanaopotezwa na kuuawa gizani.Damu za watu wema ambao wanaopotezwa zinaendelea kuzungumza",,hata lini kuendelea kutolipa kisasi kwa wale watu waliotuondolea Uhai wetu,Hali wao wakiendelea kuishi?"Ufu.6:9-11.Hizi Ni Roho zilizodhulumiwa kikatili maisha yao.Mungu akiamua kulipiza kisasi juu ya dhuluma dhidi ya Roho hizi(nafsi hai)Watawala na viongozi waovu mtaangamia na Taifa litaangamia vibaya,Bwana Mungu ana watu wake waaminifu na husikia maombi yao ,na Vilio vyao.Shime viongozi onyesheni uchaji wenu kwa Mungu kivitendo,ndio utu wema,huruma,upendo,kujali wengine.Ukatili Hauna nafasi katika jamii yetu waTanzania.
Naomba Mashehe na MAASKOFU na Wachungaji Mkuu wa Nhii Maana taifa likizama Mtadaiwa Maana Mungu amewapa dhamana ya loho za watu kiloho na kimwili fanyeni halaka kuzima mahala panafuka moshi
Asante kwa kusema ukweli,Sasa umefika muda wa kwenda ikuru kumwambia mtawala hayo yote kwa maana hatua zichukuliwe na kamati ya haki na amani,tunahitaji Kila kundi lisiingiliwe na vyombo vya dola vinavyoagizwa kutoka juu.
Wamasai waungane na vyama taasisi,wanaharakati na wananchi wote kudai 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
Mimi napenda tuwaache sisiem na serikali yake walewe vya kutosha, wavuruge vya kutosha na wafanye madhambi ya kutosha ili hata wasiojua wajue na ifike mahali watanzania wakasirike kwa wakati mmoja na wachukue hatua kung'oa udhalimu uliopo. Kwa wale waliosoma hesabu wanajua least common multiple.
Tanzania tuliishi kindugu tuliaminiana maana huko nyuma wahubili walihubili na kufundisha neno la mungu kwa haki sasa vimegeuka maana tumeacha neno la mungu tumeasi maagizo ya mungu na kuishi kinafki nafiki na viongozi wa kiloho hawahimizi maombi wamegeukia siasa sasa jamani taifa litaponaje kila mtu anaacha njia na kugeukia uchawa sasa maombi ni adimu sana
Askofu aache mambo ya Kukariri. Wamasi wa mwaka 1959 sio Wamasi waliopo sasa mbugani. Wala hajui kuwa Wamasai wako 120,000 na Hifadhi inakufa, na Rais alishasema miaka 3 iliyopita kuwa ni lazima kazi ifanyike ya kunusu ngorngoro. Wamasai walijisahau na uanza kjenga nyumba za bati na matofali na kuweka Umeme wa Solar, pikipiki kila mahali wakati kelele zinafukuza wanyama. Hili swala ni lazoma Rais atilie Mkazo na asirudi nyuma mpaka ngorongoro irudi kernye hali yake ya Uihifadhi.
Hilo la ngorongoro,n dhuluma wangewagawia huduma na kuwapa eneo kidongo kuliko hii y maandamano,huduma n za kbinadam,vtuko n wenye madaraka uko saw baba,